Тёмный
No video :(

🚨Mapya Yaibuka Sakata la Awesu Awesu Kutua Simba,Awesu Afunguka,Kmc watoa neno. 

mtanange tv
Подписаться 53 тыс.
Просмотров 4,2 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 9   
@kassimkingu5512
@kassimkingu5512 Месяц назад
Nyie wehuu hakuna la kuongea wakati hamjaona mkataba. Machambuzi ya tz yahovyo sana
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 Месяц назад
Wachambuzi wa Uto habari zao zinaegemea upande mmoja
@lonesomekabora5547
@lonesomekabora5547 Месяц назад
Hiyo kuheshimu mkataba unathibitisha vipi kisheria km kipengele hicho umekiuka?
@user-gp3pm4qp5y
@user-gp3pm4qp5y Месяц назад
Mimi timu nazitetea kwa sababu mchezaji unapomnunua unampa mkataba na haijalishi atapafomu kwa kiwango kizuri au la na akiuumia mwaka mzima kama kramo utalazimika kumlipa sitahiki zake zote kwa hiyo suala la kuweka kross kubwa
@hamisikapute598
@hamisikapute598 Месяц назад
😊mbona Simba vurugu nyingi mwaka huu, ila waandishi mnawatetea; Lawi, Kagoma , Valentino na sasa Awesu wote na malalamiko
@kassimkingu5512
@kassimkingu5512 Месяц назад
Wachambuzi nyie bwana yaan hamjielewi kosa aweso kwenda simba basi.
@drallan6879
@drallan6879 Месяц назад
kwani lawyer wa ssc hakuona mkataba wa awesu?
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад
Heshimu inafuatana na upande gani
@drallan6879
@drallan6879 Месяц назад
magori upo wapi ktk hili? didnt consult before?
Далее
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 5 млн
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 5 млн