Ibrahim Zancom, ni channel ambayo imeandaliwa, lengo na madhumuni ni kuelimisha jamii kupitia tasnia ya Qaswida, Tenzi, Mawaidha, Nasheed na Matukio mbali mbali ya kijamii.
Hivyo channeli hii itaandaa Qaswida ,Mawaidha,Nasheed na tenzi mbali mbali kila baada ya kipindi, na ku upload, lengo na madhumuni ni kuelimisha na kukosoa jamii.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia simu namba.
Whatsapp : +255772285543 Call : +255772285543
Usisahau ku SUBSCRIBE, LIKE naku COMMENT ili uwe wa mwanzo kupata matukio na Qaswida mbali mbali kina zinapotoka.
Hakik qaswida hii imenifanya niwe mwenye hofu ya MUNGU kuliko chochote kile hakika Allah atupe afya njema daima na akhera njema na utaajilie wenye kumcha Allah
Mano yangu Vitumiwe vitabu 2 tu. Quoran inayo kubalika msikitini na waislam , Bíblia inayo kubalika kanisani na wakristo Maana Hakuna shehe anaye toa mawaidha msitini kutumia kitabu chá pasta mkorofi ao pasta anahubiri kanisani kutumia kutumia pasta mkorofi Hili Jina mkorofi si maana niukorofi huu