👑👑⚽⚽MFALME WA SOKA imejikita kutoa taarifa za Michezo na Burudani, pamoja na mahojiano maalumu na Wanamichezo mbalimbali.
🔥🔥 👑👑⚽⚽MFALME WA SOKA ni Chaneli inayofanya kazi kwa Weledi na kufuata sheria za nchi na imesajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupitia sheria ya Huduma za habari.
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe MFALME WA SOKA ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
Nawaomba tu msianze kumchanganya kocha tusifanye makosa tulio kuwa tunafanya enzi za chama kwa robatinyo kocha tunacho taka ni matokeo na magoli mengi na sio kumpangia kocha amesha onyesha mwanga mwacheni cha misingi tumwoombee asipoteze mechi asitoe sare na atoke na clean sheet kila mtu atacheza kama ana kitu bado mapema sana
Tatizo la Azamu ni kukumbatia viongozi wengi wa Uto ndomana wakicheza na Simba wanakamia Sana ukilinganisha na Uto! Njia rahisi ni kufukuza viongozi wote wenye mapenzi ya Simba na Uto!!!!!
Simba walimuuza Haruna Moshi siku nne kabla ya mechi na Yanga na Ikafungwa goli la Mussa mgosi kama mnakumbuka Yanga washamba wengi ndio maana club hipo ktk mfereji wa pombe hakiliyao itakuaje
Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini
Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.