Тёмный

🔴LIVE: CROWN SPORTS. ALMAS KASONGO, GEOF LEA, PAUL MKAI. HANS RAFAEL 

Crown Media
Подписаться 159 тыс.
Просмотров 108 тыс.
50% 1

Habari za michezo kwa kina, mashabiki na uchambuzi mzito mzito, exclusive interviews

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 165   
@jumanjoro782
@jumanjoro782 3 месяца назад
Congratulations crown fm Kwa usajili huu wa Mzee wa SWADAKTA WA SWADAKTA PAUL MKAI amekutana na mwanae HANS RAFAEL
@AthumaniNyange
@AthumaniNyange 3 месяца назад
Crown sport Iko pow sana tunaomba ifike kwetu Dodoma tunapenda❤❤❤
@elgiusjohanes9190
@elgiusjohanes9190 3 месяца назад
Evance anajuwa sana ameongeza kitu cha tofauti ukiacha hayo majina makubwa hongeren crown kwa kutuletea kipaji kipya 🙌
@emmanuelnkinda3924
@emmanuelnkinda3924 3 месяца назад
Wawooow!! nawapata vizuri kutoka Shinyanga
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Mambo nimoto crown alikiba anapesa sema namkubali sana hajioneshi nakubali sn crown sports
@isayachisongela923
@isayachisongela923 3 месяца назад
Paul Mkai Huyu Jamaa ni Balaaa, yaaani Jamaa wote Ni Cleam mno
@hamisihemedi5170
@hamisihemedi5170 3 месяца назад
Mambo nimoto❤❤❤❤❤❤ Crown
@dicksontimotheo7617
@dicksontimotheo7617 3 месяца назад
saf kabisa kiba umetutoa kimasomaso tulikuwa tunateseka sana tulinyanyasika sana na hii ni crown media namba moja tanzania mpaka sasa najiulia tuliambiwa kiba hana hela sasa redio haina matangazo izo hela za kuwalipa hawa jamaa alikiba anatoa wap??????????????
@MarcoPeter-y5n
@MarcoPeter-y5n 3 месяца назад
Mkai anajua sana usajili mzuri
@MelkiadiBahadi
@MelkiadiBahadi 3 месяца назад
Mmepatia sana,tatizo wale Jamaa tu
@AllySeleman-co6km
@AllySeleman-co6km 3 месяца назад
Mkali anajua sana kutagaza michezoo ogeleni crown kwa usajili wa mkali
@MussaHashim-g4t
@MussaHashim-g4t 3 месяца назад
Mm nawaombeaa mungu ck moja muwe kituoo Cha kwanza Tanzania kwakutoa habali zenye mauzuii sahihi kwakila lika mungu awatanguliee
@KelvinMushi-rp6vv
@KelvinMushi-rp6vv 3 месяца назад
mbona wasafi inakufa, mkai we ni hatar san kwenye sports bila kumwacha hansi
@husseinc
@husseinc 3 месяца назад
kitu kipya kikiingia kipe mda kwanza. kadri muda unavyokwenda ndio utajua hizi pumba au mchele clown.
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 3 месяца назад
​@@husseincbado hapo unaongea kiushabik😂
@NajimaJuma
@NajimaJuma 3 месяца назад
Mkai Hana Raha ni bas2 afu ukimchek Hans nikama vile ana Fanya Buttle na usafini wakat Bado anakop kwa Ambangile brother listen Wasafi till on the top There like Tie in the sky........
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 3 месяца назад
@@NajimaJuma ilikuwa ila sio sasa
@jassympole
@jassympole 3 месяца назад
ivi mnafahau kuwa oscar oscar ni mchambuzi mzur tuu sema kule alipo ndo tatizo niamini mimi siku moja mtakuja ona maneno yangu 💪
@Elihurumamathew
@Elihurumamathew 3 месяца назад
Kiba hela anayo ila yeye nikama gsm hapigi kelele wala hajazi mabaunsa wakumlinda nawenye hela nyingi wengi hawana kelele😂😂
@HassanTwacy
@HassanTwacy 3 месяца назад
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤❤❤
@gadafimuemede2985
@gadafimuemede2985 3 месяца назад
Nawapata sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@pappilonfar
@pappilonfar 3 месяца назад
Paul mkai..bonge moja la usajir
@RamadhaniKrjunior
@RamadhaniKrjunior 3 месяца назад
Dah nawakubali sana wote hans mkai jof lea upande mwingne Ahmed nasri ambangile kitenge jaman kama usajili tupeni madini kwenye soka letu tutwafuatilia kotekote
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 3 месяца назад
Mbona mkayi kama unafuraha sana huku safi keep up broo sikuiz mkono kinywani kwanza love siyo ishuuu😂😂😂😂
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 3 месяца назад
Mashaallah powmkal
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
I love you crown sports ❤❤❤❤
@VictorRwechungura
@VictorRwechungura 21 день назад
Hansi bwana Mimi nakutafuta kule upande wa pili kumbe wewe huko huku daaah basi kuanzia Leo Mimi nipo hukuuuuuuuu jamaniiiiiiiii hansi my brother unajua sanaaaaaaaa
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
I love you crown sports ❤❤❤❤ 8:11
@LobikiekiMarko
@LobikiekiMarko 3 месяца назад
KENYAAAAAA NAIROBI MTAA NI DANDORA PHASE 2
@AthumaniNyange
@AthumaniNyange 3 месяца назад
Crown sport Iko pow sana tunaomba ifike kwetu Dodoma tunapenda❤❤❤
@VagaTz
@VagaTz 3 месяца назад
Hik ndy kipindi bor san kuliko vote
@HassanTwacy
@HassanTwacy 3 месяца назад
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤
@husseinayoub6703
@husseinayoub6703 3 месяца назад
Mpo vizuri kuweni makini na maadili ya kazi msinunuliwe tu kama clouds na wasafi gsm nisumu kwa afya ya wachambuzi
@filbertnyoni2352
@filbertnyoni2352 3 месяца назад
HUYU JUMA AYO YUPO KAMA MGANGA WA KIENYEJI HAFAI KIPINDI CHA MICHEZO,NAFIKIRI ATAFUTIWE KIPINDI AWE ANAFANYA MAHOJIANO NA WAGANGA WAKIENYEJI NA WACHAWI,HAPO SPORTS HAPAMFAI KABISAAAA
@NajimaJuma
@NajimaJuma 3 месяца назад
Wasafi never die coz Paul mkai Role model Ake Ni Yusuphu mkule huyo hans Role model wake Ni Ambangile so wasafil till on the top Top.....Guys wasafi ni too much Levels
@JosephMutambala
@JosephMutambala 3 месяца назад
Number one crown
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 3 месяца назад
Atr Nanus watangazaji Wakubwa Ndani Ya Redio Kubwa Majilani Nawacheka Kwazalau
@olicendayihimbaze4074
@olicendayihimbaze4074 2 месяца назад
Najua watu watamkubali King wetu 🎉🎉😂😂😂
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 3 месяца назад
Bongo ni kuiga na kupaste wasafi walianza kwa kuchukua watangazaji EFM. Hawa nao wanachukua wasafi. Jambo zuri ila mtaani nako wapo watu wengi hawana ajira wawaamin watakuwa wakubwa tu
@kenyzach9124
@kenyzach9124 3 месяца назад
brother hiyo ni biashara.! hapo kipindi kimeanza unaona kabisa hakina wadhamini, underground ni ngumu sana kutangaza kipindi kikawa kikubwa mpaka kuvutia wadhamini kuwekeza. so, kwa kuweka hao watu wenye uzoefu inasaidia kuvutia show na kuwavutia wadhamini,,, kumbuka wadhamini ndio wanaleta thamani ya kipindi.
@AbdalaTembo
@AbdalaTembo 3 месяца назад
Bro umeongea kitu kikubwa sana Ww no mtu was maana sana​@@kenyzach9124
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 2 месяца назад
Unateseka ukiwa kijiji kipi😂😂
@spensajansa
@spensajansa 3 месяца назад
Kutazama tyu kucomment aaah
@MudyDayo
@MudyDayo 3 месяца назад
😆😆
@TryphoneGotham
@TryphoneGotham 3 месяца назад
🤣🤣🤣
@molyrics1213
@molyrics1213 3 месяца назад
Mtotooo kautaaaaaka 💥
@abrahamchengula8137
@abrahamchengula8137 3 месяца назад
Mkiendelea kuchambua mambo kindani na ukweli na msiweke watu wenye eitha kuiponda Simba au Yanga hakutakuwa na maana KAMA WAJINGA WASAFI
@jeremiahbabalove5446
@jeremiahbabalove5446 2 месяца назад
Nimewakubari sana crown FM hawa jamaa ni hatar
@DavidAndrew-i3g
@DavidAndrew-i3g 2 месяца назад
mko💥💥💥💥habar za Uwakika na uwerediii
@barakamfilinge6943
@barakamfilinge6943 3 месяца назад
Nampenda sana Paul Mkai akiongoza kipindi siyo yule Juma Ayo
@SamwelKakintwa
@SamwelKakintwa 3 месяца назад
Uchambuzi wenu ni nzuri kwa club ya Simba,kusajili mchezaji Bila kuangalia mfumo wa simba.
@TalkiAhmadi-wz6cj
@TalkiAhmadi-wz6cj 2 месяца назад
Tuna wakubali sana mbno kwenye vin'gamuz vya azam tv hatuwaon
@princekassimtz5848
@princekassimtz5848 3 месяца назад
Congratulations 🎉 0:27
@YusuphMohamed-pq8pz
@YusuphMohamed-pq8pz 2 месяца назад
Ee bhn nawapata kutoka magomeni, mpe hai jof lea saiv namuelewa sana mana kule alipokuwa alikua anatafta samaki kwenye mwili wa nyoka saiv mambo saaaafi nimpe eshima yake,, shikamooo kak jofu akika umetisha sana,,
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Paul mkai unajua my brother
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Paul mkai unajua my brother
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Paul mkai unajua my brother
@georgeemmanuel8523
@georgeemmanuel8523 2 месяца назад
Background ya ndani tunaomba mmbadilishe ikiwezekana inaharibu video yaani haionekani vizuri
@utamutv_
@utamutv_ 3 месяца назад
Kwan hao yangu wanataka nn jmn Kila mtu wanamtaka yeye
@AmosBarnabas-wl1yl
@AmosBarnabas-wl1yl 3 месяца назад
Noma sana
@olicendayihimbaze4074
@olicendayihimbaze4074 2 месяца назад
Paul mkai nizaidi la bonge😂😂🎉🎉
@donathkweka6242
@donathkweka6242 2 месяца назад
Mambo ni motooooooooo❤❤❤❤😂
@PopTiger-br2nh
@PopTiger-br2nh 3 месяца назад
Goood crown
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 3 месяца назад
Siku hizi kazi ya utangazaji ni sawa na bar maid leo yuko Kimara bar kesho utamkuta Manzese tiptop.
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 3 месяца назад
Kila kazi lazima uangalie maslahi
@ReginaCharles-k5i
@ReginaCharles-k5i 3 месяца назад
Geof alimlenga GSM kuhusu upangaji wa matokeo "Kasongo kamkwepa vizuri"
@NasraAdamu-f4j
@NasraAdamu-f4j 2 месяца назад
leo sasa ndo mnenifurahisha mana wachambuzi wangu wotemmenea apo studio joffureya hansi rafael poul mkai atari sana kama simba ijayo naona watu wakizima viredio vyao 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@kamonaboy1113
@kamonaboy1113 3 месяца назад
🔥🔥🔥
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Jamani arusha ningapi ngapi radio 📻
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Jamani arusha ningapi ngapi radio 📻
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Jamani arusha ningapi ngapi radio 📻
@ramadhanizuberi2540
@ramadhanizuberi2540 3 месяца назад
Yes hii ndo radio yetu pendwa
@emmanuelkituma
@emmanuelkituma 3 месяца назад
🎉🎉🎉
@NajimaJuma
@NajimaJuma 3 месяца назад
I never come to Appreciate Hans Coz uchambuzi wake umejikita kiushabiki mie ni Yanga but hans ni mnafikiiiiiii kajawa na Uyanga Daily mchezaji anasajiliwa kutokana na Namba uongo mtupuuuu ww
@JumaSango-yo8bj
@JumaSango-yo8bj 3 месяца назад
Sana wanangu wa crown 👑
@IbrahimEboue
@IbrahimEboue 2 месяца назад
Crown juu na wafatilia nikiwa africa ya kusini
@Paulmasalu-xz7ty
@Paulmasalu-xz7ty 2 месяца назад
Napenda anavongea
@DenisSalary-k6y
@DenisSalary-k6y 3 месяца назад
Da,watu wa nguvu sana ,,hapa ni nyumbniii
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 3 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@leonardlubala393
@leonardlubala393 2 месяца назад
Ina elekea Simba wame msainisha kabla masharti yote katika mkataba yame kamilika. Maana Simba walitakiwa wajirishe na timu inayo mmiliki wake kwa wakati huo kabla ya kumsainisha mchezaji.
@kinjekitilew
@kinjekitilew 3 месяца назад
Toka makambako Town hapa weji
@Paulmasalu-xz7ty
@Paulmasalu-xz7ty 2 месяца назад
Namsalimia kutoka nyumbani zanzibar
@alicenice1711
@alicenice1711 3 месяца назад
Hapa ni nyumbani 😂😂🎉
@festongailo1082
@festongailo1082 3 месяца назад
Oi oi oi tupo pamoja mpaka badaee sana
@MabeleMakene
@MabeleMakene 3 месяца назад
nawafatilia sana kipindi kipo hot sana ila kwa kilazo simba wangetoa at kwa mkopo
@Jacksonwiliam-t7p
@Jacksonwiliam-t7p 2 месяца назад
Gud job
@JacobMwegero
@JacobMwegero 3 месяца назад
Safi kabsa crown
@ZakariaMachibula
@ZakariaMachibula 3 месяца назад
🔥🔥
@MwinyialiMtali
@MwinyialiMtali 3 месяца назад
Mnatisha saana
@videozaaj1069
@videozaaj1069 3 месяца назад
Background😢😢😢mbaya
@johnndiga
@johnndiga 3 месяца назад
nawapata vizuri nikiwa mbeya
@OmaryMagazine-b2j
@OmaryMagazine-b2j 3 месяца назад
Ebwana hap ninyumban
@MalapaHassanor
@MalapaHassanor 3 месяца назад
Kiba bado salama ngare mwanadada anajua yule mchukue kaka
@MashakaAthumaniAthumanimashaka
@MashakaAthumaniAthumanimashaka 3 месяца назад
Miminafikir Kostounion Watapata Matatizo Kwasabab Zakisheria Lakini Kwasababu Kimtaani Nisawa Ilkesi Ipo Nawatajuta
@shazilimasoka4051
@shazilimasoka4051 3 месяца назад
Watangazaji ote wanajuwa Sana Sana nafulaiya Sana
@AdamHassan-z7x
@AdamHassan-z7x Месяц назад
Paul mkai unajua my brother 10:08
@DenisiMkanula
@DenisiMkanula 2 месяца назад
Songea ruvuma tunawpateje friqeens ngapi
@HairuIssa-f9y
@HairuIssa-f9y 3 месяца назад
Crown fire fire
@Ndenza
@Ndenza 3 месяца назад
Mmi ni shabik wa Simba na wasafi sjui machoz yangu yarakauka lin😭😭😭😭😭😭🤣
@BuraramaKwibe
@BuraramaKwibe 3 месяца назад
The media to the world
@ommykiss7049
@ommykiss7049 3 месяца назад
Mkai unajua sana kaka
@djmarashi2095
@djmarashi2095 3 месяца назад
asee munajua Sana kweli mumekuja kufanya mageuz ya kweli nawakubali san
@joemtaki5167
@joemtaki5167 3 месяца назад
442 😂 HANS muongo muongo ila anaupiga mwingi big up
@mcmambo8774
@mcmambo8774 3 месяца назад
Safii crown
@NemesMasawe
@NemesMasawe 3 месяца назад
Uchambuz mzur sanaaa
@dismaskullaya8520
@dismaskullaya8520 3 месяца назад
Hapo Ally Kiba alichokosea ni Juma ayo wakawaida sana.
@MkamiMavika
@MkamiMavika 3 месяца назад
Saa ngap kipindi Chao kinaanza
@Hilalisebatv
@Hilalisebatv 2 месяца назад
Asikwambie mtu crown tamu
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 14 дней назад
Umesikia Bakharesa kupiga kelele
@IddyNdiryamba
@IddyNdiryamba 2 месяца назад
💯💯💯💯💯
@alexmwajombe749
@alexmwajombe749 3 месяца назад
Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga
Далее
Лучше одной, чем с такими
00:54
iPhone 16 & beats 📦
00:30
Просмотров 118 тыс.