Mbona atukuwasikia kwa simba na azam,simba na dodoma,simba na costal,kumbe mna umia eeh kaz mnayo wachambambuz poln kama wanawalipa makolo wenzenu mtasema sana ila wanafki weng bongo simba akibebwa aaah
hakuna kipindi yanga ifanye vzur bila mipango tangu hii dumia iumbe yanga haijawaji kua bora ila inafanywa kua bora kwa kubebwa na vyombo vya habari na marefa wakti yang inateseka ile ya bakuli walituambia tff wote simb leo wanashindishwa na marefa hatsikii hadith ya tff ni simba