Channel ya BADO KUNAUSHINDI TV, ni channel ya Kikristo inayohubiri injili, kufundisha mafundisho na kutoa shuhuda za kweli za matendo ya Mungu, Channel hii inamilikiwa na kanisa la TALITHA CUMI lililopo Dodoma jijini - Tanzania.
Kanisa la Talitha Cumi linaongozwa kwa misingi ya BIBLIA, kwa kuitii na kuifuata kama kiongozi cha kazi zote za kiroho na kimwili. Channel hii itarusha mahubiri, maombi na maombezi, mafundisho, na shuhuda za kuelimisha na kuinua imani, pamoja na kuleta mada zenye kuhitaji ufafanuzi. Pia kutakuwa na maswali, na mahojiano maalumu yenye lengo la kujenga na kuelimisha kiimani.
Tunakaribisha watu wote kusikiliza, kushauri, kiustaarabu na kwa staha. UNAWEZA KUTUWEZESHA KWA KUTUMA SADAKA YAKO KWA Mawasiliano piga +255(0)629 920 640 au +255(0)718 600 557.
Kuna mama wa mahimahiyu wakati wa mafuriko ya mwezi wa 4 aljipata kuzimu lakini Yesu akamsaidia na Yesu alimuuliza nini hiki kiko kichwani akambie sipendi akaanza kulia kweli Mungu akamuhurumia akarudi naalipo rudi alikua uchi lakini hakujiona uchi alikua anasema nipeni makasi nipeni makasi
Naomba nisaidie mtumishi kwa maombi ajili ya nafsi na nyota ulivyo hubiri siko salama najua pia sio ajali kukutana na wewe sehemu hii nasumbuliwa na wafanyibiashara na wachawi. :
Njia sahihi ya kumwona Mungu na kumshinda shetani ni UPENDANO WA NDUGU Maana sisi sote ni ndugu kutoka kwa Adamu na Hawa nje ya hapo ni ujinga na utumishi wa shetani Upendo ndio njia sahihi ya kumwona Mungu wa kweli.
Shetani ni roho hukaa kwenye maneno imani huja kwa kusikia, aidha maneno ya UONGO kama huo wakwako pia Roho mtakatifu huja kwa Neno la kristo, acha kudanganya, jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme wa Mungu.