Vilabu vyetu Tanzania vina shindwa kuendelea kwa sababu ya njaa ya mijitu michache, tayari wameona mafanikio bkatika timu sasa wameona wavuruge tu, hapo ndo mwisho wa mafanikio wa yanga kwa msimu huu....hii mizee imetokea wapi???
Mimi mwenyewe ni shabiki wa yanga kitambo mno ila sikuwa na furaha kushabikia yanga wala sikuwa naifuatilia yanga kiivyo ka ivi sasa nimefuraishwa sana na uongozi mzima wa yanga chini ya mhandisi Hersi Saidi yupo poa sana tena sana sana atutaki kusikia habari za wazee wanga wanga hao wachukue time pumbavu zao wametumwa upande wa pili na makolo na pesa wamepewa ili waivuruge yanga kwa taarifa yao mhandisi Heris saidi atoki na tutamlinda kama wao ni wazee wa yanga hata sisi huku ni wazee wa yanga tena ndiyo wachawi kuliko wao wasipo angalia atapotea mtu kimzaha mzaha maana kuna midude mikubwa yakiutisha tupo ata atujulikani tulipo ndiyo tuna tunamlinda huyo raisi wetu mpendwa wa Yanga Africa kwa mazuri yake aliyo yafanya atutaki siasa ktk foot Ball ivyo wakiiona hii coment wakae chonjo machifu tusije kuwafanyia mabalaaa ooh ooooh 🔥🔥🔥
Hao wazee ni ndo wapinga maendeleo ya timu wakiachiwa timu wataendesha hao wazee wana hatarisha maisha hatutaki machafuko katika timu yetu watafute kwa kufia na njaa zao
MWISHO WA UBAYA AIBU.WELE WALIOKUWA WANASEMA KWENYE YANGA HAWAPATI NAMBA LEO WANAWASIA HII INAONYESHA WAZI KUWA WALITUHUJUMU SIMBA .❤KIKOSI BORA NI KILE KILICHO WABEBA YANGA KWENYE KLABU BINGWA..MIPANGO ALI SI MATUMIZI ❤HUYU KWELI KHADIJA KOPA.MIPASHO TUU❤❤❤