Mtoto mdogo unakuwa na tamaa, hakika kweli njaa mbaya, umehongwa sasa hivi umebaki kuogopea wanachi kwamba chadema hakuna haki.wakati chadema ndio walio kifanya ufike hapo ulipo, hakika umetudhihilishia kwa kauli zako kwmba wewe ni mchumia tumbo
Ccm na chadema mtajibu maumivu wanayoyapata watanzania kwa munguwetu aliye juuu pigeni porojozenu huku wanannchi wanaumiswa wanabomolewa nyumba zaoo Iko siku itafika
Nashauri viongozi kama hawa wasipewe uongozi hawafai waongowaongo tu kimsingi kiongozi safi ni mpambanaji na mvumolivu ccm tuwe makini na hawa wasaka vyeo watumieni kwa upambe mwisho tuachane nao hawafai wakikosa huku pia wataondoka na maneno yatakuwa hayo kwingine kamwe tusilogwe tukawaacha wanachama kamili tukawapa vyeo wapangaji chama hiki kimejengwa kwa shida hadi kilipofika tusonge mbele na wanachama tuachane na wapangaji warudi wakajenge kwao wasituharibie chama
Yaani Ccm mmekuwa kama watoto Badala ya kutuambia mme ifanyia nini Tanzania kwa miaka yenu 64 ya utawala, mmebaki kuisema Chadema na Mbowe. Hovyo kabisa
Sura imepauka, badala uzungumzie chama chako, anazungumzia wengine, umeachana na mumeo bado unamzungumzia kwa mume uliye nae Sasa, unatumia ubongo vibaya mdogo wangu
We kamama umekosa adabu Tena hauna akili sema sera zako nn kimesababisha uende ccm kwao hakuna kasoro au umelambishwa asali ninacho Jua ni mbwa pekee anae weza kuyaludia matapishi yake kuwa na maneno ya akiba
Sio kudhalilisha tu, wanawatumia hawa wadada kuwapatia pesa kwa lazima, kama sii kweli, kwanini wanapokamatwa wanawaambia watoe hela, tena wanawapangia kiwango, wenyewe wanachofanya, wanawaweka ndani kwakigezo cha umalaya, ili kujipatia pesa.