Тёмный
No video :(

🚨Majibu ya Yanga kuhusu Uongozi kuondolewa,Mzee Magoma Ajibu waliyoyazungumza. 

mtanange tv
Подписаться 53 тыс.
Просмотров 5 тыс.
50% 1

#football #yangatv #youtube #alikamwe #yangafc #yangasc #ahmedally #simba #simbatanzania #simbaislive

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 33   
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
MAGOMA IZI ZE NIU YANGA PREZIDAA
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Месяц назад
huyo ndiye JUMA MAGOMA Bwana!
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Kayakanyaga😂😂😂😂😂
@eliateacher3241
@eliateacher3241 Месяц назад
Watu wanachukulia poa lakini hii kitu iko vibaya sana kwa yangaa
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e Месяц назад
Hakuna lolote hapo na ubaya utawarudia hao wajinga na makolo wanaowatuma
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe Месяц назад
Kumbe wazonlangu pale yanga lipo ukiwa na umri wa miaka 70 hustahili kugombea uongozi
@minazsaid2470
@minazsaid2470 Месяц назад
Sasa kwani kma umewashitaki wazamini kwann usiwapelekee hiyo nakala unakaa nayo ili iweje
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 Месяц назад
Yanga huu ujinga umeletwa kuwatoa kwenye line. Uzuri timu iko AVIC. Waandishi wa habari wapenzi wa mchumba wetu wanaongea sana wewe wacha wajikoroge safari hii
@albabaly8297
@albabaly8297 Месяц назад
Magoma oweeee Magoma safiiiiiii 😂😂😂😂😂😂
@minazsaid2470
@minazsaid2470 Месяц назад
Magoma hupewi uongozi katu na wala pesa hatukupi
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Shida ya kutoenda shule,mzee magoma atacheza ngoma😂😂😂hata maelezo yake hayana mshiko! Naanza kujiuliza huyu hakimu ni nani ? TUTAWAPIGA NJE YA UWANJA NA NDANI YA UWANJA fro CAMBRIDGE mji wa wasomi UK
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Месяц назад
Waandishi nanyi uwezo wenu ni mdogo sana ktk kuuliza maswali ya msingi ---- yako maswali ya msingi ambayo mlipaswa kumuuliza.
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe Месяц назад
Hivi huyo hakimu kwanza alipass vizuri masomo ya sheria? Anapokeaje hoja ya kuilalamika klabu na watu ambao wenyewe wanakiribkuwa si wanachama zaidi ya miaka 4 sasa
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA Месяц назад
ACHENI USHABIKII ...MAHAKAMA HAIJIBIWI KWA PRESS NENDENI MAHAKAMANI
@nuruabdallahmed9495
@nuruabdallahmed9495 Месяц назад
Msomali hataki kukaa na kuongea na Mwamba Magoma ndio maana Issue ikapelekwa mahakamani. Kitu gani hamwelewi nyinyi wachakondoo?
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e Месяц назад
Msomali babaako
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Месяц назад
Hakimu naye ana shida kwann alisikiliza upande mmoja ,hadi kufoji huyu mzee shetani kabisa
@MohamedMoto-x2i
@MohamedMoto-x2i Месяц назад
Magoma iyo njaa
@user-vb6zv8ov8v
@user-vb6zv8ov8v Месяц назад
Magoma,nakushauri utoe wasio mapema kwa wanao
@CotaManywele-vg9ti
@CotaManywele-vg9ti Месяц назад
Hakimu nae mpambavu na nimshenzi ivi anatujuwa vizuri wana yanga au anatusikia tu, huyo mzee ni mbwa tena mpambavu kabisa nja nja zake asije leta mtafaruku, huyo hakimu nae ni mpambavu ssna
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e Месяц назад
Huyo mzee mbwa koko tu na ni mjinga asiyejitambua, acha aendelee kutumwa atajua hajui
@AlexKanuya-fs2vr
@AlexKanuya-fs2vr Месяц назад
Mimi mwanayanga Iła huyo mzee yupo sahihi kabisa anachosema yeye!! Maana raisi anakuwaje anafanya kila kitu yeye mwenyewe kama sio utapeli wanataka kufanya wanayanga tuweni makin sana na yanga mzee yupo sahihi uwakika
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e Месяц назад
We mwenyewe akili huna na hujitambui, wanachama wote mtawapeleka ukumbi gani waenee? Vitu vidogo hata kufikiri hamuwezi shenzi
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
Kanuya maana ake .... Unaijua ?? 😂😂😂 , kolo ubwela 🤣
@ChrisKanjara
@ChrisKanjara Месяц назад
Ni atar xan
@deusjoseph8554
@deusjoseph8554 Месяц назад
Hyo katumwa mjinga ,tutamtafta tumunyoshe anatka kutuhalibia timu yetu
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Месяц назад
Elfu2 na ishirini na 10
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e Месяц назад
Haikuhusu
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
Ndo kwanza uisikie Leo ?? 😂😂😂😂
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Месяц назад
@@user-hy2qw6gi3e nn
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 Месяц назад
Mahakama si wametoa hukumu
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Kwani mahakama haipingwi? Kakwambia nani? Mahakama iko kutafsiri sheria! Wakiitafsiri sheria vibaya,wanaoungwa!
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Месяц назад
Aibu kwa mahakama, haiwezekan taasis kubwa Kama yanga ishtakiwa kimyakimya hamna hata coverage ya vyombo vya habar.... Hapa TAKUKURU wahusike
Далее
Can You Bend This Bar?
01:00
Просмотров 4,5 млн
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Просмотров 43 млн
Can You Bend This Bar?
01:00
Просмотров 4,5 млн