The National Board of Accountants and Auditors (NBAA) is an independent regulatory and membership body for the accountancy profession established under the Accountants and Auditors (Registration) Act [Cap 286 R.E. 2002] operating under the ministry responsible for Finance and Planning
Siyasa ya ujama ipo au nayyo ilitaifishwa na sasa tupo wapiiiii tulitaifisha viwanda vikubwa uasafiri wa umaa ikiwepo Ralwe mabasi yote uda :mabasi ya kamata mabenki THB. MRDAN na Mashamba makubwa ya mifugo na mashamba ya ngano sasa tupo wapiiiii Mzeee U too ujamaa ? Ubepari hatufungamani na upande wowote tupo wapiiiii
Mungu ana wa adhibu Kwa matendo Yao kachoka pamoja na kuwa fedha nyingi walizo iba walitesa watu mungu anatoa adhabu Kwa vizazi vi nne waliopo madarakani wajitathimini
Yani katumia muda wote huo kuongea na camera badala ya kuitumia camera kuonyesha huduma zenyewe kwa picha. Sasa mkionyesha jengo kwa nje ndio mmejitangazaje hivyo? Mfano mtu yupo nje ya nchi atajuaje anacho ki book ikiwa hata vyumba vyenyewe hamvionyeshi vikoje kwa ndani?