Ccm na chadema mtajibu maumivu wanayoyapata watanzania kwa munguwetu aliye juuu pigeni porojozenu huku wanannchi wanaumiswa wanabomolewa nyumba zaoo Iko siku itafika
Yaani Ccm mmekuwa kama watoto Badala ya kutuambia mme ifanyia nini Tanzania kwa miaka yenu 64 ya utawala, mmebaki kuisema Chadema na Mbowe. Hovyo kabisa
Sura imepauka, badala uzungumzie chama chako, anazungumzia wengine, umeachana na mumeo bado unamzungumzia kwa mume uliye nae Sasa, unatumia ubongo vibaya mdogo wangu
We kamama umekosa adabu Tena hauna akili sema sera zako nn kimesababisha uende ccm kwao hakuna kasoro au umelambishwa asali ninacho Jua ni mbwa pekee anae weza kuyaludia matapishi yake kuwa na maneno ya akiba
Mtoto mdogo unakuwa na tamaa, hakika kweli njaa mbaya, umehongwa sasa hivi umebaki kuogopea wanachi kwamba chadema hakuna haki.wakati chadema ndio walio kifanya ufike hapo ulipo, hakika umetudhihilishia kwa kauli zako kwmba wewe ni mchumia tumbo