Тёмный
No video :(

“NaENJOY PENZI LANGU na BABY WANGU, ACHENI KUJIPA STRESS, AFUNGUKA UKWELI KUHUSU TALAKA”-JOYCE KILIA 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 65 тыс.
50% 1

“NaENJOY PENZI LANGU na BABY WANGU, ACHENI KUJIPA STRESS, AFUNGUKA UKWELI KUHUSU TALAKA”-JOYCE KILIA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 126   
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 года назад
Mungu akuweke miaka mungu,umekuwa mfano Bora mala ya pili nakusikiliza nimejifunza mengi
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
Joy na Aaron nawapenda sana mungu awaweke na mzidi kupendana zaid ya hivyo kuna wachawi hawapendi maendeleo yenu mungu atawalaani 😃😃
@elizabethmburu9153
@elizabethmburu9153 2 года назад
I love Joyce kiria strong woman
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 года назад
MUME WAKE WA KWANZA ALIKUWA MZURI HANDSOME.
@hassanamourhaji8620
@hassanamourhaji8620 2 года назад
Unatakiwa anti dida unapomsifu mtu useme mashallah
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 2 года назад
Simkae kwa wazazi wenu kama mnataka uhuru wa kipitiliza. Mmeshindwa kueshimu Ndoa zenu , tambueni maisha ni halisi siyo maigizo.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Kwa wazaz ndiyo kuna Uhuru???
@otrishxavi8350
@otrishxavi8350 2 года назад
Ubarikiwe sana
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Uhuru utaupata ukiwa single na hauishi na wazazi tofauti na hapo hamna Uhuru.
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 года назад
@@jescajulius8023 mi hata kwa wazazi wangu hakuna uhuru ndomana nlikimbilia kujitegemea mi hadi saivi nimeolewa nna mtt but still naonekana mtoto
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 2 года назад
Askofu kaweka brich na heleni juu ,,hii hatari sanaaa,,eeee mungu ,,tuhurumie wanaume jmn
@mankamallya7608
@mankamallya7608 2 года назад
Nitakupenda Sana mama angu umenigusa sana
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 года назад
Nampenda sana uyu dada jmn
@tinamahega9848
@tinamahega9848 2 года назад
Joyce kiria ni kichwa,nampenda sana
@user-dm2hf9pb5z
@user-dm2hf9pb5z 2 года назад
Ongereni, mnapendeza
@khadijamohammed2855
@khadijamohammed2855 2 года назад
Maasha Allah
@savelianmteisi7124
@savelianmteisi7124 2 года назад
I love Joyce
@josephkalonga550
@josephkalonga550 Год назад
TARAKA INATUHUSIWA KWETU WAKRISTO KWA MAMBO YA UASHERATI( MARKO 10 MSTALI 1_5).
@gasperkyanda9508
@gasperkyanda9508 2 года назад
Utaolewa sana maana unachanganya kazi na ndoa
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 2 года назад
Kawaida sana kwa waume wapi hao cku hizi hadi mwanamke ukae ndani usifanye kazi eti kisa umeolewa"mume asipoweza kuvumilia kazi yangu apite na mia wanawake wa sasa siyo wa enzi hizo wa kukaa nyumbani usubiri kupewa sh elfu 10 na masimango wachache sana na wasiojitambua Ila wengine yaaaa
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 года назад
Mola awabariki muzidi kupendana
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 года назад
Huyu dada anajielewa sana 😍.
@gladysmbulla5441
@gladysmbulla5441 2 года назад
Joyce wewe ni superwoman
@rehemamshana8352
@rehemamshana8352 2 года назад
Oh yes kabisaaa.
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 2 года назад
Nimekubali kwel Joyce ilala sharifu shamba
@faustinetilya685
@faustinetilya685 2 года назад
Hongera
@rebecalikuda5439
@rebecalikuda5439 Год назад
Unaonekana mjeuri sana Joyce huwez KAa na mwanaume
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 2 года назад
Wewe ni mwanaharakati muharibifu huna Cha kufundisha watu ila mkiachana pia uje utuambie
@judyngowi391
@judyngowi391 2 года назад
Spitual ndoa! Duh! Dunia inaenda kasi sana
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 года назад
Joyce una roho kama ya kwangu ktk mahusiano tofauti yangu mimi na ww nipo kwenye action wewe unaongea kwa media 😂 ila pia mkaka km huyu hawezi kuwa type yangu maana mi mwanamke nywele iko natural ye kablich🤣
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 года назад
Mmmmmh huyu mpenzi ninamashaka huko USA alikuw nani maana kma nanii vile😄😄😄🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 года назад
Kuna mtu aliuliza sasa kati ya hao 2 Joyce ni yupi?
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 года назад
@@asifiwekitunga4655 😂😂😂🤣 kumbe kunamtu aligundua hilo huyu yupo kama Richi adore mchicha mwiba
@magrethkapinga1811
@magrethkapinga1811 Год назад
😂😂
@janethhendry6734
@janethhendry6734 2 года назад
Dida!!!!love
@janetahmed6948
@janetahmed6948 2 года назад
Dada usijitutumue ebu kua mnakua na akiba ya maneno yani mwanaume unamtapa wee mnakuja kuachwa sie njo tunacheka
@teddylameck3355
@teddylameck3355 2 года назад
Acha wivu ww kama umezoea kuachwa ni ww ukiwa unapendwa ringa
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 года назад
Haki za wanawake amesimamia mamangu pekee kunilea na kunitunza hebu msinichoshe na mahaba yenu ya mchongo🙌🙌
@catherineclaudyclaudy1605
@catherineclaudyclaudy1605 2 года назад
Askofu una helleni??🤔 Acheni kudanganyana ndoa kanisani,Loman katorik inafungwa moja tyu, hiyo ya piri na ya tatu, hizo huwa zinafungishwa kwenye hayo makanisa yenu mnayoyaita yakiloho,au kwenye familia zenu zile ndoa za Mila,,,lkn katoriki mtyu anafungishwa ndoa moja tyu,,
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 2 года назад
Hio itikadi si ufungwa huo,ndoa moja ina maana mume akifa huruhusiwi kuolewa au kuoa tena?
@verombwambo3703
@verombwambo3703 2 года назад
Mahaba yamekupenda Joyce umependeza mno
@immamwandolela6851
@immamwandolela6851 2 года назад
Joisi kwa sasa ni kakimburu ndio mana ameachika kwa mmewe
@namsamson3443
@namsamson3443 2 года назад
Hii interview imenifanya kumpenda zaidi Joyce. Muacheni aongee yote jamani
@betricemchome684
@betricemchome684 2 года назад
Kikristo ndoa inaruhusiwa kuvunjwa kwa dhambi ya uzinzi
@christophermsekena616
@christophermsekena616 2 года назад
Dada ana stress huyu, yaani hapo anataka amrushe roho ex wake
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
Hyo yako kaka joy hana stress maana ni miaka 4 tangu waachane na mzazi mwenzie
@salamaseif4183
@salamaseif4183 2 года назад
good j
@benyavan5774
@benyavan5774 2 года назад
Neno la Mungu kwanza Joyce kuna kanuni za kuwa kwenye ndoa nyingine kama vile kifo au mwenzi wako kaoa au kaolewa ndo unakuwa huru siyo kanuni zako za kujitungia kama hutaona kosa hapo hukumu inakukalia
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 года назад
Haiendelei interview imeishia pazuri.
@mwitamagesa1034
@mwitamagesa1034 2 года назад
We mama kwangu, wewe ni mharibifu wa ndoa na mabinti za watu. Tabia ya misimamo hovyo kbs
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
Kaharibu ndoa zipi?
@teddylameck3355
@teddylameck3355 2 года назад
Wivu tu binadamu bhana
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 года назад
Atatukomboa tu mjinyonge,
@timothyniyibigira2110
@timothyniyibigira2110 2 года назад
Mwana uume kapindishwa tayali, ameshavikwa hereni, na huyo mwana mama anachanganya watu, vipi atavikwa pete kabra ya kupewa taraka a? Asubili apewe taraka njo afanye hizo process zake
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 года назад
Joyce unasema kweli kabisa kuhusu kujitambua. Joyce ulikuwa mzuri sana tena sana. Lakini kusema sasa hivi uko vizuri ki body wanakudanganya ba unajodanganya. Ulikuwa mziro sana hapo nyuma sasa umeharibika shape kama gunia la chumvi. Unafanya mazoezi kama usemavyo lakini mazoezi ya kula umenenepa hata sura yako imebadilika. Unaweza kurudi kama zamani hata kwa asilimia ndogo lakini lakini umejiacha sana hata kurudia huwi mzuri wanakudanganya hawakwambii kweli ama hawakujui ulivyokuwa awali.
@rechogoda8920
@rechogoda8920 2 года назад
Sasa na umri nao unaenda unafikiria atakuwa kama zamani my
@careenpatrick2759
@careenpatrick2759 2 года назад
Takataka wewe mchungaji gani unavaa hereni shoga wew,, fanya kazi unaenda kufugwa na hilo jambazi la maisha ya wanawake wanaojitambua
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 2 года назад
Una stress mnooo dear mungu akusaidie upite salama kwenye maumivu uliyonayo
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 2 года назад
Mwanaume mwenyewe anaonekana sharobaro na hereni juu
@dudaduda7542
@dudaduda7542 2 года назад
Shem Hongera Hereni Zimekupendeza
@violethmapunda3500
@violethmapunda3500 2 года назад
😄😄😄😄
@fabiolamshana6143
@fabiolamshana6143 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌jaman🤣🤣
@danielmtanda1223
@danielmtanda1223 2 года назад
😂😂😂
@careenpatrick2759
@careenpatrick2759 2 года назад
😁😁😁😁😁😁😭😭😭😭
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 года назад
Duhh haya bwana🙈🙈🙈
@bapesampendwa671
@bapesampendwa671 2 года назад
Mwanamke asili yake uharibifuu, tangu bustani ya edeni ona leoo amemvalisha mwaumee heleniii, Hawa wenzetu hata maandiko yanataka tuishi nao kwa akili, mfano amefanya hivo Mara tatu na hakuna mwanaume kaumbwa kuwa mwaminifu Kama unavotaka, watangazaji na nyie mmekosaa maswali ya msingi, hamjatoaa uhalisia wake, huyooo mwanamke ni hatariiii hafai,
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
Hafai kwako ww ila kwa Aaron afaa na wanpendana sana nadhani wawaonaaaaa💃💃
@lucynelsonmungure1719
@lucynelsonmungure1719 2 года назад
Kwani joy ndo alimtoga masikio
@mankacharles4559
@mankacharles4559 2 года назад
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,mwanamke ni nafsi haina jinsia hata aliyevaa suruali anaweza kuwa na nafsi ya mwanamke sio yule anayevaa gauni uf12:1_9
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 2 года назад
Utaaachwa tuuuu .huna jipyaaaa . nyumba ilikushinda
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 2 года назад
Safiii
@yoveamc2091
@yoveamc2091 2 года назад
huna aki8li ww
@vickydan2869
@vickydan2869 2 года назад
Joyce kiria
@stn4873
@stn4873 2 года назад
Maliziaa N'congooo. Joyce Kiria Ncongoo.
@magdalenajohn6564
@magdalenajohn6564 2 года назад
Dunia imegeuka
@kisalinnko2690
@kisalinnko2690 2 года назад
Muwe makini basi! ni kiria na si kilia mnavamia fani za watu bila kusomea.
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 2 года назад
Wasafi hampatikani mkoa Tanga wilaya muheza
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 года назад
Weee dada unasauti kama mkwezi
@reneepaul3102
@reneepaul3102 2 года назад
Haha nimecheka Kwa nguvu vile umemkataa Bibi Dida kujifanya alikua anasoma hlf ww mtu mzima😅😅 Dida unatia aibu .ww na huyu dada umri wenu ni sawa sema ww ulichelewa kupata .ni hayo tuu
@vickydan2869
@vickydan2869 2 года назад
Anajifanyaga mdogo kati bibi ashukuru na wasafi imezidi kumnogesha c kaka mm tu niajiliwe na mdada wa miaka 25 kati mm ninayo 28 alaf badae niseme huyo dada wazamani
@reneepaul3102
@reneepaul3102 2 года назад
@@vickydan2869 Anatia aibu . Uso wenyew ushamshuka
@vickydan2869
@vickydan2869 2 года назад
@@reneepaul3102 Yaan kila ck kusema umri wa wenzie yy hasemi huyu hakosi 40 nibibi
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 года назад
Tena hiyo mifumo ya kidini inakandamiza wanawake
@careenpatrick2759
@careenpatrick2759 2 года назад
Matako ww huna dini acha kupotosha watu, mwanamke fedhuli ww mharibu familia za watu, na uchangani hakunaga ndoa za kimila na pete ukavalishwa
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
Husda haifai ndg ht mungu hapendi 😃😃
@careenpatrick2759
@careenpatrick2759 2 года назад
@@ruqaiamohammed345 husda ipi sasa kwa mfano
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 2 года назад
Inaonekana unaringa sana,,hivyo utaachika sana tu
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 Год назад
Kaja na danga (hawara)
@ilungasalle
@ilungasalle 2 года назад
Dida domo na huyo mwanaume wa Kiria ni bishoo hana lolote amekaliwa na kiria
@ndennkya5253
@ndennkya5253 2 года назад
Sa itakuwaje mana mwanaume katoga zake sikio na hereni kavaa? Nyumbani moshi wazazi watamwelewa kweli?😁😁😄
@kadoaugust6497
@kadoaugust6497 2 года назад
Joyce Kiria umetuangusha Uchagani hatuna hizo tabia
@winfridagama5832
@winfridagama5832 2 года назад
Nelly,Kleo,Aaron mmhhhh
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Tenaaaa 👌🏽
@jasminesebe761
@jasminesebe761 2 года назад
Wa kwanza wa pili na wa......... 🤔mkristo
@ip_header
@ip_header 2 года назад
Kwahiyo wakristo wanaosema talaka mpaka kifo kiwatenganishe hawajaelewa dini? Kweli akili za kuambiwa changanya na zako!
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 года назад
Sio hivyo mwenzio akizini ukahakikisha ni kweli unaruhusiwa kuwachana naye 🙏
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 2 года назад
Joyce nawe una matatizo utazamwe we ndoa zote hizo wanaume wana matatizo kwa taarifa yako na huyo anamatatizo yake .
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 года назад
Yani tena huyu amewazidi wote ni hivyo tu hajachomoa betri na kukipata anachokitafuta hapo
@kmotivation1130
@kmotivation1130 2 года назад
Kiria
@emmanuelchiza7733
@emmanuelchiza7733 2 года назад
Acheni kumdanganya huyu ni bibi kabisa
@gaspermbise1634
@gaspermbise1634 2 года назад
Hilo nalo jambo
@pamangel5112
@pamangel5112 2 года назад
Kitu pambeee
@careenpatrick2759
@careenpatrick2759 2 года назад
We ni mbwa kabisa ndy maana hata huyo unaesema ni bby wako yupo kama shoga mnafanana nae,mwanamke mvunja ndoa za watu mbwa wewe
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
Acha makasiriko kwenye maisha ya watu ndg roho mbaya mwisho wa siku utakuwa mchawi washa pendana na wanapendana sana mungu awaweke 🤣🤣
@careenpatrick2759
@careenpatrick2759 2 года назад
@@ruqaiamohammed345 we unajua kupendwa au ndy wele kaka poa mmejisajili kwa Joyce
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
@@careenpatrick2759 ukijua ww mie sio lzm kujua halafu mie sio kaka 🤣🤣🤣Acha roho mbaya ili ufanikiwe ndg 🤗🤗
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 года назад
@@careenpatrick2759 wanapendana haswaaa nadhn unawaona km ww Huna wa kukupenda tulia tafuta pesa 😃😃😃Acha makasiriko kwa maisha ya watu ambao hawakuhusu ili ufanikiwe ndg 🤗🤗
@careenpatrick2759
@careenpatrick2759 2 года назад
@@ruqaiamohammed345 waache viherehere kama ww kwenda kujifanya wameyalenga maisha kwan wao ndy wa kwanza kukaa pamoja, na umwambie aache kusumbua wanawake wanaojitambua waishi na family zao sio kujifanya mwalimu wakat hajui chochote kama ww😁😁
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 2 года назад
Ana mbemenda dogo wa watu.
@saumsaum1916
@saumsaum1916 2 года назад
Dida anaogopa bisto ndo mn akiona vp anasepa
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 2 года назад
Jamani nimecheka
@jorammwakansope7296
@jorammwakansope7296 2 года назад
Huyu dada ni kichwa
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 года назад
Dadangu unaongea vizuri mnoo
@mwitamagesa1034
@mwitamagesa1034 2 года назад
Huo uanaharakati ndio tatizo lako
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 года назад
Biblia inaruhusu kutengana endapo Kuna nidhaa imetokea
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 года назад
Bible inasema endapo 1 wapo amezini kuachana ruksa
@menaahhhnaa7535
@menaahhhnaa7535 2 года назад
Wewe dada ungekuwa mzuli wewe ungesumbuwa watu..lakini mungu kajua ndo akakunyima uzuli... unajiona mtamu sana mshamba wewe mtuzima ovyo sijui watoto wako unawafundisha nini mchafu mkubwa wewe..na uyo shoga unaye mwita baby ungekuwa na akili kamili si ungekuwa na mwanaume mvaa elani mjinga mmoja wewe...
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 2 года назад
@@menaahhhnaa7535 kwa kweli hereni na hiyo bleach 😏
@Bongoempiretv11
@Bongoempiretv11 2 года назад
DUDU BAYA VANESSA MDEE KAJITOA KWENYE USHETANI ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iV9YCBpLneI.html
@mamayussuf5577
@mamayussuf5577 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-AtlkYifKxtE.html....pitieni na huku wadau kupata uhondo kamili wa Barnabas
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Dida jmn mbavu zangu🤣🤣🤣🤣🤣
@gaspermbise1634
@gaspermbise1634 2 года назад
Mbona huyo mwanaume kavaa hereni sikioni huyo sii mwanaume
Далее
Паук
01:01
Просмотров 2,6 млн
Harusi ya Dongo Janja na Irene Uwoya | Full Video
3:12