Ila chidd bhana, hivi huyu jamaa ana nini .....? Mbona anavyongea na anavyochukuliwa todauti....!!!! Mwandishi kama anajielewa aweze kuyatumia maswali alioulizwa na chidi katika kujua namna ya kuulizq
Waache tamaa au ndio kautoa kisa kuwa tajiri wa dunia 😂😂 yule karithi uchoko kutoka kwa senge aunty kessy pale kkoo yule ndio alikuwa mlezi wake kwenye salon ya Mama yake Romi Jones 😂😂😂
Ni kweli Raisi Anapiga Kazi Watu Waache Ujinga Baazi Ya Watanzania Sijui Akili Zao Zinaishi Kwenye Kucha Ikikatwa Na Akili Inakatwa Amani Ipo Isipokua Wenye Kualibu Amani Ni Watu Wenyewe Nasio Raisi Mfano Wananchi Wanataka Raisi Akawalinde Mpaka Kwenye Vitanda Vyao Mlinzi Namba Moja Niwewe Kujilinda Na Kumlinda Mwenzio Mfano Mtu Anashushwa Kwenye Basi Mbona Walikaa Kimia Wakati Umoja Ni Nguvu Mpaka Mtu Kubebwa Na Kuuliwa Aya Apa Watasema Upinzani Tunaenda Kwenye Basi Tena Dereva Wa Basi Anapigwa Na Dereva Kutoka Rwanda Mpaka Anakufa Abiria Wananchi Wamebaki Kuchukua Video Kwa Simu Zao Kama Kumbukumbu Wanataka Raisi Angeenda Kuokoa Mauwaji Inamana Upendo Unaanzia Kwako Wewe Watu Wanakuja Na Gali Lao Na Kumshika Mwenzenu Na Kutaka Kumuingiza Kwenye Gali Nyinyi Mpo Na Shelia Mnazijua Mtu Anashikwa Na Kwenda Nae Mwisho Aonekani Mnabaki Kusema Raisi Aongozi Vema Wakati Nyinyi Pia Amko Na Upendo Jilani Anavamiwa Wewe Dume Zima Unaingia Mvunguni Asubuhi Wa kwanza Wewe Kusema Raisi Aongozi Wakati Akili Na Nguvu Umepewa Na Mungu Lakini Azina Mana Kwako Kila Mtu Ajue Mlinzi Namba Moja Wa Amani Ni Wewe Ona Sasa Sikuizi Wamebaki Kwa Simba Oh Kaliwa Kaliwa Yani Mambo Ya Ajabu Na Ovo Kabisa Kwa Mungu Wengi Watafika Wamechoka Kwa Kupoteza Muda Wao Wa Ibada Na Kufuata Mazuli