Тёмный

🛑FRIJI BOVU AMVULIA KOFIA AHOUA , SIKU SI NYINGI WATU WATAMSAHAU CHAMA MSIMBAZI, SIMBA HII TEMA MATE 

MFALME WA SOKA
Подписаться 81 тыс.
Просмотров 41 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@OmbeniMkumbwa-yg1vg
@OmbeniMkumbwa-yg1vg 2 месяца назад
Unaakili sanaaa❤❤❤❤❤🌺🌺🌺🌺🌺🌺
@JamesSweetbart
@JamesSweetbart 2 месяца назад
Safi kabisa mzee kazi hukosei kwenye kufafanua
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 2 месяца назад
Huyu mwamba mi sina mashaka nae namkubali sana 🎉🎉🎉❤❤❤
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 2 месяца назад
Tanzania tunge pata wachambunzi kama kumi tu kama hawa mpila wetu unge fika mbali Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@sulejmandj7582
@sulejmandj7582 2 месяца назад
Kak unajua sana ✌🏽
@KasioClassic
@KasioClassic 2 месяца назад
Hii simba yangu ipeni mudaaaaa tuu natusubi muda ndounaongeaa
@SarahKisepe
@SarahKisepe 2 месяца назад
❤❤❤❤❤
@AletasMbawala-si5kj
@AletasMbawala-si5kj 2 месяца назад
Point brother kam mm tu naixh leo bro 🙏🙏🙏
@onesphorymgedzi995
@onesphorymgedzi995 2 месяца назад
Kaka kwenye kulinda wachezaji kaka umeongea sana maana mmmh kunamijitu inafanya mambo ya jabu sana
@dismasmusoma9478
@dismasmusoma9478 2 месяца назад
Uko vizuri sana bro. Ushauri wangu siku moja moja uchambue kwa English brother kwa faida ya hawa wachezaji wa kigeni pamoja na kocha. Nina imani kuna faida kubwa sana kwenye uchambuzi wako.
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
Limeisha hilo Kaka Ung'eng'e
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 2 месяца назад
Friji bovu uko vizuri sana, Chama akikutana na timu mbovu ndipo anaonekana, akikutana na wanaojua boli na kasi ya SGR haonekani anapotea kabisa.
@henelckneatunga2720
@henelckneatunga2720 2 месяца назад
HUYO MVP WENU HILO GOLI ALILOFUNGA MABEKI NDIO WAMEZINGUA WANAMKABA KWA MACHO.KHS CHAMA WEWE TULIA, CHAMA ANAUWEZO WA KUCHEZA MATCH YOYOTE BILA SHAKA.
@HalimaAlly-j3t
@HalimaAlly-j3t 2 месяца назад
tena na tena
@RevocatusKambimbaya
@RevocatusKambimbaya 2 месяца назад
Uko vizur isipokua uchambuz wako wakati mwingine unaegemea upande mmoja
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 2 месяца назад
Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.
@EliyaOnnesphory
@EliyaOnnesphory 2 месяца назад
Friji bovu bhana hauna unafiki, palipo ukweli unasema! Alafu haijalishi ni timu gani unaipa maua yake🎉🎉🎉.
@issaomari5297
@issaomari5297 2 месяца назад
Bila kukusikiliza MWAMBA Huwa naona sija enjoy uchambuzi uko vzur sana broo
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🔥 🔥
@SifaKayaya-z3b
@SifaKayaya-z3b 2 месяца назад
Pamoja sana kakaa
@barakamusapolekidoti957
@barakamusapolekidoti957 2 месяца назад
FRIJI BOVU upo vzr
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад
Awesu yupo safi sana ila aache urembo mwingi anapoteza muda
@ChristopherMisungwi
@ChristopherMisungwi 2 месяца назад
Kaka wape bwana maaana duuu jezi kidogo tuogope kutembea nazo msimu uliopita kaka duuu maumivu sasa wengi watahama sana msim huuu
@DaudiMsukuma
@DaudiMsukuma 2 месяца назад
Sasa huyu mwandishi anauyanga ndani huyu Kila wakati anataka kuongelea yanga
@MasudiNambole
@MasudiNambole 2 месяца назад
Ukiacha Hans na ambangile huyu jamaa namuelewa sana
@stanleyngonyani204
@stanleyngonyani204 Месяц назад
Hla chamou ipo sku atakuja itajka hamza ajakutana na heavy so sidhan moja kwa moja ni bora
@DadeSaide-qr7ti
@DadeSaide-qr7ti 2 месяца назад
Naitua Dade nipo nsumbiji kuanza niwachukuru azam kua kutpatia buludani mechi yaleoo speni wapenzani wajipange Simba nguvu moja Mozambique🇲🇿 🇲🇿 🇹🇿 🇹🇿 🎉🎉🎉😂
@sulemanmagesa2181
@sulemanmagesa2181 2 месяца назад
Mnarekodi ndefu Sana. Fupisheni.
@AshelyAbel-kg4kx
@AshelyAbel-kg4kx 2 месяца назад
Awesu asicheze mpira wa urembo kwasasa tunataka matokeo awe anatoa mpira haraka kwenye njia, barua nae nimchoyo hatoi pasi wengene wafunge
@VascoKasambala
@VascoKasambala 2 месяца назад
HAWEZI KUENDA UJERUMANI KWA NAMNA YOYOTE ILE WEWEKENI KUMBUKUMBU YANGU
@MohamedHango-r5k
@MohamedHango-r5k 2 месяца назад
Kiukweli kaka unachambua mpila ila kuna wengine wanachambua matembele
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🔥 🔥
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад
6:18 6:35 6:36
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 2 месяца назад
Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 месяца назад
Nakumbuka maneno Yako broo Abdurazack ulimtaja mwanzo
@DanielChaula
@DanielChaula 2 месяца назад
Balua ana uchura chura
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 месяца назад
Biringita sarakasi na jezi Yako ya heshima kaka JVC ! Nimeipenda hiyo friji
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
😂😂😂
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад
Mzamiru anazingua, na kwanini okejepha anaazia bench
@GloryPallangyo-o4g
@GloryPallangyo-o4g 2 месяца назад
Asante kaka wambie
@promiseann4836
@promiseann4836 2 месяца назад
Jembe liko sawa
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 2 месяца назад
😂😂😂😂
@Bishopdavidndaki7184
@Bishopdavidndaki7184 2 месяца назад
Barikiwa sana firiji bovu siku zote wewe huwa haupindishi
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🎉🎉
@ABDULKARLMMWANGELA
@ABDULKARLMMWANGELA 2 месяца назад
🎉gud-gud wamba uchambuzi wa ovyo Sana kwakuwa ndio Ameajiriwa huyu kaka
@theonasmkoba6121
@theonasmkoba6121 2 месяца назад
Usijaribu Sarakasi Friji Bovu, tunakupenda na kukuhitaji😅
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
😂
@Farida-vg5ry
@Farida-vg5ry 2 месяца назад
Ndomana tunasema matapishi ya Simba chakula kwa wengine
@buberwamujungu6987
@buberwamujungu6987 2 месяца назад
Uko vzr man nakukubali uchambuzi murwaa kabisa
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 2 месяца назад
Chama team ngumu hana uwezo wowote huo ndo ukwel,,yaan team red card mbili bas anasifiwa mtu jmn nchi ngumu hii😂😂😂😂
@AshirunaNdali-mh7cp
@AshirunaNdali-mh7cp 2 месяца назад
hongela bwana friji bovu ukovizuli 😂😂😂
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🔥
@JustinJames-zx4zh
@JustinJames-zx4zh 2 месяца назад
Mbona tumekaa kinyonge mjengoni wakuu
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🎉
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 месяца назад
Huyo kamera man nampa🎉🎉🎉 yake broo , anajua kutega
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🎉
@official_mr_bery
@official_mr_bery 2 месяца назад
Huyu 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🔥
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 2 месяца назад
Utopolo akuna kitu kabsa Yan mwaka wetu huu
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 месяца назад
NA WEWE.MWANDISHI UNAMBISHIA FRIJI BOVU. YUPO SAHIHI SANA NA MUNGU NI MWEMA HAYO YATATIMIA KWA UWEZO WA.MOLA
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🔥
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад
😂
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 2 месяца назад
Ubaya ubwela
@neemaraphael8732
@neemaraphael8732 2 месяца назад
Mukwala gari limewaka usipowe tena
@JustinJames-zx4zh
@JustinJames-zx4zh 2 месяца назад
Kaka hivi ni ukweli kwamba Simba tuna maingizo mapya upande wa safu ya ushambuliaji au ni tetesi tu 😢
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
Ni tetesi tu Kaka
@JuliasOnai
@JuliasOnai 2 месяца назад
ateba yupo
@YusuphAlly-y9o
@YusuphAlly-y9o 2 месяца назад
Hiii nisimba ww achauwiga
@TwahiliJabu
@TwahiliJabu 2 месяца назад
Oya akuna unyonge apa wakologwa apa fraha tu
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 месяца назад
🔥
@PharmacistGoodluckMdugi
@PharmacistGoodluckMdugi 2 месяца назад
Waongo sana maana walisema wamealikwa kwenye ufunguzi wa caf champions league kitu ambacho hakipo ha ha ha haaaaa
Далее
ALLY KAMWE AWATUKANA WAZEE WA SIMBA #football
3:45
Просмотров 2,6 тыс.
GB 64 KWA HASIRA AMVAA MCHOME, ANASEMA SINA AKILI?
20:24