lakini angeshinda simba kwa off side yote hayo yasingesikika mkuki kwa ngurue nakingine ila ya kamara alifyeka musonda ndani box mbona hiyo haionekan mnaona ya kibu 2 acheni uk basa mim ninachoona mm kayoko jana hakua upande wowote mnajadili 2 vi2 ambavyo ata havieleweki