Mbona nyie vibwengo Yanga ikiwa na mafanikio mnaanzisha upuuzi haturudi nyuma Yanga Daima Mbele aturudi nyuma. Huyu Mzee Mwenyezi Mungu amuhukumu na tabia zake tegemezi na kutumika Binafsi namwombea kwa Mungu amlipe kutokana na choko2 zake. Yule siyo mwanachama kama angekuwa mwanachama wa Yanga be asingekuwa anafanya upuuzi na klabu yetu.
Magoma amemaliza shule ya msingi Magomeni 1975 sioni uzee wake ila njaa inasumbua, anasema ana kadi ya Yanga 1968 siyo kweli hiyo itakuwa kadi feki feki pigeni mahesabu kijana wake aliwahi kuichezea Nzige ya makuti
hao simba pamoja na magoma baada ya kumsiki injinia anataka kujenga uwanja ndiomana unaona wanaanza kutapatapa nabado watasema sanaaaa mpaka waseme makolo njie
Huyu magoma ni simba pure. Huko yanga ni kivuli tupu kwa ajili ya kuivuruga yanga na mafanikio yake. Kwani tanzania kile kizazi cha 2000 kiko wapi kifanye kazi yake???
Nilijua tu kwamba magoma anataka kuishi kwa kutegemea Mapato ya club wakati yeye hachangii chochote anataka kuvuna asicho panda hayo mambo yalishapita zamani kama alikua anafaidika zamani angeweka akiba maana mambo yalishabadilika