@@kesterkanyala7718 kabisa yaani watanzani tumekuwa wakubuluzwa tu kama taili bovu , na tatizo ni viongozi viongozi wamekuwa majizi makubwa ya kutufanya sisi hatuna akili .
Amani nimhim Sana ndugu zetu tusiingie kwenye machafuko Tutayumba Kiuchumi na Taifa litapoteza mwelekeo tuwe wavumilivu na wasikivu tunapotafutiwa ufumbuzi
Uyu mpumbavu anajiita mwenyekiti wa wafanyabiasha huyu mjinga anatumika na serikali kuwapiga wafanyabiasha sound msifungue maduka mpaka raisi waziri mkuu aje mpaka kieleweke na litolewe tamko la kisheria kuondoa matatizo yote ya tra
Report ya CAG ilionekana kuonesha ubadhilifu mkubwa wa fedha za umma zinazotokana na kodi za wananchi. Tuambieni ni hatua zipi viongozi waliifanyia kazi report ya CAG kuonesha wana uchungu na hela zetu za kodi zinazotumika vibaya na baadhi ya watumishi wa serikali. Tumeshtuka hatutaki udhalimu
Tanzania is our national be strong to your national we don't have palament this what call palament only difend green uniform not we tanzania to clouse kariako and country wide because of so much taxpayers wich we don't have ather national such tax clouse shops kariakoo daresalama they will understand you by action not Tolking we have one of the weasy finince minister ngulu nchemba l think since we got lndipendet we never have such weasy finince minister in our national kwahiyo kujitetea ni sisi wenyewe sio hiyo bunge mmeta kuongea kwa miaka mingi hakuna msaada wowite mkuwa mnateseka mafuta kuongezea tax Kila kukicha lazima tutafute ufumbuzi kwa akili zetu wenyewe
Mukiwashe tz nzima.washike adabu zao.serikari ya hovyo sana hii.ina maana ukiwa mfanyabiashara nizambi.baada ya kumsaidia mfanya biasha yenyewe inakuwa niadui
Nyie watu uchaguz ukipita baadhi yenu watakufa kwa mabom watu sas hiv wanalinda uchaguz ,ilitakiwa tuandamane kwa tozo mbalmbal ili tuwajue kam ni watu wema
Uchaguz wa mwakan inatakiwa wapiga kula wawe na TN number kusudi mbunge na rais atakaeingia madarakan awe na uchungu wa Kodi za wavuja jasho kulinda na kuzitumia Kwa heshima kuliko ivi sasa serekal inakopa pesa znatumika Kwa matumiz yakawaida badala yakuzalisha faida itumike kulipa den
Anachokiongea huyo hakijui eti tukiona hakuna badiliko tufunge tena mabadiliko yalifanya tukafunga ndo tufungue bili kuyaona!. Pumbafu kabisa fungua wewe na mwigulu .
Hii n siasa jiulise swali hili kama unaakiki * Hili tatizo limejitokeza ghafla au mlilalamika mda mrefu sasa, Sass kama mlilalamika toka öda mrefu, kwanini wasingelishughulikia kipind hiko kama kweli wako seroıus et waje kushughulikia eakat huu kwa kuwaomba mfungue biashara! *This is totally nonsense* Msifungue mpka tatzo liwe solved, Mkifungua tu imekula kwenu!!
USHAURI. Namuomba mheshimiwa rais atoe tamko maduka yote ya waliogoma kufungua mpaka sasa yasifunguliwe kabisa mpaka waombe msamaha kwa kudharau serikali. Pia huyu mwenyekiti wao ambaye ni mtumishi wa idara serikalini achukuliwe hatua za kinidhamu kazini kwa kuchochea uhujumu wa mapato ya nchi yanayomlipa mshahara! Mkiwaendekeza wafabiashara ni kukaribisha migomo kwenye sekta zingine.
Hivi nyie wajinga nyie mnatuonsje? Ripot ya mkaguzi wa hesabu za selekari mnadhani hatukuisikia.wizi wenu wa hela zetu hamtosheki bungeni nako mnagawana hela kila siku wajinga nyiehamlizi? Hafu eti mwigulu bila aibu anSapot savice leav. selekari la hovyo kabisa lipingwe n kili mwenye akiri timamu
Afuu mnazingua wenyewe wazee wa kariakoo, Kenge kama huyo msaliti ameshahongwa Pigamawe tu. Analeta ufala na maisha ya watu, Nnawachagua wanaenda kutetea ugali wao pimbi hao.
Hawawezi kutekeleza kero za wananchi nawakati wao ndiyo wamepanga kodi tusiwe wajinga tujifunze kenya pambana mpaka upate haki yako hakuna haya ya rom ya mazungumzo mgomo ndio mazungumzo tunapigwa