Тёмный

JE KUNA MUNGU WATATU? 

Testimony Tv
Подписаться 431
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Ni swali linaloulizwa na kujadiliwa na watu mbalimbali Duniani leo, Katika majadiliano haya kati ya Fransis Ndacha na Fabiani utaweza kuongeza kitu kipya katika ufahamu wako juu ya Nafsi tatu za Mungu yaani Mungu mmoja kujifunua katika nafsi tatu (TRINITY), Mungu Baba, Mwana wa Mungu na Mungu Roho. Pia utajifunza juu ya Mungu mmoja yaani BABA, kisha mwana wa Mungu na Roho wa Mungu.
Karibu kwa Maswali na hoja zilizonamizizi ya neno la Mungu.

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 89   
@MusaMsaki-b8b
@MusaMsaki-b8b 2 месяца назад
Nakukubali sana mwalimu respct
@JohnOuya-w7j
@JohnOuya-w7j 3 месяца назад
Elimu yako nzuri,umenifanya sasa ninaelewa bible vizuri
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj 3 месяца назад
Asante kwa maelezo yako mazuri , baeikiwa sana mtumishi wa Mungu
@IrishuraIshmael
@IrishuraIshmael Месяц назад
Hakuna Mungu zaidi ya yesu ndugu bando haujaele bado jifunze dhidi ya Yesu na Baba yake maana haujapata kujabata kijuwa maana Mungu alivaa mwili ili apate kufa
@SuzanKonya
@SuzanKonya 3 месяца назад
MUNGU Awabariki kwa ujumbe na ufafanuzi makini.
@YoungAslam11
@YoungAslam11 3 месяца назад
Sawa mungu amemuita yesu mwanae. Wewe ndacha je mwanao anayomamlaka yako .na je mtu ukiwa mfalme je mwanao nae mfalme ataitwa mwanawa mfalme. Yesu sio mungu. Kutumia jina haimaanixh kuwa mungu .umejb vyema yesu sio mungu
@SiriliNachan
@SiriliNachan 2 месяца назад
Yesu n mungu amepewa hicho cheo na mungu
@msemakweli243
@msemakweli243 3 месяца назад
Unaelezea vyema ndacha
@iddyhassan7666
@iddyhassan7666 3 месяца назад
Mwalimu upo Sawa kabisa
@laboratorykibahadc
@laboratorykibahadc Месяц назад
Yohana (st jJohn 10:30 kjv) I and my Father are one tafsiri hiyo swahili ni Mimi na Baba tu mmoja na si umoja, kama ni umoja basi biblia kizungu ingesema I and my Father are once.
@stephensena7195
@stephensena7195 3 месяца назад
Barikiwa Sana Mwalimu Ndacha
@DeusMakubi
@DeusMakubi 3 месяца назад
Mnakata kata sana mahojiano, mmevuruga wenyewe waandaaji, ila mchungaji anaeleza vzr mungempa mda awasomee maandiko
@benardsonga6597
@benardsonga6597 3 месяца назад
ndugu Ndacha hili somo la utatu linakutatiza sana.
@YusuphLyanga-e8j
@YusuphLyanga-e8j 3 месяца назад
Wewe ndo linakutatiza,,,hiyo ni doctrine,, Soma 1corintian 8:6
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
pia NAMI simuelewi kaka
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
Tunaona anaongozwa na roho wamungu alipokuwa katika majaribu hapo Hilo somo limekupika Jenga kubwa sana
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
​@@YusuphLyanga-e8jKwa Hilo linamtatiza sana
@JohnOuya-w7j
@JohnOuya-w7j 3 месяца назад
Unaeza toa aya ambayo inaashiria utatu wa mungu,haiko na haitawahi patikana toka mpaka mwisho haimo
@stevenstationary
@stevenstationary 3 месяца назад
Mie huyo mungu mwingine simuhitaji aisee alishindwa kujitoa kuja kufa kwa aajili yangu mpaka Yesu ndo akajitoa kwa ajiili yangu.Yesu ndo Mungu wangu mmoja ambaye aliumba kilakitu
@OLUNGAJOSHMAH
@OLUNGAJOSHMAH 3 месяца назад
Upungufu wa Uwelewa Upendo aliyo kuwa nayo Baba kwetu ndio akamtoa mwanae kutufia hata huna haya unless wewe ,ni mwislaam wezi elewa Jhn3:16
@stevenstationary
@stevenstationary 3 месяца назад
@@OLUNGAJOSHMAH hakuna kitu kama hiko,mie nachojua Yesu anaitwa mwana kwasababu TU alizaliwa ila ni Mungu mwenyewe alifanyika mwili akaja kukaa kwetu
@alonmusse4729
@alonmusse4729 3 месяца назад
Hakuna miungu mitatu.bali Kuna Mungu mmoja katika nafsi tatu
@Ufahamu-01
@Ufahamu-01 2 месяца назад
Unakwama ndugu yangu fanya tafiti makini zaidi..
@TheGreatPerson1
@TheGreatPerson1 2 месяца назад
kumwelewa Mungu kuko nje ya ufahamu wetu ni machache yememfunua yeye katika Neno lake hivyo utatu bado ni siri kubwa
@annanjoki6826
@annanjoki6826 3 месяца назад
Yesu alipo kufa pale msalaba ni mamlaka yote alipewa na Baba yake na jina lake kikapewa nguvu kwa kina lake tutoa pepo kwa jina lake tutaponya wagonjwa na kwa kina lake tutafanya miujiza na maajabu lakini atakapo rudi kutuchukua kutupeleka kwa Baba yake ndipo atakapo regesha mamlaka yote kwa Baba yake ndipo akamwambia Baba kazi ulio nyuma nimemaliza hawa ndio nilio wapata duniani lakini kwa sasa tunamuita Mungu hata yeye mwenyewe anasema ukiniona mimi umemuona Baba yangu kwasababu mimi na Baba yangu ni kitu kimoja
@GunduaTV-et4nb
@GunduaTV-et4nb 3 месяца назад
Umetoa wapi hii?
@mush337
@mush337 2 месяца назад
Sijawai sikia mtu anayesema kuna mungu watatu,hata waindi na wachina wanajua kuna mungu mmoja tu,Sasa hilo swali gani. Ungeuliza je Kuna Mungu mmoja katikati utatu?
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 3 месяца назад
Yani hata kama huelew mandiko ndacha amefundisha vzuri sana barikiwa Sana mtumishi
@EmmanuelMoses-pb1zh
@EmmanuelMoses-pb1zh 3 месяца назад
Mimi hii hoja ya utatu inanitatiza tu sehem moja pale kwa Roho Mtakatifu
@anafikamugisha8834
@anafikamugisha8834 2 месяца назад
MUNGU ni mmoja TU. Nukta.Mwalimu ninakuelewa Sanaa Tena ninakuheshimu SANA.Hauna ubabaishaji Wewe ni MTU unayefundisha Kweli ya MUNGU wa Kweli haufundishi mapokeo.
@adam-sr9jk
@adam-sr9jk 3 месяца назад
Hueleweki juu mara unasema utatu hauukubali na yesu unamwita mungu,sasa ukweli upi unachanganya,
@shadyz9208
@shadyz9208 2 месяца назад
Sasa toa andiko pia linalosema Yesu ni Mungu kwa sababu ni mwana wa Mungu..
@SiriliNachan
@SiriliNachan 2 месяца назад
Mwana wa mungu n mungu hujaelewa nn
@janejoseph561
@janejoseph561 3 месяца назад
Alisema pia mumuombapo baba yangu neno lolote kwa jina langu nae atawapatia
@kiarienjire5595
@kiarienjire5595 3 месяца назад
Yesu kazaliwa lini Kawa Mungu lini
@YoungAslam11
@YoungAslam11 3 месяца назад
Yesu sio mungu mwenyewe unajikanyaga umetoa andko umesema uzima wa milele ni huu then ukasema kumjua mungu wa kwel na yesu uliemtuma. Sasa kama yesu ndomungu vipi ajitume mwenyewe
@YoungAslam11
@YoungAslam11 3 месяца назад
Saut imetoka mawingun na sio mbinguni .na je hyo sauti ilikuwa ya nan?
@musamagulu2023
@musamagulu2023 2 месяца назад
Okay sawa,na Yesu aliposema sitawaacha ninyi yatima nitawaletea msaidizi Roho Mtakatifu. Je huyo Roho ni nani na yupi?
@SleymanKassim
@SleymanKassim 2 месяца назад
MTUME MUHAMMAD
@TheGreatPerson1
@TheGreatPerson1 2 месяца назад
​@@SleymanKassim Roho wa Mungu ni nafsi iishiyo ndani yetu sio huyo ndugu
@HellenLemilya
@HellenLemilya 3 месяца назад
Mzee wa upako anasema yesu sio Mungu ni binadamu mtume kama alivyo kua akina Paulo vipi ww yesu ni mtu kama akina Paulo?
@OLUNGAJOSHMAH
@OLUNGAJOSHMAH 3 месяца назад
Anamuunga mkono kwa kukataa Utatu sio katika kukataa Yesu ni Mungu kwa kuwa ni mwana Wa Mungu
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 3 месяца назад
Hoja za ndacha ziko Sawa kabisa
@YoungAslam11
@YoungAslam11 3 месяца назад
Hoja hanaa mada anayozungumzia inabedhi kuwa yesu n mwanawamungu
@YusuphLyanga-e8j
@YusuphLyanga-e8j 3 месяца назад
Kumwelewa ndacha hd uiache biblia iongee
@BarakaZabron-py2fz
@BarakaZabron-py2fz 3 месяца назад
Absolutely true
@HellenLemilya
@HellenLemilya 3 месяца назад
Lakini kama Yesu anatumia jina baba ake basi Mungu baba ni Yesu maana jina la Yesu ni la Mungu baba according to your explanation
@whajavfsb5154
@whajavfsb5154 3 месяца назад
Wewe unatumia jina la baba yako ...je umekua baba yako?😅
@YusuphLyanga-e8j
@YusuphLyanga-e8j 3 месяца назад
Umemjibu vzuriii😂😂
@stevenstationary
@stevenstationary 3 месяца назад
Wewe ndo umeelewa.Mungu jina lake ni Yesu
@williams979
@williams979 3 месяца назад
Amri inasema "Usiwe na miungu mingine ila mimi," Kutoka 20:3. Sasa je, utajuaje kuwa Mungu wako ndiye sahihi? Jibu ni Yohana 8:54. Katika Aya hii Yesu aliwaambia Wayahudi kuwa wanenaye wao kuwa ni Mungu wao, huyo ni Baba yake, yaani ni aitwaye Baba (soma pia Yohana 3:16; Waefeso 4:6). Hapa Wayahudi hawakujua kuwa Mungu wao waliyeelekezwa, kupitia Musa, katika Kutoka 20:2-3 ana Mwana, Yesu ndiye aliyewafahamisha. Baba ndiye Mungu wa pekee wa kweli (Yohana 17:1,3; 1 Wakorintho 8:6). Hata hivyo, kinyume na Mungu wa Wayahudi aliyeelezwa na Yesu, wanautatu hunena kuwa Mungu wao mmoja ni Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, umoja wa nafsi tatu za milele. Je, Mungu watatu (Mungu Baba, Mungu Mwana, Mungu Roho Mtakatifu) wanawezaje kuwa mmoja! Umoja unawezaje kuwa Mungu!
@annanjoki6826
@annanjoki6826 3 месяца назад
Neno la Mungu ni Mungu mwenyewe tena neno la Mungu ni Biblia na hiyo Biblia kwa wasio amini ni ujinga lakini kwa hao wanao kuamini ni hekima na akili za Mungu kwa hivyo hili Biblia kama huna roho mtakatifu imefungwa utaisoma tu kama kitabu cha historia ya Yesu na haitakufanyia kazi
@SylvesterMakenzie
@SylvesterMakenzie 2 месяца назад
Natuwaumbe watu kwa mfano wetu hebu ndacha niweke vizur hapo hao wanaomuumba mtu kwa mfano wao ni akina nani katika kitabu cha mwanzo
@patrickwasesa4495
@patrickwasesa4495 3 месяца назад
mimi nilikua namtegemea ndacha kuamtetezi mzuri waumungu wayesu-kristo kumbe sivyo! imani yandacha njo ileyakiislamu
@Ayyub_Semtawa
@Ayyub_Semtawa 3 месяца назад
Jaribu kumsikiliza tena ukiwa na "fikra huru" na sio kimapokeo uliambiwa na viongozi wako wa dini...,utamuelewa
@YusuphLyanga-e8j
@YusuphLyanga-e8j 3 месяца назад
Umemjibu vzurii huyu mjolii,,,ili umwelewe ndacha inabidi utoee fikra ulizokuwa nazo za dini yako
@japhetndoro6533
@japhetndoro6533 3 месяца назад
Ndacha akosawa niww huelewi
@willymwaipaja6783
@willymwaipaja6783 2 месяца назад
Mie naona hujamuelewa tu Ndacha. Hebu pata hiii ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-vWcebEvrDss.html
@franciscomtambakuluca2830
@franciscomtambakuluca2830 3 месяца назад
Ndacha wew ni kiboko
@mush337
@mush337 2 месяца назад
Sasa yesu ni mtoto mwanaume,nyinyi mtaacha zenu ,yesu hana jinsia,kuchukua mwili wa kiume na kutahiri haimaanishi yeye ni mtoto mwanaume,yesu ni mungu na ni roho isiyoenekana, mwili ulionekana wa binadamu sio yesu mwenyewe,huo ni mwili tu ila yesu ni roho
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 3 месяца назад
Amen
@Jonas-t9h
@Jonas-t9h 3 месяца назад
Ndacha kanisa lako wapi baba staki kuburuzwa huku mimi
@AlhamdulillahLuqman
@AlhamdulillahLuqman 3 месяца назад
Kama Nyoka huza Nyoka basi yesu naye mungu.hivo msikwepeshikwepeshi mmebaki na waungu wawili mwana na babake kama mnavo Dai. Ivi mkisema mungu ni mmoja na yesu ni mjumbe wake shida iko wapi?
@YoungAslam11
@YoungAslam11 3 месяца назад
Swali je mtoto wa rais ni rais? Ujaona mbuz anazaa mbwaa
@GunduaTV-et4nb
@GunduaTV-et4nb 3 месяца назад
Dacha ukae na mtagazaji huyo visuri ndiyo ameweka amejua kuweka maneno msuri na kiswahili yake ni mnono
@MwasabuniSuleiman
@MwasabuniSuleiman 3 месяца назад
Je waebrania ni injili ya yesu?
@fredkamau
@fredkamau 3 месяца назад
the transition is totally different 1 John 5:7-8 New International Version 7 For there are three that testify: 8 the[a] Spirit, the water and the blood; and the three are in agreement. King James Version (1611) 7For there are three that bear record in heaven, the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these three are one. 8And there are three that bear witness in earth, the Spirit, and the water, and the blood: and these three agree in one. (1 John 7-8 KJV)
@fredkamau
@fredkamau 3 месяца назад
1 Yohana 5:7-8 Neno: Bibilia Takatifu 7 Wapo mashahidi watatu: 8 Roho, maji na damu; na hawa watatu wanakubaliana.
@pastoralexanderofficial6023
@pastoralexanderofficial6023 3 месяца назад
Ninacho hoona mungu nimmoja watu nimajina wamemjumuisha ilamungu nimmoja majina ndio walitaka kutumia kwajili wautukufu waliotaka kumuita basi
@ZukhelRwegoshora
@ZukhelRwegoshora 3 месяца назад
Kwenye miti Kuna jinsia mbili ya kike na kiume
@salimobeid1470
@salimobeid1470 3 месяца назад
Ndugu zanguni wakirusto kaeni chini mtafakari hii dini ya mchongo mnapoyea jamani bibilia haitambuliki kabisa ni maandiko ya wanaadamu kwa matamanio yao ya dunia sikilizeni maelezo mnaambiwa yupo mungu mmoja amabe pia ni mungu wa yesu jamani someni quran mjie ukweli
@BarakaZabron-py2fz
@BarakaZabron-py2fz 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 3 месяца назад
Mr ndacha nikutokuelewa hapo mbona tunasema wako katika utatu
@OLUNGAJOSHMAH
@OLUNGAJOSHMAH 3 месяца назад
Andiko
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 месяца назад
✌️🙏
@pastoralexanderofficial6023
@pastoralexanderofficial6023 3 месяца назад
Mi kwangu akuna kinachonzunguka akuna
@OLUNGAJOSHMAH
@OLUNGAJOSHMAH 3 месяца назад
Ukiwa wewe ni mkristo au pstr kula kibano Isiah56:10-11
@joshualutengamasomwakilawa1025
@joshualutengamasomwakilawa1025 2 месяца назад
Ndacha wewe unachanganya watu ingawa unafikiri unamaelezo yanatosheleza labda wewe una elewa , je yesu anafaa kuabudiwa? Halafu wako watatu washuhudiao mbinguni baba mwana na Roho na hapo anamaanisha nini kama hizo siyo nafsi
@joshualutengamasomwakilawa1025
@joshualutengamasomwakilawa1025 2 месяца назад
Mimi sijaelewa maana mara yesu ni mungu nahuyo ndiye anakuja kwa mzee wa siku anakuja kama nani kama mungu au kama kiumbe?
@pastoralexanderofficial6023
@pastoralexanderofficial6023 3 месяца назад
Yesu alitumwa kama mtume na anajielenza mwenyewe kua nimwana wa andamu alietumwa nayesu sijui kwanini mnakosa kumuelewa
@DrUno-kp8go
@DrUno-kp8go 3 месяца назад
Hujui chochote kuhusu biblia kma yesu n mwana wacadamu kwann zaburi 110:1 daudi anamuita bwana?
@stevenstationary
@stevenstationary 3 месяца назад
Pastor hao kondoo zako unawambia kuwa Yesu ni mtume tu😢
@BaruMasimango-zo2se
@BaruMasimango-zo2se 3 месяца назад
Ndacha we ni muongo saana Utakufa kafiri
@JohnOuya-w7j
@JohnOuya-w7j 3 месяца назад
Ww ndio muongo juu majini ndugu zenu walisilimu mtu yeyote ambae amesilimu ni ndugu na jini,ww utakufa tu na ukafiri wako wa Islam na majini
@JohnOuya-w7j
@JohnOuya-w7j 3 месяца назад
Utachomwa fanya uokoe nafsi yako mapema
@BarakaZabron-py2fz
@BarakaZabron-py2fz 3 месяца назад
Na moyon mwako unaamini kabisa unamtete Mungu kumbe sio
@pastoralexanderofficial6023
@pastoralexanderofficial6023 3 месяца назад
Ninacho hoona mungu nimmoja watu nimajina wamemjumuisha ilamungu nimmoja majina ndio walitaka kutumia kwajili wautukufu waliotaka kumuita basi
Далее
Je Mungu BABA ni nani?
2:07:10
Просмотров 6 тыс.
Тренд Котик по очереди
00:10
Просмотров 239 тыс.
Uungu wa Yesu.
1:16:39
Просмотров 3,5 тыс.
MCH: NDACHA :ETI? MUHAMMED SI MTUME WA MUNGU!
19:52
Просмотров 15 тыс.
MANABI WA UOGO BY NDACHA (KASARANI DAY 5)
2:07:08
Просмотров 10 тыс.