@@HAWANassoro-o2j watz wanapenda sana uongo uongo Huyu bwana akiwa simba aliikashifu yanga nakuitukana kila tusi , leo wanajisahaulisha nakumsadiki mtu huyo huyo
Huyu jamaa ni mwehu na anasahau anachokisema, cku anaondoka simba alisema chanzo ni babra leo anasema ni try again kwann asiwe muwaz tu kulko kuleta chuplichupli
Uyu baba abajichanganya sana maana alishawahi kusema alikua simba tangu mtoto alikua anapiga mashabiki wa yanga hapindi yanga haya maneno tuyatunzi😂😂😂 kesho atakataa tena maana Ali ongea azam hiyo interview yake kusema hapendi yanga😂😂
Kumbuka uliwahi kusema; Pale Yanga wenye akili ni watu wawili tu 1......2...... Waliobaki wote hamnazo😂 Unakumbuka ulipo wanyooshea kidole kimoja vilivyo kurudia ni vingapi? Pamoja na kwamba ulimaanisha kwa namna yoyote huwezi kuwa Yanga. Tengua kauli uanze upya😂
Msikilizeni manara anavyojichanganya dakika ya 34:20😅 anasema hakuwahi kumiliki kadi ya simba wala hajawah kuwa mwanachama,badae anatoa kadi anasema ninakadi mbili moja ya YANGA moja SIMBA😂😂😂
@@James-sz4ec kwani sisi ndio tuliokua tunamsemea yale maneno au alishesema hata apewe pesa za bank zote duniani hawezi kwenda yanga na akasema hata apigwe bisu la koromeo hawezi kwenda labda maiti yake
Unafiq mbaya sana ,hata kwa mwenyezi Mungu una mtihani sana,yaani mimi naamini kutoka moyoni ushabiki na upenzi wa timu unaanzia utotoni,na ukishapenda umependa kweli,hauwezi kubadilika,acha Unafiq, mtu huwezi kubadili kabila.
Haji anaakili Sana'a ila so wakumwamini sana ila mungu kamsaidia kuwa na kipawa cha mvuto kwa maneno yake... Ila kwangu haji ndo msemaji bora kuwahi kutokea nchi hii na barani Africa mkubali mkatae. Kikubwa tumpe heshima yake bila kujali ushabiki... By Rais wa yanga na masela mikoani