Pamoja sana vija tupo natutakilinda chama chetu cha ccm maana tunakiamini by kamati ya utekelezaji kata ya Zongomera sisi tumejipanga hasuaaaaaa.Eng Timothy Alex mayala nawatakieni majadiliano mema hapo kwa mkapa kalibuni kahama nasi tunakidumisha chama cha mapinduzi ccm amina
MSIGWA SIO KIRUSI NI MTU ANAYEJITAMBUA NA ANAJUA HAKI ZAKE KWA KUWA USIPO IPATA HAKI YAKO CHADEMA WAWEZA IPATA KWINGINEKO MBONA WATU WANAHAMA KUTOKA CCM KWENDA CHADEMA HAMSEMI LISU SIO MUNGU YEYE AENDELEE KUTENGENEZA MAADUI MWISHO ATAABIKA MWENYEWE AJICHEKESHE HAPO KISHA MBOWE ATAMPA ANACHOSTAHILI ,
Kaka lisu huyo jamaa anajulikana ndio tabiya yake. Hujamsikia msukuma alichokisema alikuwa akitumia pesa ya ccm kufanya mambo yake. Kumbuka aliwahi kutolewa gerezani na magufuli huyo ni mpuuzi mmoja tu.
You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person