Тёмный
Testimony Tv
Testimony Tv
Testimony Tv
Подписаться
JE KUNA MUNGU WATATU?
48:05
3 месяца назад
NDACHA NA PR. CEASER MASISI
37:58
3 месяца назад
NDACHA NA PR. CEASER MASISI
22:58
3 месяца назад
NDACHA NA PR. CEASER MASISI
47:14
3 месяца назад
NDACHA NA PR. CEASER MASISI
25:09
3 месяца назад
Комментарии
@SamsonKihika
@SamsonKihika 11 дней назад
1:12:29
@SamsonKihika
@SamsonKihika 11 дней назад
We love you mwalimu dacha, Mungu akulinde
@SamsonKihika
@SamsonKihika 11 дней назад
Kwa kweli tumepata nuru kubwa kupitia mafundisho yako
@estakenia
@estakenia 20 дней назад
😂😂 masisi ni mwongo , Mungu akisema amesema.
@OscarSifuna-x8k
@OscarSifuna-x8k 21 день назад
Mwankemwa ako Sawa anatafsiri biblia kiroho lakini ndacha anafsiri kimwili
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 8 дней назад
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. " "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Mwamkwema uko sawa barikiwa sana
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Ww ndacha soma maandiko vema yohana 3;16
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Ndacha anajitafutia umaarifu wakishetan
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Ndacha ulaaniwe kwakupotosha maandiko umeongeza nakupunguza
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Mwamkwema uko saws achana nahuyo kipofu wamaandiko
@AareMjungu
@AareMjungu 6 дней назад
Yesu ni mungu kwasababu ni mwana wa mungu, ila yesu si mungu NAFSI.
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Ww kikuyu mbona unakuwa kama wale wakenya wanasema sfa ya mlima kenya?
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Ndacha huna maana
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Ndacha huna jipya soma maandiko vzr unadanganya watu subr hukum
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Bibilia inasema watu wangu wanaangamia kwskukosa maarifa nakutokujua maandiko
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
Wote wanaomuunga ndacha wamepotea mwisho wake nikupotea hiyo ndacha hana roho mtakatifu
@NoahSeludao
@NoahSeludao 21 день назад
We'we ndacha acha kupotosha watu utalaaniwa mwalimu Daniel I alko sawa
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon 22 дня назад
Sikiliza kichwa cha kirsto kikifunguka achana na msasfu
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon 22 дня назад
28:19Matayo Kwajina lababa na lamwa na Roho mtakafu imeunganishwa
@ZachariahZablon-j9f
@ZachariahZablon-j9f 22 дня назад
Roho ni shaidi kwamba yesu amebatizwa
@solomonmugao4733
@solomonmugao4733 24 дня назад
Hivyo ni kusema kwamba watu waendelee kuiba kuzini na kuua ki holela ama huyu mchungaji tapeli bandia anasema nini
@solomonmugao4733
@solomonmugao4733 24 дня назад
Huyusio mchungaji mbali ni mtu wa kujitakia ya kwake. Wagalatia 5:19 endelea inatoa mstakabali wa ambao hawataridhi ufalme
@AziziPonera
@AziziPonera 24 дня назад
Mungu ni mmoja Haku zaa Wala hakuzaliwa Wala hana wa kufanana nae.
@MITEIJULIUS
@MITEIJULIUS 28 дней назад
Let's the world new the truth?
@herimwinge-et9ei
@herimwinge-et9ei Месяц назад
Kumbe tukiwa mbele ya ufalme wa mbinguni Yesu anakua bro wetu mkumbwa nimeipenda iyo Mchungaji Ndacha ubalikiwe sana Im Muslim Tz.
@BarakaAkech-r9q
@BarakaAkech-r9q Месяц назад
Wewe pr aujui lolote kwa mingu tulia ufundishwe
@BarakaAkech-r9q
@BarakaAkech-r9q Месяц назад
Wewe pro, nenda kalale unasimbuliwa na elimu ya dunia hii auwezi kuelewa mambo za kiroho
@McharoMshana-x6p
@McharoMshana-x6p Месяц назад
Asanten waalimu
@sophiaesmarcharo9775
@sophiaesmarcharo9775 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤝
@AdamusonKomba
@AdamusonKomba Месяц назад
Mungu nimamulaka yautendaji kazii na baba nimumiliki wa nafusi tatu hai mwana nimamulaka naloho nimamulaka yautekelezaji haionekani hatambinguni ila inatendaaa
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 Месяц назад
Kikiwa na Mungu baba lazima kuwa na mungu mwana na mung mama. wakristo funguen akili zenu acha kjitia vipofu waa akili.
@laboratorykibahadc
@laboratorykibahadc Месяц назад
Yohana (st jJohn 10:30 kjv) I and my Father are one tafsiri hiyo swahili ni Mimi na Baba tu mmoja na si umoja, kama ni umoja basi biblia kizungu ingesema I and my Father are once.
@AgnesMhanzi
@AgnesMhanzi Месяц назад
Hilo fundisho la utatu ni mpango wa shetani na linatula wakirsto wote ulimwenguni ni lauongo
@McharoMshana-x6p
@McharoMshana-x6p Месяц назад
Asante ndacha mm Niko Kilimanjaro nakuomba uje huku kwetu mm ni mkiristo
@IrishuraIshmael
@IrishuraIshmael Месяц назад
Hakuna Mungu zaidi ya yesu ndugu bando haujaele bado jifunze dhidi ya Yesu na Baba yake maana haujapata kujabata kijuwa maana Mungu alivaa mwili ili apate kufa
@benardmwamboneke9612
@benardmwamboneke9612 Месяц назад
Ndacha na mwankemwa nawaombeya roho awape wepesi maada hii msiwachanye wakristo wachanga mtawapoteza ila mwankemwa yuko sahihi ndo mana yesu nae alificha ukweli ili asiuwawe
@benardmwamboneke9612
@benardmwamboneke9612 Месяц назад
Nawapenda watumishi wa mungu na mungu awabariki ujumbe maada hii mwankemwa amenyosha
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
Ndacha hajui maana ya neno MUNGU ndo mana anaona kwamba yesu akiitwa Mungu nisawa kwa sababu ni mwana wa mungu . Anafikiria kibin🎉adamu na ndio mana hakubali tatu kuwa moja Kwahiyo NDACHA Pia hakubali kuwa ndoa ina mwili mmoja kama Mungu anavyosema kutokana na akili ya kibinadamu . Ni akili hi hii ya kibinadamu inayosababisha kuona kwamba tatu haiwezi kuwa moja . Lakini kiukweli maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu Isaya na Tito Yesu ni Mungu Mkuu na inasema yesu ni Mungu baba wa Milele tena inasema niMfalme wa wafalme pia yanathibitisha kuwa Mungu ni Roho . Shida ipo kwenye akili ya kibinadamu ambayo haikubali kwamba tatu inaweza kuwa sawa na moja au mbili kuwa sawa na moja jambo ambalo kwa Mungu inawezekana kabisa na mfano mzuri ni ndoa ambayo ina miili miwili ambayo ni mmoja..
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
Ndacha anasema yesu kuitwa Yehova ni sawa kwa hiyo yesu ni yehova ikiwa Ndacha unakubali yesu kuitwa yehova basi yesu ni mungu kwa vile jina Jehova ni jina la Mungu Muumbaji
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
Aaah Ndacha Yesu ni sawa na Mungu lakini sio Mungu hii kauli yako unajichanganya kwa vile Neno Sawa linaonesha ulinganifu wa pande mbili zinazolingana na ikiwa pande mbili hazilingani Neno SAWA Haliwezi kutumika unaposema YESU NI SAWA NA MUNGU huwezi tena kusema mmoja anamzidi mwenzie kwahiyo Unapo sema yesu ni sawa na Mungu unamaanisha yesu ni Mungu
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
NDACHA tafuta jina la Mungu . Jina baba sio jina la Mungu utapata kufahamu vizuri mahusiano ya mwana na baba . Je aliye baba jina lake ni nani
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
DACHA Unasema hakuna andiko lililosema Mungu Roho wakat andiko hilo lipo MUNGU NI ROHO NAO WAMWABUDUYE WAMWABUDU KATIKA ROHO
@AareMjungu
@AareMjungu 6 дней назад
Kusema Mungu ni roho na kusema Mungu roho hapo ni sentence 2 zenye maana 2 tofauti.
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
Hapana ni hiv ww jina lako ni NDACHA Lakini katiba ni jina la baba yako . NDACHA HILO LA GATIBA SIYO JINA LAKO
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
Ndacha neno Mungu si jina ufahamu hivyo kwanza . Mungu maana yake ni muumba wa mbingu na nchi vyote vilivyomo. Jina la Mungu baba ni BWANA kwa lugha ingine ni Yehova je hujasoma sehemu yesu anaitwa BWANA? NDACHA pia uliwahi sema kuwa hakuna neno MUNGU MWANA hili andiko Mungu mwana nalo lipo . NDACHA anasema yesu ni mungu kwa asili maana yake nini sasa ni hii Muumbaji kwa asii maandiko machache brother
@christophersimwinga6689
@christophersimwinga6689 2 месяца назад
Kama Mungu ni baba .mbona andiko la lamtaja Yesu ni baba andiko lipo ndacha Soma Isaya inasema hiv atatakayezaliwa ni MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE Nabii Isaya anamtaja yesu kuwa ndiye Mungu baba. Andiko lipo kwenye biblia huwezi kukataa kuwa yesu si Mungu maandiko zaidi mia moja yanamtaja yesu kuwa ni Mungu baba . Hiv Ndacha unafahamu kuwa lipo andiko linaloonesha yesu yupo katikati ya kiti cha enzi mbinguni. ww una maandiko machache
@AareMjungu
@AareMjungu 6 дней назад
dah!! wewe unashida ya uelewa
@joshualutengamasomwakilawa1025
@joshualutengamasomwakilawa1025 2 месяца назад
Ndacha wewe unachanganya watu ingawa unafikiri unamaelezo yanatosheleza labda wewe una elewa , je yesu anafaa kuabudiwa? Halafu wako watatu washuhudiao mbinguni baba mwana na Roho na hapo anamaanisha nini kama hizo siyo nafsi
@joshualutengamasomwakilawa1025
@joshualutengamasomwakilawa1025 2 месяца назад
Mimi sijaelewa maana mara yesu ni mungu nahuyo ndiye anakuja kwa mzee wa siku anakuja kama nani kama mungu au kama kiumbe?
@majanja420
@majanja420 2 месяца назад
Da mpaka moyo umenima,, kuzini sio dhambi!! Kweli tutaona mengi
@nicolasnzema08
@nicolasnzema08 Месяц назад
SIO DHAMBI BADILI NAMNA YA USOMAJI
@ChristianEinstein-t2j
@ChristianEinstein-t2j 2 месяца назад
Mwankemwa haeleweki ,ahsante ndacha mim nilikuwa mwana utatu lakini hivi leo hii nimebadilisha mtazamo wangu potofu wa kuamini utatu
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 8 дней назад
Mwakemwa anatetea imani ya Utatu na ukatolic wake bila kuwa a ujuzi wa kutosha wa kutetea imani hiyo ya uwongo aliyoasisiwa na lusfer (shetani). Imani ya utatu ni upagani wa Kirumi ulioingizwa kanisani kupitia kanisa katoliki la Roma mwaka 325 AD. Uwongo huo wa kuogofya sana wa fundisho la Mungu mmoja katika utatu wa mungu baba, mungu mwana mungu roho mtakatifu umebadilisha UKWELI kuwa Mungu ni Mmoja ambaye ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. " "MAKANISA" yanayoendesha ibada katika imani ya Utatu wa Mungu mmoja wa Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu ni ibada bandia na ni chukizo kuu la ukweli wa Mungu. Soma Ezekiel 8: 4-16
@chenzhenlee7633
@chenzhenlee7633 2 месяца назад
Mwalimu Daniel Mwankemwa anajua kufyndishs lakini Somo halielewi yeye anaongelea Uungu wa Yesu
@copylababa
@copylababa 2 месяца назад
Wendo hujamuelew
@MohamedMohamed-u3t1n
@MohamedMohamed-u3t1n 2 месяца назад
A LOT OF CONTRADICTION IN THE BIBLE😢
@AareMjungu
@AareMjungu 6 дней назад
there's no contradictions in the Bible unless you choose to believe so.
@MohamedMohamed-u3t1n
@MohamedMohamed-u3t1n 2 месяца назад
Huyu nae anasema yesu ndio yeye huyo baba kwa hiyo kajizaa mwenyewe hii imani kama huna moyo wa upofu ndani yako huwezi kuifuata abadan
@fredykiluka6606
@fredykiluka6606 2 месяца назад
Ndacha mungu akubaliki kwanza umetufunguwa macho ...tumekuelewa❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤❤❤
@KasiteDominic-bz7rn
@KasiteDominic-bz7rn 2 месяца назад
Munaanza Ku geuza mambo. Nyinyi muta potosha vipofu