Тёмный

HILI APA SWALI LA DK SULE LILILOZUA GUMZO KWA PASTA NDACHA KUSHINDWA KUJIBU. 

Ibrahim Zancom
Подписаться 338 тыс.
Просмотров 680 тыс.
50% 1

Kwa mahitaji ya Qaswida Mpya, Tenzi, Mawaidha, Nasheed, na matukio mbali mbali ya kijamii, usisahau ku SUBSCRIBE, LIKE, COMEENT, SHARE ili uwe wa mwanzo kupata matukio hayo kila yanapotoka kwa wakati sahihi.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia simu No.
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
ASANTENI NA KARIBUNI.

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 973   
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 3 месяца назад
Kumbe kwenye uslamu ni Dini ya kuunga unga pia nimejifunza kuwa hii Dini ni ya Majini sio ya Mungu harisi Ubarikiwe sana Mtumishi ndacha
@AsukileGwalugano
@AsukileGwalugano 2 месяца назад
Hakuna ajuae dini ya kweli hapa duniani usiseme NI dini ya kuungaunga
@AraftyOmary
@AraftyOmary Месяц назад
Allah akuongoe na akulainishe hio nafs
@AdilSaid-c2n
@AdilSaid-c2n Месяц назад
Ndugu yangu umepotea mchana kweupe
@DaMiriamJohn
@DaMiriamJohn 2 дня назад
​@@AsukileGwaluganondio akuna mwana damu ambae hajui kama dini ya UKRISTO ni sahihi ni dini ya YESU ni Ya KI KRISTOYESU Halleluijah🎉🎉
@donatienbest6043
@donatienbest6043 9 месяцев назад
Ata nibaki pekeyangu nitabaki kuhamini yesu Christ nibwana namokozi wamaisha yangu amen
@ihuriroGroup
@ihuriroGroup 8 месяцев назад
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
@IsnailMudi
@IsnailMudi 8 месяцев назад
Mbona bado nimasikini kama kakuokolea maisha yako
@jamesnjoroge8627
@jamesnjoroge8627 7 месяцев назад
Ameeeeeeeeeeeeeen
@Ashora-m8w
@Ashora-m8w 6 месяцев назад
WW una akiri
@MercyKanini-r2i
@MercyKanini-r2i 6 месяцев назад
هل تؤمن بأن لديك اب ثاني فإذا قلت لا، كذلك نحن الإسلام لا نؤمن إلا بالله وحده والمسيح عيسى لبن مريم ليس إلا رسول الله وخلقه الله من طين كمثل ادم عليه السلام
@JanuaryNicholas-y3n
@JanuaryNicholas-y3n 9 месяцев назад
Ndacha Mungu akulinde akuongezee maisha marefu unajua sana
@Janejj-k3c
@Janejj-k3c 8 месяцев назад
Congratulations ndacha mashaalah Mungu kakujalia wewe akueke miaka mingi urndelee kufunza wengi
@JustinKadongo
@JustinKadongo 5 месяцев назад
asante
@geofreykosgei202
@geofreykosgei202 8 месяцев назад
Nafurahia mafundisho,i learned and i grew up knowing that the Bible was written by inspired men of God
@nozesybafikege8417
@nozesybafikege8417 29 дней назад
Waislam shitukeni, mkubarini Yesu, alisema Njia ya kwenda kwa Baba yangu ndimi njia
@NeemaMashiku
@NeemaMashiku 6 месяцев назад
Hakuna Dini kama uko safi ndani ya moyo wako, mujueni mungu kwa kufaata sheria zake ... Sio kutambiana Dini..Ndacha hongera, majibu yako, kumbuka hata yesu alijaribiwa na shetani but nae yesu hakujibu tofauti na bible
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 9 месяцев назад
Bwana YESU krisito asifiwe Sana damu ya Yesu inanena mema
@Ciciczi
@Ciciczi 6 месяцев назад
Huyu ndacha mpaka kiama hawezi kujibu maswali
@ImaniTinda-h6x
@ImaniTinda-h6x 2 месяца назад
@@Ciciczi according to u
@mchungajiZachariatv
@mchungajiZachariatv 2 месяца назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-X83K3nWdbZ8.htmlsi=rtuM55hCBs_72Len Kanisa limewaka moto Fuatilia nguvu ya kufunguliwa
@gediontumaini1285
@gediontumaini1285 9 месяцев назад
Ndacha Mungu akuongezee hekima zaindi kwa Jina la Yesu.
@OmyGizo
@OmyGizo 6 месяцев назад
Csasa ivi mna silkilizaa au unajbu swali la kitabuvinginau mmekwama
@IsraelAnatory
@IsraelAnatory 25 дней назад
Pastor Ndacha nazidi kukuombea kwa Mungu azidi kukupa roho mtakatifu ili uweze kujibu kwa usahihi 👏👏 🇹🇿
@DaMiriamJohn
@DaMiriamJohn 2 дня назад
Ndio amen🎉🎉🎉
@IssayaNanga
@IssayaNanga 6 месяцев назад
Yesu ndiye njia ya pekee ya kwenda mbinguni
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 6 месяцев назад
Waislam ni wapinga kristo 😢😢😢😢😢
@lulkul7784
@lulkul7784 6 месяцев назад
Yesu c mungu yesu ni mtume wa mwenyezi Mungu njia ya pekee ni njia ya Allah subhanallahu wataalaa......na njia ya haki ni usilamu
@muhamedbashir2661
@muhamedbashir2661 6 месяцев назад
Baba soma yohana yesu alikuwa maskini ndo maana kashindwa kuhiji
@lucasmisati6086
@lucasmisati6086 5 месяцев назад
Amina
@maulidsuleh4924
@maulidsuleh4924 4 месяца назад
Jasho linamtoka pastor
@joshuabreakings425
@joshuabreakings425 Месяц назад
Thanks alot pastor Ndacha the world is proud of you, very educated, unajua kuran na biblia yote, kila swali unajibu kwa ufasahaa...kweli wewe unaongozwa na Mungu kenya is proud of you our son ❤🙏🙏
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 6 месяцев назад
Mtumishi wa Mungu Ndacha.Mungu Akutunze na akupe Afya njema.
@desirendikuriyo7557
@desirendikuriyo7557 5 месяцев назад
Anae juu huu mchungaji aniunganishe nimpe hâta kidogo jamani
@IbrahimIbrahimramadhani
@IbrahimIbrahimramadhani 5 месяцев назад
Allah wafahamishe wote wahaziri wadini ufaham mzur..
@husna1892
@husna1892 4 месяца назад
1:03 ​@@desirendikuriyo7557
@kanisalatecjcusofficial
@kanisalatecjcusofficial Месяц назад
❤❤amen Yesu Kristo ooooooyeeeeeee
@shyneafya2468
@shyneafya2468 6 месяцев назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Ndacha MUNGU akupe umri mrefu
@ByamunguSumaili
@ByamunguSumaili 7 месяцев назад
Sifa nautukufu zamwenyezi mungu ziwe pamoja Nawe mtumishi wamungu yesu Cristo akupe nguvu pasta
@NiyonkuruVianey-pl9jn
@NiyonkuruVianey-pl9jn 6 месяцев назад
Yesu ni mwokozi wangu tena nikiongozi wangu nampenda sana
@RinoMajembe
@RinoMajembe 5 месяцев назад
Mbona yesu ajaoa wewe unampenda atakuganyia nn
@NiyonkuruVianey-pl9jn
@NiyonkuruVianey-pl9jn 5 месяцев назад
@@RinoMajembe ndio hajaoa kwa sababu sio kitu kilikuwa kinamuletaga hapa kwa dunia
@MichaelNyobange-ss5pp
@MichaelNyobange-ss5pp 8 месяцев назад
Pastor Ndache you are a true pastor
@JamesMatiko-i2z
@JamesMatiko-i2z 8 месяцев назад
Pastor Ndacha Mungu akulinde wapukutishe waislamu kwa maandiko
@nahashongichine4877
@nahashongichine4877 8 месяцев назад
I love how people in the great nation of Tanzania co-relate together, both Muslims n Christians live together in peace n love
@MarysianaMalekanana
@MarysianaMalekanana 6 месяцев назад
Ndacha mungu aendelee kukutumia
@evarlneambiyo881
@evarlneambiyo881 6 месяцев назад
Ndacha Mungu akuinuwa sana tena sana ❤❤❤❤❤
@BofaKatana
@BofaKatana 15 дней назад
asanta pastor kwa ufahamu mwingi wa mkusanyiko wa vitabu be blessed Ndacha
@MeshackKraveri-y3g
@MeshackKraveri-y3g 8 месяцев назад
Kunawatu wariebarikiaw ndacha mungu akubarikik❤❤❤❤❤
@EvaristeKasonia
@EvaristeKasonia 14 дней назад
Nievariete toka Congo ,paster ndasha nakuapia kwangu, atakama wanakatala mungu anakuwekea tuzo kubwa
@JamesMwaringa-d7n
@JamesMwaringa-d7n 8 месяцев назад
Bibilia ni mkusanyiko wa vitabu hapo Ndacha nakubaliana na wewe🙏🙏
@samkabayiza6212
@samkabayiza6212 7 месяцев назад
Ndacha hadanganye
@abasingaruka1872
@abasingaruka1872 8 месяцев назад
Mimi ni mwislamu, Nakubali majibu ya ndacha, Sule acha uoga kuleta ukorofi
@allyhamad9665
@allyhamad9665 7 месяцев назад
Wewe ni muislam kweli au unataka kuuchafua tu uislam
@farhiaabdii8279
@farhiaabdii8279 6 месяцев назад
😂😂😂
@ismailkhamis-ks8gp
@ismailkhamis-ks8gp 6 месяцев назад
Ww si mwislamu ni mnafiki tu
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 6 месяцев назад
​@@farhiaabdii8279hipo siku utajua yesu ndio njia maanake Sasa hupo kwenye giza
@allyhamad9665
@allyhamad9665 6 месяцев назад
Halaf usituone sisi waislam watoto eenh
@barakafondo8090
@barakafondo8090 9 месяцев назад
Waslaimu kwisha , Ndacha be blessed
@davidnyerere2016
@davidnyerere2016 5 месяцев назад
Mwenyezi mungu alitoa mwanawe msalabani kwa watu wenye dini tofauti
@charleskamau645
@charleskamau645 6 месяцев назад
Mimi wakati nilikuwa Kenya tuliongea na Muislam mmoja huko Muranga na wakati tuliachana aliniambia neno langu kuhusu Mungu ni nzuri na angetaka siku fulani niende kwake tuongee na akaniambia mahali tutakurana. Nilifurahi sana na nikaambia Mungu anipe neno lile nitaenda kumwambia huyo muislamu. Nilipofika nyumbani kwangu nikaomba na nikalala lakini kwenye vision nikasikia sauti ya Mungu ikiniambia nisiende kwa huyo muislam sababu ana jama ya kuniua. Kwa hivyo sikwenda kwake. Pia Mungu aliniambia Allah ( mungu wa waislamu ni sanamu yani an idol god who cannot talk or hear and thats why they fight for him to the point of even killing somebody who opposes their god. For me nobody told me that Allah is an idol god but God himself spoke to me that day. Its a day l will never forget.
@lizzymwangi9940
@lizzymwangi9940 3 месяца назад
Yeah it truth 👏 I beside you 🙏Our God is Faithful Elijah tyme wth wanabii mlima kalimeli Dio hawa xaxa Waislamu
@fazkirtube1329
@fazkirtube1329 16 дней назад
Kweli naona umevuta bhangi mara ya kwanza
@MussaMohammed-g6o
@MussaMohammed-g6o 9 дней назад
Big lie
@MichaelNyobange-ss5pp
@MichaelNyobange-ss5pp 8 месяцев назад
I love pastor Ndache you are a true pastor of God
@hafidhmohd8696
@hafidhmohd8696 7 месяцев назад
mwambie ajibu swali sio kutofautisha baina ya sule na wanavuoni swali andiko la kusema bibliya ni kitabu chake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@egidideule7285
@egidideule7285 8 месяцев назад
Mim nafurahi sana kweli zinapo Julikana kama hivi neno linaongea Bwana Yesu asifiwe
@Mbossowanamanny
@Mbossowanamanny 6 месяцев назад
Mtumishi WA mungu mungu akulinde na azidi kukubaliki bwana yesu asifiwe Milele Im from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@JosefoMoises
@JosefoMoises 6 месяцев назад
Nakubali ukristo
@hirwaaccram
@hirwaaccram Месяц назад
MashaAllah I,m from Rwanda🇷🇼
@Jin-fl1hq
@Jin-fl1hq 6 месяцев назад
Mungu awe nawe daima mchungaji mkristo
@cabylake2320
@cabylake2320 9 месяцев назад
Mashaallah mashaallah Allah akbar Allah akbar ndacha jubu swali acha kukwepa
@ZakariaAlly-vq2rd
@ZakariaAlly-vq2rd 9 месяцев назад
Doctor sule Allah akubarik ukupenguvu uweze kuwabana wabaya wadini akuingize peponi
@MohamGradaung
@MohamGradaung 7 месяцев назад
Amiyn ya Rabin
@airMH370
@airMH370 6 месяцев назад
Aaaamin
@PriscillaThadeo
@PriscillaThadeo 7 месяцев назад
Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu EFATHA
@islamninja8306
@islamninja8306 9 месяцев назад
Ndacha anakwepa ukweli hali ya kua unajua sababu ya maslahi ya kidunia, Mwenyezi Mungu atuongoze tusiwe ni wenye kupotea 🤲
@ImaniTinda-h6x
@ImaniTinda-h6x 2 месяца назад
Acha ka wivu wewe
@RoseMuniss-y5q
@RoseMuniss-y5q 2 месяца назад
Mmhhh uwe unakuja na hojaa
@JofreyAbdala
@JofreyAbdala 7 месяцев назад
Jaman hzo nkama vta kilaamt aamin kiviake me nampenda yesu aamina mtumishi yesu kasema wawili au watatu na yeye atakuwepo
@threebrothers..
@threebrothers.. 7 месяцев назад
Endeleeni kutukuza maiti, Muhammad
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 месяцев назад
saana ti
@chinemaentertainment1110
@chinemaentertainment1110 Месяц назад
Acheni upumbavu
@FabianoSinghania
@FabianoSinghania 6 месяцев назад
Kwani wa Isilamu mtaendelea lini kujiweka vitambaa kwa macho wacha nikwambie ukifuatilia bibilia ukaona agano lakale na agano lipya kama Yesu agekataa kukuja kuwaokoa musingeishi vizurii maana zamani ukifanya dhambii ulikua ukiwuliwa na Mungu au uwekwe msalabani. Na kila mtu wa kawaida alikua hana Uezo wakumuongelesha Mungu. Lakini kwa sasa juu ya JESUS unaishi na sio waminifu wako nyie wa ililamu nawapia hukuna kufika Mbinguni Bira gupitia Yesu Kristo labda ukitubu.🙏🙏
@JeanpaulIssa-o8i
@JeanpaulIssa-o8i 9 месяцев назад
Docta Allah akupe umri mrefu ili uelimishe watu dini Ya Mungu.
@NYAHURURU_ICON
@NYAHURURU_ICON 8 месяцев назад
Kutoka leo ndini niya kikristo nimeachana na ndini ya muisilam kutoka leo tafadhali mnikubali ndugu zangu wakristo🎉🎉🎉
@jonathansolomon456
@jonathansolomon456 8 месяцев назад
Safi sana wamuzi muzur
@LeeLuko-q6h
@LeeLuko-q6h 7 месяцев назад
Karbu sana Kwa Nuru God bless you
@MariaFlenk
@MariaFlenk 7 месяцев назад
Asante sana karubu kwayexu
@AshirafuIssa-u6e
@AshirafuIssa-u6e 6 месяцев назад
We mbwa Ni mkristo kitambo usijifanye muislam Lakin usiwe Fala mbwa Wewe kafiri mkubwa
@NYAHURURU_ICON
@NYAHURURU_ICON 6 месяцев назад
@@AshirafuIssa-u6ewewe ndie wanijua kweli mbwa ni wewe sasa mkuu wewe utaniambia nn kumamako nlibadili dini mimi na nmekuwa mkristo nimetakaswa na damu ya Yesu kwa Muhammed sikujua nliendea nn
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 6 месяцев назад
Ndacha nakupenda saana hadi kifo kunichukue
@AdeshMoha-ir4be
@AdeshMoha-ir4be 5 месяцев назад
Kuele ama pasta wanawadanganya anaulizwa swali anaruka swali kwani hamna maskio ama😮😅 namuoni ama
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 4 месяца назад
​@@AdeshMoha-ir4beSoma bibilia
@ROBERTYAKHABA
@ROBERTYAKHABA 20 дней назад
Pst Ndacha may God give you wisdom to challenge them
@jacksonmwamkinga8729
@jacksonmwamkinga8729 7 месяцев назад
Pastor upo vizuri sana
@JoyceMonewa
@JoyceMonewa 3 месяца назад
Bwana yesu akubaliki sana wakatea wasikubali yesu ni Bwana na Bwana ndiye mungu❤
@JeanbaptisteMwenyemali
@JeanbaptisteMwenyemali 6 месяцев назад
Kiukweli nimechanganyikiwa jibu yenu nyinyi wote ni kwamba . Kwaimani yangu Mungu na dini yangu wako Rohoni mwangu . Imaniangu ndo kilakitu
@laylayl5166
@laylayl5166 Месяц назад
Mashaallah. Namshukuru mungu kuzaliwa mwislaam sikupotea
@pettybrown2655
@pettybrown2655 9 месяцев назад
Pastor ndacha GOD guide and give you more power and strength
@baumaeddytoutestprophetiqu6322
@baumaeddytoutestprophetiqu6322 9 месяцев назад
God works with hearts not heads! All these these people do not know either God or His word
@baumaeddytoutestprophetiqu6322
@baumaeddytoutestprophetiqu6322 9 месяцев назад
Wakorofi nyote
@AdeshMoha-ir4be
@AdeshMoha-ir4be 5 месяцев назад
Pawagani hadi ja jibu suali anaruka swali masikio ama ona ama
@aminanekesa3718
@aminanekesa3718 5 месяцев назад
Mdahalo wa Elimu jamani😂d'alibi za Ndacha ziinaonekana kama hana éliminer ya kutosha Allah Akulinde Sheih Dr sule❤
@kabarezephanie3573
@kabarezephanie3573 6 месяцев назад
Ndacha wewe nimwalimu kbsa ❤❤❤
@daudirobert6796
@daudirobert6796 2 месяца назад
Shekhe nomaa uyuu
@CatherineGodfrey-dx2uo
@CatherineGodfrey-dx2uo 6 месяцев назад
Amen god teaher work sewing
@WaridiLugano
@WaridiLugano 6 месяцев назад
Amina amina umenena baba yesu akuongeze
@wideman8362
@wideman8362 9 месяцев назад
Kiukweli namkubali dr suley ila ndacha hana mpinzani hapo
@LaughKey-f8x
@LaughKey-f8x 9 месяцев назад
Hawamiezi hawa wakosa hoja
@josphatorina5131
@josphatorina5131 6 месяцев назад
Woooooooooow 👍. Very good 👍
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 9 месяцев назад
Ndacha Mungu kakupa hiyo kazi kwa makusudi,mtumikie yeye
@EuniceNgigi-ot6pg
@EuniceNgigi-ot6pg 8 месяцев назад
Ukweli
@Kanyabobothefirstborn
@Kanyabobothefirstborn 7 месяцев назад
You good to go pastor ndacha may God bless you tell them the truth
@nourlaboratory
@nourlaboratory 9 месяцев назад
Ukristo😂😂😂😂😂😂ni dini ya mungu uislam ni dini ya majini❤❤❤
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 9 месяцев назад
We umekalilishwa na walim wako ipo siku utakuja kuujua ukweli
@cabylake2320
@cabylake2320 9 месяцев назад
Siku ukifa ndo utajua ujuwi
@MariaFlenk
@MariaFlenk 7 месяцев назад
Nawaogopa mim wairam atari
@simionsteven5618
@simionsteven5618 7 месяцев назад
Unaakili timam
@ismailkhamis-ks8gp
@ismailkhamis-ks8gp 6 месяцев назад
Ngoja ufe ndío utajua hujui
@princejsong73170
@princejsong73170 8 месяцев назад
God bless you pst Ndacha. Although the venue was biased, you always beat the odds
@AdeshMoha-ir4be
@AdeshMoha-ir4be 5 месяцев назад
Ni pastor wakuru karuka kuliko wajibu swali anaitwa pasta ndacha endelea tu kuwadanganya wapange mzuri panga wao mzuri😂😂😅😅
@dominickyalo5517
@dominickyalo5517 7 месяцев назад
Ndacha Mungu akuzidishie hekima
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 4 месяца назад
MUNGU ni mmoja tu,wakristo makanisani mnamuongeleaga sana Yesu,mmesahau nguvu zote na MIUJIZA kapewa na MUNGU,Tumsujudie ALLAH.
@petermwelesa1749
@petermwelesa1749 6 месяцев назад
Amen kwa mwalimu wa bibilia
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 3 месяца назад
Safi sana najifunza mengi kupitia huu mdahalo kikubwa ukiangalia wote tu njia Moja.Kikubwa Hekima.
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 9 месяцев назад
Ndacha you are great
@Irene-k6j
@Irene-k6j 4 дня назад
Barikiwa sana ndacha mungu akutunzee
@charleskamau645
@charleskamau645 6 месяцев назад
Waislamu wa huko Kenya mkitaka kujua neno la Mungu na mambo ya Holy Spirit of God mtafute mtu kutoka church of God wale tunavaa nguo ndefu kama ninyi lakini hatuvai kofia kama vile mnafanya. Yule muislamu ataenda huko atafundishwa ukweli wote na vile Mungu hutaka watu wake wakae wakijitaarisha kwa kurudi kwa Yesu mara ya pili kuchukuwa walio wake. Waislamu wote hawajaokoka pamoja na wale wanajiita wakristo na hawajaokoka wote wataenda motoni milele na milele.
@KudraRashid
@KudraRashid Месяц назад
Ndio mkauliwe na pasta makenzi ama wafate sprity gani
@IbrahMhumble-py6iy
@IbrahMhumble-py6iy 25 дней назад
Ndacha alipigwa chenga so ni kuruka tu swali anabaki anahubiri badala ya kujibu swali DR sule I salute you
@clintonorina-u5u
@clintonorina-u5u 9 месяцев назад
Ndacha you are a blessing to christians
@smartlifefun
@smartlifefun 9 месяцев назад
If this is a doctor in tz am afraid😢😢 l mean he doesn't comprehend and connect the dots😂😂
@sumenokisupai8171
@sumenokisupai8171 4 месяца назад
Munjungaji mkrsito hongera sana mungu akubariki sana
@Jamilahjm-l3c
@Jamilahjm-l3c 3 месяца назад
Mungu akulinde siku zote akupe nguvu ya kutufuza napenda mawaidha Yako
@mohamedmohamud9691
@mohamedmohamud9691 8 месяцев назад
Huyu ndacha badala ya kujibu maswali moja kwa moja anajifanya mjanja kwa kuleta topic tofauti ili kuchanganya watu. Hana mwelekeo hutu ndacha mnao wasikiliza bali ni mbishi anae piga ma kelele ili kuichanganya na kupotosha fikra za watu. Hii ni Aibu kubwa mno.
@SuleshKE
@SuleshKE 5 месяцев назад
Wewe unamwelekeo jibu
@ProsperKilenga
@ProsperKilenga 3 месяца назад
❤❤ ndacha wetu wewe noma sana baba waeleweshe
@UddymanThegreat
@UddymanThegreat 6 месяцев назад
Namshukuru allah kwakunipa dini ya haki islam ndio dini yangu
@DrUno-kp8go
@DrUno-kp8go 6 месяцев назад
😂😂😂
@lulkul7784
@lulkul7784 6 месяцев назад
Alhamduliliah proud to be a Muslim ❤
@Raymtumishi
@Raymtumishi 6 месяцев назад
Mjinga wee mbinguni hatuend kwa dini
@mchungajiZachariatv
@mchungajiZachariatv 2 месяца назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-X83K3nWdbZ8.htmlsi=rtuM55hCBs_72Len Kanisa limewaka moto Fuatilia nguvu ya kufunguliwa
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 4 месяца назад
Ndacha elimu ndogo, doctor Sulley uko juu sn MashALLAHu
@deogratiusarkadmrosso3924
@deogratiusarkadmrosso3924 7 месяцев назад
Mungu akubarik ndacha
@GeasiMkobani
@GeasiMkobani 3 месяца назад
Ahsanteni kwa mdahalo mzuri,hakika tunaelimika. Ukristo ni dini imara.
@EuniceNgigi-ot6pg
@EuniceNgigi-ot6pg 8 месяцев назад
Thanks for sharing the wise will understand the foolish will perish
@RogerJulius-le3xs
@RogerJulius-le3xs 5 месяцев назад
Hawakuwezi hao mungu akutie nguvu kamand ipo siku na sisi tunapigania din yetu tupo pamoja
@MkumboJaphet-yx3jp
@MkumboJaphet-yx3jp 9 месяцев назад
Mbona huyo Pasta amejibu vizuri sana...ameshindwaje hapo
@MoiseMutarami
@MoiseMutarami 9 месяцев назад
NDG yangu Sule na elimu ya kuzimu.wamepofushwa macho na masikio wapate kuamini ujinga.hata wangeelimishwaje ngumu kuelewa hapo!.
@abyolafadhili5734
@abyolafadhili5734 9 месяцев назад
Toa Aya kutoka kwenye bibilia acha tafsiri ya neno Bibilia
@MoiseMutarami
@MoiseMutarami 9 месяцев назад
@@abyolafadhili5734 biblia ndio NN?.utatakaje aya kwenye kile hakipo.ukisema toa humo manake unatambua uwepo wake.almuhim ni kwamba hizo mada haziwahi kubadilisha ukweli.walikuwepo wanapita ila imani haijapoteza hapo itoshe kujua.
@LaughKey-f8x
@LaughKey-f8x 9 месяцев назад
Hawa mazumbukuku hawaelewi
@husseinkiruta1712
@husseinkiruta1712 9 месяцев назад
Wakristo shida kweli wapi aya biblia kitabu cha Mungu acha kuunga unga aya katafuta ushahidi 😂😂
@ErickSimon-k7e
@ErickSimon-k7e 2 месяца назад
Bila unafik kwl kuna wasomi wa biblia jins ndacha alivyojibu mungu pekee amlipe hitaji la haja zake🎉❤
@mambilemembe8892
@mambilemembe8892 6 месяцев назад
🎉❤❤❤ndacha nimekukubali,yesu ni bwana
@adnanel-islam3291
@adnanel-islam3291 6 месяцев назад
Hamna dini nyie anachukua aya azitakazo kwenye kitabu hicho nyengine anazikataa Hamna dini wakristo mnayumbishwa tu
@CatherineGodfrey-dx2uo
@CatherineGodfrey-dx2uo 6 месяцев назад
Okay honger very now god
@AllyIssere
@AllyIssere 3 месяца назад
Sijaona jibu sahihi kwamtushi shekhe sule ! Mungu akulipe kwa kher
@SmilingBlueMackerel-sl3xt
@SmilingBlueMackerel-sl3xt 3 месяца назад
Tatizo waislaam sijui awaja soma Yani ukweli uko wazi lakini awaelewi na sule anauliza maswali yakitoto kabisa
@ZainabuMwambashi
@ZainabuMwambashi 9 месяцев назад
Shekhe nakupenda kwaajili ya Allha yan Allha awajalie afya njema
@richardchimba3800
@richardchimba3800 4 месяца назад
Mbona kashindwa Sule 😂
@GOLDENMIND-y2004
@GOLDENMIND-y2004 Месяц назад
Mashaallah ❤❤❤❤
@FaridaRashidi-n9q
@FaridaRashidi-n9q 9 месяцев назад
Ndacha acha Kona Kona jibu swali
@apostlepeter2411
@apostlepeter2411 4 месяца назад
Ameeeen Yesu wetu asifiwe walimu nguvu za Yesu ziwe nanyi
@cyrusgathogo5639
@cyrusgathogo5639 9 месяцев назад
Wazee kumi kapewa elimu na mwanaume mmoja kwa Jina Ndacha 😂😂
@gatijoseph6788
@gatijoseph6788 9 месяцев назад
😂😂😂😂
@AsukileGwalugano
@AsukileGwalugano 2 месяца назад
Jamani MUNGU HABISHANIWIIIII TUJIFUNZE TU KWA UPOLEEEE
@chachawambura4030
@chachawambura4030 9 месяцев назад
NDACHA ni mashine bana😂😂
@manlematz821
@manlematz821 6 месяцев назад
Ndacha hana kitu kabisa anajibu nje ya swal
@ImaniTinda-h6x
@ImaniTinda-h6x 2 месяца назад
@@manlematz821 Toka zako unakawivu tu
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 6 месяцев назад
Huyu jamaa Mbona kanyosha jibu fresh tu
@esterkanudachandaruah6619
@esterkanudachandaruah6619 4 месяца назад
Hawezi akaelewa kama Hana d mbili
@saudaumar3354
@saudaumar3354 9 месяцев назад
namuona mazinge Allah awafurahishe nyote
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 7 месяцев назад
Ni komedi huyu jamaa huwa ajibi swali gumu bali kuleta vichekesho
@AsukileGwalugano
@AsukileGwalugano 2 месяца назад
😂😂😂😂 mchungaji NOMAAAA
@pauluyagirwe6189
@pauluyagirwe6189 9 месяцев назад
Ubarikiwe sana Mch Ndacha
@GeboGebo-c5v
@GeboGebo-c5v 3 месяца назад
Mungu akulinde mtumishi wa mungu
@thomasshuhulichimbeja7441
@thomasshuhulichimbeja7441 8 месяцев назад
ndacha be blessed
@MURHATIKIGUMI
@MURHATIKIGUMI 4 месяца назад
uislamu raha Allah awabariki mitume n manabii wake wote n wajumbe waliokuja baada yao mashekhe woteee dunian wazid kuwatoa watu ktk giza n kuwaleta ktk nuru ya ALLAHU
Далее
URITHI WABIBI FULL MOVIE
1:17:38
Просмотров 782 тыс.
Million jamoasi - Sportsmenka bilan uchrashuv
15:05
Просмотров 550 тыс.
DR.SULLE AWANYOOSHA WAISLAMU BADILIKENI ACHENI/
16:30
Просмотров 2,1 тыс.