Huyu karia anamaliza muda wake,juhudi zake za kuibeba Simba zimeshafeli,ndio maana alikufungia pasipo na sababu ,kumbe siku moja utakuwa juu yake.Mungu akuzidishe mazuri.Thanks.
Mimi nakushauri Usiendelee Kumzihaki Mo Dewej Huna Hadhi nae Yule ni Mtu anaiongizia Taifa fedha Nyingi Kimsema Mo Unatukosea Simba wote wew Umemsema Mo ametambulisha familia yake Wewe huna Adabu
Mi nakuelewa xanaa haji izo chuki nazielewa!huyo rais hafai!haji ameongea Mambo ambayo kila mahali kwny kazi watu km uyo rais wenye vyeo kunyanyasa watu wa chini!adi haji anaamua kumropokea ujue amevumilia mengi Kama Ayo na atimae yamemfika kibinadaam lazma moyo uchoke rais mbayaaa
Kuna Haji Sunday manara na stive Nyerere Hawa watu wanakitu kikubwa xana ndani Yao washabarikiwa na mwenyezi mungu chuki mnazowachukia zitawafikia pabaya xana 😢 Hawa ni talented
Na icho ndio karia anachokiona kwa haji na Sasa anapanga kumshusha kabisa haji km haji anafaa anafaa tu ataaibika cku moja uyo karia akae akijua cheo ni zamana
bwwege huyo hajui kuomba radhi. kila anapokosea anaanza kutaka kuongea povu. yanga kueni makini siku akikosea atakuja tena kwenye midia kuyamwaga. hilo box tu
Haji hawezi kua muongo uongo inaeleweka mtu anapoongea na ukweli inaeleweka mtu anapoongea,izo ni chuki kwny kazi viongozi wengi wanakuaga nazo uyo rais ana chuki na haji na ameona haji anakubalika na uyo rais hajui maana ya icho cheo ni kikubwa anafoka foka nn Kama rais eti rais!kwaio karia kwanza mda mrefu na ujue mtu akikufata data xn na kukukera ikifikia mwsho wa uvumilivu unaamua acha iwe mby unamropokea tu ndio kilichotokea kwa haji!uvumilivu umemshinda haji nae akamropokea
Mnataka aende simba ndio mkaona mumfungie wajinga nyie ndio maana mpira wa tanzania unadorora . Rais wa Tff hana akili huyo tunajua ni mshabiki wa simba tunalifahamu hilo . Na ninavomjua manara mmechokoza wenyewe namiambieni kabsa mtateseka sna nyie machoko mmetibuwa wenyewe.
Ulivyokosa busara ilibidi ufate hatua za sheria na mkalizungumze panapohusika, na co kuongea uongo mbele za watu, huruma za watu hazipunguzi hukumu yako boys ww
Hapo manara anamsingizia Raisi wa Tff. Mimi nilikuwepo sijasikia hayo maneno machafu akiyatamka Raisi wa Tff. Huyu anatafuta kuwachonganisha yanga na Karia. Na hii ndiyo tabia ya manara.
@@nahanakadiri3969 kiongozi huwezi kuonyesha Kuw Ww unatiimu aangaliee mfano waraisi wajamhuri yatanzania hayati magufuli kwaweli bora hata oscaosca anafaa kuwa raisi wampira mana mpka Leo sijamuelewa yupo timu gani huyo ndoanafaa kuwa raisi wampira mana hana timu
Huyu jamaa ukimfutilia mambo yake unaweza kufa mapema. Alitutukana Sana wanayanga kuwa wote hatuna akili isipokuwa Baba yake na Kikwete tu. Na alisema hawezi kuwa Yanga labda akiwa Amaiti. Simba wamelifukuza likaletwa na GSM leo ndio haya linashida linatukana watu. Walifunfie maisha mrudisheni NUGAZI wetu.
Bro manara mungu yupo nawe ,hiyo karia tff siyo yake Iko siku muda wake utapita ,aje atune uku mitaani mwema Sana hiyo kwanza anaichukia Sana yanga hatufai ,hafai kuwa kiongozi wa nje hata ndani ya familia anaubaguzi mkubwa saaana ,siku ambayo yanga inacheza akiwa yeye uwanjani anataka yanga ifungwe ,na hata Kama tutashinda mechi inakuwa ngumu Sana ,mtoheni apo hafai , mpira hauhendeshwi hivi ,
Lakini karia ndo alikusamehe alivyopata urahis pili kipindi unatoka simba press zako unadai kisa umaarufu je ni kweli mo unamzidi umaarufu leo karia akuchukie kisa umaarufu wako kweli wakati crip inaonesha wew ndo ulikuwa mkali kwa picha tu
Tatizo lako ni kimbelembele chako. Ulipomwomba Kangi Lugora kuwa mgeni rasmi hukuwa na kibari cha Tff. Yule ni Waziri hawezi kualikwa na mtu baki bila kuishirikisha Tff. Uliyatafuta mwenyewe.
Shirikisho la mpira wa miguu Tff mbele kwa mbele na mkimfunguria haji Manara basi na wale wariotenda makosa na mkawafungia na faini pesa juu nao muwafungurie sawa jmn haki kwa wote