Тёмный
No video :(

🚨Alieishitaki Yanga Magoma akifunguka Vingi,Aweka Ukweli wa kesi ilivyo. 

mtanange tv
Подписаться 53 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

#football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 133   
@magobocrissvance1187
@magobocrissvance1187 Месяц назад
Aliye toa hukumu n shabiki wa simba
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr Месяц назад
Hakika
@Listarmwandenuka-fq8jm
@Listarmwandenuka-fq8jm Месяц назад
Kumbe waongo haooo mwacheni Raisi wetu
@maxmia100
@maxmia100 Месяц назад
Huyo mzee kichaa
@anathshabani2952
@anathshabani2952 Месяц назад
Basi hata bungeni tungeenda wananchi wote
@josephlorri431
@josephlorri431 Месяц назад
Anaishi miaka ya 1930s.. kwa sasa yanga na simba imeenea nchi nzima. Ukumbi gani utatosha kubeba wanachama moja moja nchi nzima
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga Месяц назад
Duh sasa wanachama tuko wengi iv kweli tutakuwa tunakuja wote mkutanoni au mimi cjaelewa
@user-kw1dl2rr1l
@user-kw1dl2rr1l Месяц назад
Kesi rufaa yanga wanashinda alafu huyu mzee akamatwe mara moja,
@drallan6879
@drallan6879 Месяц назад
We mzee huoni unaitendea club ndivyo sivyo?au mnatumiwa kuibomoa club?
@user-dl1mg2qf4n
@user-dl1mg2qf4n Месяц назад
Taasisi yoyote huwa na wawakilishi wao kwenye matukio tofauti tofauti,, na hawaendi kinyume na maagizo ya taasisi, Huyu mzee ni mkorofi sana,,
@frayy5595
@frayy5595 Месяц назад
Sawaa mwenye taasis yako😅
@amosimussa3360
@amosimussa3360 Месяц назад
Mzee tulia kama wanachama waliwaamini hao watano wakawakilishe maana yake wanauhakika nao .na ukisema wanachama wote waingie kwenye mkutano mnakaa wap na ndo maana walichagua watu watano kwenda kuwakilisha acha maneno
@user-hx1po7qx5j
@user-hx1po7qx5j Месяц назад
Daaah afya ya akili 😂
@MohamedMoto-x2i
@MohamedMoto-x2i Месяц назад
Uyo mzee ajitambui. Kama ninjaa aje shamba tulime atakula. Nasio kuchanganya mafaiili
@eustadiusbahanzi
@eustadiusbahanzi Месяц назад
Huyu Mzee katumwa sasa ngoja tuoneee wew Mzee umechka maisha
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga Месяц назад
Yani kwa kweli sa unataka wanachama tuje wote kweli mzee wamweke miongoni mwa hao watano baaaaaaaaasi
@ChanganyaJaphetjr
@ChanganyaJaphetjr Месяц назад
hakuna kee hapo😮😮😅❤
@mazengojohn2090
@mazengojohn2090 Месяц назад
Hao wazee wafungiwe na club wasijiusishe na yanga yetu
@fadhilkhamis8971
@fadhilkhamis8971 Месяц назад
Dah! Anyway ngoja nikae kimya tu
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA Месяц назад
HILI JAMBO LINGEKUWA UPANDE WA SIMBA , KINA KITENGE, JOB NA NASRI WANGEBANA PUA.....huwezi kuishitaki taasisi HALAFU mkuu WA TAASISI awe NJE ya team....JOB USIULIZE KWA KUBANA PUA....MAHAKAMA HAIJADILIWI
@HusseinKoja-ww7gi
@HusseinKoja-ww7gi Месяц назад
Huyo anaugomvi kwenye tawi
@McKajiwe-kh3bd
@McKajiwe-kh3bd Месяц назад
Huyu hana tofauti na Feisal,Eti Eng aondoke!!??,ni kichaa tu ndio atamwelewa.
@izackkitomo6825
@izackkitomo6825 Месяц назад
Uyu mzeee anaelimu gani Kwanzaa
@georgepewa9624
@georgepewa9624 Месяц назад
Huyu ni wakufungiwa milele
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga Месяц назад
Sa mbona mkali iv
@EsterMbilo
@EsterMbilo Месяц назад
Mzee unapaswa uchapwe viboko
@amosleonard7359
@amosleonard7359 Месяц назад
Bangi kabisa
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
MAGOMA KAMA HURIDHIKI NENDA SIMBA
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA Месяц назад
ENG ALISEMA NILEETENIII HUYU AWE MAKAMO.WANGU..
@robertmatabalo5454
@robertmatabalo5454 Месяц назад
Huyu amepoteza sifa kuwa mwanachama wa Yanga. Aondolewe
@user-rj3cd2lh8w
@user-rj3cd2lh8w Месяц назад
Matumizi mabaya ya mahakama
@VumiliaSabu
@VumiliaSabu Месяц назад
Akapimwe akili uyo
@user-xt3rn8js7t
@user-xt3rn8js7t Месяц назад
Magoma nenda simba hatukutaki ww tunamtaka injinia toka huko
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
Gsm huyuko kwenye bordy na wala hajawahi kuwa kwenye bordy.
@user-ym7rd4yn4l
@user-ym7rd4yn4l Месяц назад
Naomba namba yahuyo mzee
@anathshabani2952
@anathshabani2952 Месяц назад
Hao wanaowakilisha siwamebeba maoni na mawazo ya wanachama wanaowaongoza????
@KiloMkundawantu
@KiloMkundawantu Месяц назад
Mzee Acha upuuz tuachie timu yetu
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho Месяц назад
Kudaako mzee😅😅😅😅😅
@user-kz6pb9ii6k
@user-kz6pb9ii6k Месяц назад
Wew mzee nakuombea ufe
@frayy5595
@frayy5595 Месяц назад
kufaa we kwanzaa😂
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Месяц назад
Ba​@@frayy5595baby Babu yako huyo
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd Месяц назад
Yan anataka mkutano uhudhuriwe na watu woote Tanzania anaakili kweli huyu,,,anaongelea katiba ya nwaka 78 ambayo Tz ilikua na watu million 10 Sasahv kuna watu million 60 alafu unataka mkutano aje kila mtu si huo mkutano utafanyika Lupaso sasa
@duniayetujamiiyetu6623
@duniayetujamiiyetu6623 Месяц назад
Ni haki as long as ni mwanachama
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd Месяц назад
😊😊😊😊😊kwahiyo huyu mzee anataka uongozi sio!!!!!😅😅😅😅kwanza ana elimu gani huyu!??
@maryaugustino8716
@maryaugustino8716 Месяц назад
Huyu mzee afutwe uanachama kabisa kama wanavyo fanya ccm mtu mgomvi kwenye taasisi kubwa ambaye ni mnafiki shubamit hatakiwi hata kwenye jumuia ya watu wstulivu.afutweeee uanachama hatumtaki kabisa zee hili,
@ShadrakNdalu
@ShadrakNdalu Месяц назад
Huyo ametumwa huyo
@emanuelshirima9236
@emanuelshirima9236 Месяц назад
Huyu Mzee Ni wale WA wanaitwaga bushlowyer😂
@ChanganyaJaphetjr
@ChanganyaJaphetjr Месяц назад
hakuna kes hapo 😂
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 Месяц назад
ANAMAHUDHI HUYOOO
@amosingailo-xb6lf
@amosingailo-xb6lf Месяц назад
Huyu mzee apewe tim tuone😂😂😂
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 Месяц назад
Mzee yuko sahihi kwenye sheria .ameona kuna upigaj mkubwa yanga .takukuru muone swala hili
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
UPIGAJI WA BABA YAKO?
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e Месяц назад
Waambie wafuatilie upiga wa kolo mwenzenu mo anayewaibia kila siku jibwa wewe
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 Месяц назад
@@user-ce3tx7mr8v wa mama yako
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 Месяц назад
@@user-hy2qw6gi3e makasiriko ya nn sheria imefata mkondo wake .nategemea msaada wa viongoz kulituliza.achen dhulma
@christinaalexander1213
@christinaalexander1213 Месяц назад
Kwa hiyo ulitaka wote 100 waende mkutano mkuu
@clauschaula2050
@clauschaula2050 Месяц назад
Magoma acha siasa kwenye soka.
@user-vb6zv8ov8v
@user-vb6zv8ov8v Месяц назад
Huyu mzee na aliyetoa hukumu ya kesi hiyo hewa ni miongoni mwa Watanzania wachache waliosomea sheria lkn hawajui hata kidogo kutafsiriwa sheria wanatoa maamuzi kwa kuangalia mazingira na vifungu vya sheria.
@user-xt3rn8js7t
@user-xt3rn8js7t Месяц назад
We mzee umechoka maisha
@JOELCHIGUNDA
@JOELCHIGUNDA Месяц назад
Sasa kama katiba imeshasajiliwa yeye ninani huyo mzee Ndo maana Eng.a nasema wala mihogo acheni kukorofisha maji yaliyotulia
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 Месяц назад
HUYU PUMBA KWELIKWELI
@kelvinngogo1819
@kelvinngogo1819 Месяц назад
Huyu mzee hana hoja kabisa😂 njaa tu aweke namba ya simu tumchangie
@MaxCharles-wj5dg
@MaxCharles-wj5dg Месяц назад
mzee kichaaa huyo siyo bureee
@RichardRomanuss
@RichardRomanuss Месяц назад
Tatizo la kuwapa nafasi wazee wa miaka ya 50 uko wawe na mamlaka kweny club
@ndarohitra1495
@ndarohitra1495 Месяц назад
Pumbavu sana mzee machakacha huyu anataka nn kwani? Njaa hizi bhana acha kabisa na hapa keshakuwa kupe
@SalimuRamadhani-nl7bp
@SalimuRamadhani-nl7bp Месяц назад
Huyo mzee messenger tu
@ashrafumbawala
@ashrafumbawala Месяц назад
Chama kaenda kuleta mgogolo 😂😂😂😂
@aliissa8781
@aliissa8781 Месяц назад
Moira haukosi fitina ila haya yote yanakuja kutoka a na brand ya Simba kushuka na hawajui vp itapanda. Kwa hiyo lazima kuwe na propaganda kama hizi.
@user-zh5tp2yq6f
@user-zh5tp2yq6f Месяц назад
Asa kama team inafanya vzur mnataka nin Tena nyie wazee mbona mnazeeka vibaya ivi
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Месяц назад
Yaani huyu mzee kichaa so wanachama wote twende kwenye mkutano
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 Месяц назад
Msimtusi huyu mzee anaongea kisheria sio kiushabiki mumuelwe maswali yake na maelezo yake mnvunjia heshim bure
@narcissusmakenge4710
@narcissusmakenge4710 Месяц назад
Huyu mzee kachoka. Bunge la Jamuhuri linawakilisha wananchi kutunga sheria na kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi, hii haiwafanyi watanzania waliobaki kutokuwa wananchi. Vyama kama ccm vinafanya maamuzi kupitia mkutano mkuu kwa uwakilishi wa wajumbe kwa niamba ya wanachama wengine, pia hii haiwafanyi wanachama wengine kutokuwa wana CCM. Akitaka agombee uongozi wa tawi ili aende mkutano mkuu.😂😂😂
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr Месяц назад
Hata taking hana wala card hai mchawi tuu huyo wa timu yetu
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
KAMA HUJAWAHI KUITUMIA KATIBA KAA KIMYA
@Prosperkaluta
@Prosperkaluta Месяц назад
Kwa hiyo huyu mzee anahitaji wanachama wakiwa nilionu moja basi wooooote wawe wanashirikishwa kwenye vikao eti daaaaaaaaaaaaah...!
@EsterMbilo
@EsterMbilo Месяц назад
Mzee unajtaka Nini mchawi mkubwa
@ezrayohana3541
@ezrayohana3541 Месяц назад
Mmmmmmmmh hapa shida ni Elimu tu
@user-hy2qw6gi3e
@user-hy2qw6gi3e Месяц назад
Hili zee jinga kwahiyo tukitaka kuchagua rais wa nchi tuchaguliwe watanzania wote sio? Mbona jimboni tuko watu wengi lakini tunamchagua mwakilishi mmoja? Liende kijijini likalime jibwa hilo. Shenzi kabisa
@HamzaMfunen
@HamzaMfunen Месяц назад
Huyo magoma bwege.
@amosleonard7359
@amosleonard7359 Месяц назад
Wewe ndy hatukutaki na wewe siyo bora kuliko yanga tuache na yanga yetu
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr Месяц назад
Huyu mzee akili zake hazina akili na huyo akimu wake sasa huo utakua mkutano au uwanja wa fujo
@enockjoseph3818
@enockjoseph3818 Месяц назад
Huyo mzee Hajui anachokiongea hapo na sijui kusudi lake nini nymbafu
@HusseinKoja-ww7gi
@HusseinKoja-ww7gi Месяц назад
Hiyo kesi itatupiliwa mbali
@IsaKinyonga
@IsaKinyonga Месяц назад
Wee Mzee kuma nyoko nyoko zako
@jumamakonya2665
@jumamakonya2665 Месяц назад
Sisi hatutaki mgogoro ndani ya timu yetu wee mzee tulia sawa....!! Sii uache kulipa sisi tunalipia.... DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
@amosleonard7359
@amosleonard7359 Месяц назад
Njaa tu inamsumbua huyu mzee
@user-zh5tp2yq6f
@user-zh5tp2yq6f Месяц назад
Kila TAWI Lina wanachama 100 wakija wote Kila tawi mnapakuwaweka au mzee mkutano uwe unafanyikia kwa mkapa
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 Месяц назад
Wewe mzee acha ujinga utuache na yanga yetu
@SelestineJoseph-ww5gl
@SelestineJoseph-ww5gl Месяц назад
Afungilie club nyingine uyoo mzee lakini siyoo ya yanga injinia atakuwa raisi apo
@HabibaHassan-y8y
@HabibaHassan-y8y Месяц назад
Majibu yake ni pumba tupu.
@augustinemainde
@augustinemainde Месяц назад
Wavurugaji wako wengi huyu mzee aachiwe Yanga anayotaka na hii iuzwe iitwe tuone Kama ataiendesha eti mzee asituchokoze vijana tumetulia na Tanzania yetu
@EsterMbilo
@EsterMbilo Месяц назад
Fuuta uanachama huyo
@AlawiissaIssa
@AlawiissaIssa Месяц назад
mzee endelea kujichosha
@DouglasChuwa-ec7mv
@DouglasChuwa-ec7mv Месяц назад
Ameishiwa mada njaa imemponza huyo juma
@kateadam8204
@kateadam8204 Месяц назад
Ndugu yake Mangungu 😂😂😂
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 Месяц назад
Sasa dhana ya uwakilishi maana yake nini? Wote tunaweza kwenda Bungeni? Lazima mifumo ibadilishwe ili kuendana na wakati. Hiyo kesi tunakata rufaa af utasubiri rufaa yako kwa miaka 50.
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Месяц назад
Huyu MTU hana hoja ---- kwani mwanachama anakuwa mwanachama pale tu anaposhiriki vikao ? ---- " Nonsense "
@DismasWilliam-cp3qe
@DismasWilliam-cp3qe Месяц назад
Job wewe mwanasheria mtupu huyu mzee hana anachojua maana anajikanyaga tu kujibu
@wazirimagayuka9681
@wazirimagayuka9681 Месяц назад
Kuna wanachama wangapi nchi nzima? Anataka wanachama wote washiriki kufanya maamuzi badala ya kuwa na wawakilishi wasiozidi watano. Ndio maana hata sisi wananchi tunawakilishwa na wabunge kila jimbo mbunge mmoja. Yeye mawazo yake angetaka wakati wa vikao vya bunge wananchi wote tuingie bungeni?
@H3s4d
@H3s4d Месяц назад
Tatizo. Nini? Njaa
@H3s4d
@H3s4d Месяц назад
Haya ni. Matatizo. Ya. Watu. Wanaoshikwa. Masikio. Na. Watu
@tabumayuhana47
@tabumayuhana47 Месяц назад
SIMBA WAPO KAZINI HAPO SASA😂😂😂
@amosleonard7359
@amosleonard7359 Месяц назад
Hatukutaki wewe na urudishe kadi yetu ya uanachama
@user-dl1mg2qf4n
@user-dl1mg2qf4n Месяц назад
😂 huyu ni mbumbumbu kabisa,, wanachama wote hawawezi kushiriki kwenye vikao ,, bali huwakilishwa na baadhii, wote waendee huo sio mkutano bali ni maandamano
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts Месяц назад
Uyi mzee akasome kwanza juu huwezi kuchukuwa watu milioni 40 wakauzuliye mkutano
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
KAMA HAO NI WAPENZI HAO WATANO WATACHAGULIWA NA NANI? NA UKUMBI GANI UTATUMIKA KWA WANACHAMA WOTE?
@user-ym7rd4yn4l
@user-ym7rd4yn4l Месяц назад
Huyo mzee nikichaa mbunge anwakilisha wananchi wangapi kwanini yeye alalamikie watu 95 kwahiyo tawi likiwa nawachama 5000 wote wakahudhurie mkutano huyu nikichaa kabisa
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd Месяц назад
Huyu mzee mamluki Au ndio wale wapigaji sasahv hakuna hayo mambo yanga aende simba huko sisi hatuna 10% usajili anafanya rais
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
MZEE MAGOMA?HAKI NINI?HAO 95 WANACHAGUA VIONGOZI,WANAPELEKA WAWAKILISHI,WANACHOKIPATA WANARUDISHA KWA WATU 95
@romimwalu
@romimwalu Месяц назад
Wewe Mzee,WANACHAMA wataweza kushiriki mkutano mmoja?Taasisi zote zinakuwa na uwakilishi
@drallan6879
@drallan6879 Месяц назад
we mzee pesa za kuendesha club unazo;?mbona unatafuta matatizo?
Далее