Тёмный
No video :(

𝑴𝒂𝒔𝒘𝒂𝒍𝒊 ⓿❹ 𝒚𝒂𝒔𝒊𝒚𝒐𝒋𝒊𝒃𝒊𝒌𝒂 𝒌𝒘𝒂 𝒘𝒂𝒕𝒖 𝒘𝒂  

SALAFI STUDIO 💻.
Подписаться 801
Просмотров 2,4 тыс.
50% 1

#Mzungumzaji_Ustadh_Abuu_Anas_Kiza

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 13   
@saadallah6287
@saadallah6287 11 месяцев назад
Baarak LLAAH fiyka Enyi masufi mnao lalamika umu mitandaoni ebu jibuni hizo hoja hata umu tujuwe ufahamu wenu
@abdulrahmanmussa4479
@abdulrahmanmussa4479 10 месяцев назад
Kuna yule mziwanda anachonga sana kisha mtupuuuu
@ayauii
@ayauii 11 месяцев назад
Shukran nimefaidika Allah akulipe kheir
@subulus_salaam2023
@subulus_salaam2023 11 месяцев назад
Aamiyn kwa sote
@user-tn8wl1jz8t
@user-tn8wl1jz8t 11 месяцев назад
Saudia tu kwenyewe wameanza kusoma sijui nyinyi hiyo elim mmeipata wapi
@shabaniumande
@shabaniumande 11 месяцев назад
Abu Anas naomba namba yako ya simu please
@issahabdallah9018
@issahabdallah9018 11 месяцев назад
Haya masufiii chezeeeni offer iyo.
@saadallah6287
@saadallah6287 11 месяцев назад
Hata saudia wazushi wapo saudia si kigezo kwani Abuu jahari alikuwa mtanzania?
@mkubwamasoud2776
@mkubwamasoud2776 11 месяцев назад
Haya Masufi na Wanaofuata nafsi zao na sio dini jibuni masuali hayo
@user-mi3cs9lc6y
@user-mi3cs9lc6y 11 месяцев назад
Tatizo elim njoo tukusomeshe
@athmanbabusa8020
@athmanbabusa8020 11 месяцев назад
Njoo kwenye meza ya niqash enyi Mawahabi.
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 11 месяцев назад
Jifunze zaidi sunna ya mtume. Allah amrehemu sheikh Muhammad bin Abdul wahhaab. Wewe hata hujui kabisa historia yake...
@user-cu8xc5yl9x
@user-cu8xc5yl9x 11 месяцев назад
Tatizo lenu mawahabii hamuna uwadilifu kabisaa , nyinyi ikiwa jambo atalikubali sheikh wenu hata kama ni bidaa basi hamusemi ni bidaa munasema ety jitihada ya sheikh na munalikubali ! Ila akifanya mwengine Ambae sio katika masheikh zenu basi wallah mutalupinga na munasema ni bidaaa ! Hii kweli ni hakii munayoitenda! Shauri zenu wallah ipoo siku mutakuja simamishwa mbele ya Allah s.w na mutaulizwa Kwa munayo yafanyaa ! Na nakwambieni mawahabii mutawadanga wasokujueni ilaa Kuna wengine wanakujue vizurii mambo yenu Kwa hiyoo hamuwezi kudanganya watu wote na ipoo siku unafiki wenu utadhihirika na ubaya wenu !wallah tokea muzuke Leo umma umekuwa Hauna amani na Hauna uhuru ! Mumetuvurugaa Leo waislamu tunatengana na kubaguwa na sababu ni nyinyi mawahabii! Muogopeni Allah
Далее
KUSIMAMA MAAMUMA KABLA YA IQAMA KWA AJILI YA KUSWALI
6:28
MASWALI KWA WATETEZI WA UZUSHI WA MAULIDI
6:32
Просмотров 2 тыс.