Hawa CCM hawa wallah wale wanzanzibar wazalendo hatuwezi kuwasahau,,hayo yaliyomkuta baba mzazi wa babu Juma yapo kila kona kwa wazanzibar ,,mtu atashanikia ccm kwa sababu tu tumbo lake au ni mgeni wa nchi hii,,
JUMUWIYA YA AKINA MAMA ACT MUMTAFUTIE ZAWADI MAALUM MAMA JUMA DUNI HAJI NA ZAWADI NZURI NI KUMKABIZI MSIKITI NA NYUMBA KATIKA ENE HILO HILO MOJA NI OMBI AKINA MAMA MUMUENZI MAMA MWENZENU NA MAMA YETU
Mapinduzi. Oyee Mungano oyee Eti mwarabu alikuwa anachukuwa watumwa😂😂😂 Haya sasa tunayona utawa wa nyerere. . Hapa zanzibar kama hatujaomba msamaha kuhusu mauwaji 1964. Basi visiwa hivi viko hatarini. Mujuwe tu yote haya ni muengereza na kanisa ndio walopanga kila kitu.
Kupigania kuiondosha CCM madarakani pia ni kaktika jihadi kubwa maana CCM imepania sote tufe makafiri... Pombe na zinaa ndio vitega uchumi vyao anaesema ukweli ndio adui yao na tusijizime data ukweli CCM ishatamka wazi hazarani kua haiwezi kuruhusu uislam utawale zanz.. vijana tuamkeni na tujitikezeni kuioinga CCM Kwa gharama zote
Pole sana dada , ndo walivo hata hv mm mwenyewe lilinikuta nimeingia kwenye chumba cha uchunguzi kuingia hata bado ile nashuka tuuu miguu haisimami natembea kwa magoti nikenda leba ananifukuza nitoke hapana nilipanda kitandani nikazaaa peke yng wakasikia mtoto analia ndo hee kumbe ashazaa voo wakabakia kuomba samahani nawaangalia nikamuomba ALLAH anipe subra
Laiti kama maisha yanarejesheka nyuma tungeomba wazee wetu walio pita warejeshwe kazini tatizokubwa madokta wakileo hawana adabu kwanza vitoto vidogo hakuna vinavo jali hata kimoja zeni elimi walizo nazo sio zakwako ndo mana hawana uchungu na fani zao