Kumbe kweli yanga wanawaroga wachezaji wa simba ili wawaache wao wawachukue yani simba hata asajili mcheza hatari kiasi gani lazima akifika simba akae chini na kukonekana hana lolote mchezaji huyo leo hii inadhihirisha kwa hilo, wamemchukua okrah, wamemchukua chama, wamemchukua mkude, sasa baleke.