Тёмный
MFALME WA SOKA
MFALME WA SOKA
MFALME WA SOKA
Подписаться
👑👑⚽⚽MFALME WA SOKA imejikita kutoa taarifa za Michezo na Burudani, pamoja na mahojiano maalumu na Wanamichezo mbalimbali.

🔥🔥 👑👑⚽⚽MFALME WA SOKA ni Chaneli inayofanya kazi kwa Weledi na kufuata sheria za nchi na imesajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupitia sheria ya Huduma za habari.

🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe MFALME WA SOKA ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
Комментарии
@deusmanyenye5190
@deusmanyenye5190 2 часа назад
CHASAMBI ACHEZE!
@DeborahSaitoti-oy7fm
@DeborahSaitoti-oy7fm 3 часа назад
Nawaomba tu msianze kumchanganya kocha tusifanye makosa tulio kuwa tunafanya enzi za chama kwa robatinyo kocha tunacho taka ni matokeo na magoli mengi na sio kumpangia kocha amesha onyesha mwanga mwacheni cha misingi tumwoombee asipoteze mechi asitoe sare na atoke na clean sheet kila mtu atacheza kama ana kitu bado mapema sana
@AthumanBitegaAthumanBitega
@AthumanBitegaAthumanBitega 3 часа назад
🦁🦁
@user-ou1vg3ry9k
@user-ou1vg3ry9k 7 часов назад
Kaka nikweli kbs Azam Kun fesal na kamiko na silaa bc😂😂😂
@CiaramboMerlin
@CiaramboMerlin 11 часов назад
Friji bovu mm nakuunga mkono chasambi acheze makocha wasipokemewa wataendelea kupoteza vipaji vyawachezaji tuendelee kuwasema wabadilike
@ElyrehemaMartin
@ElyrehemaMartin 11 часов назад
Hawa simba watafunga sana
@user-mg7xx7ty1t
@user-mg7xx7ty1t 12 часов назад
Azam wameamua kuliaibisha taifa kabixaaa
@user-mg7xx7ty1t
@user-mg7xx7ty1t 12 часов назад
Friji bovu eeeh tuliza mtori nyama zipo chini atacheza xana tu uyo chasambi ndio kwanza safar inaanza
@SarahKisepe
@SarahKisepe 13 часов назад
❤❤❤❤❤
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 14 часов назад
Aise! Nikiwa napita pita humu, nikishawaona tuu! Huwa siwapit mpo vizurii sana ktk uchambuzi! Hata ukaaji ni wa kipekee mnabirimita vizuri sana! 🎉🎉🎉
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 14 часов назад
Tanzania tunge pata wachambunzi kama kumi tu kama hawa mpila wetu unge fika mbali Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 14 часов назад
Huyu mwamba mi sina mashaka nae namkubali sana 🎉🎉🎉❤❤❤
@Isakhiayusuph-jb3yx
@Isakhiayusuph-jb3yx 14 часов назад
Dahh huyo dogo kanifanya nimeze taksima 😂😂😂 pumbavu zake dahh dogo unampeleka friji bovu
@AletasMbawala-si5kj
@AletasMbawala-si5kj 14 часов назад
Point brother kam mm tu naixh leo bro 🙏🙏🙏
@sulejmandj7582
@sulejmandj7582 15 часов назад
😂😂😂😂Kaka mnanifuraisha sanaaaa ✌🏽
@sulejmandj7582
@sulejmandj7582 15 часов назад
Simba inatia raha jamn ukiangalia unaenjoy sanaa ❤🎉🎉🫶🏽
@neemaraphael8732
@neemaraphael8732 16 часов назад
Mukwala gari limewaka usipowe tena
@johntulio2644
@johntulio2644 16 часов назад
Tatizo la Azamu ni kukumbatia viongozi wengi wa Uto ndomana wakicheza na Simba wanakamia Sana ukilinganisha na Uto! Njia rahisi ni kufukuza viongozi wote wenye mapenzi ya Simba na Uto!!!!!
@MBWANAMWAMBUNGU
@MBWANAMWAMBUNGU 16 часов назад
Simba walimuuza Haruna Moshi siku nne kabla ya mechi na Yanga na Ikafungwa goli la Mussa mgosi kama mnakumbuka Yanga washamba wengi ndio maana club hipo ktk mfereji wa pombe hakiliyao itakuaje
@IlhamKhalid-mt3jp
@IlhamKhalid-mt3jp 16 часов назад
Hahahaha❤❤❤❤
@MBWANAMWAMBUNGU
@MBWANAMWAMBUNGU 16 часов назад
Unasema ukweli uongozi wao haupo makini kuiandaa timu
@MBWANAMWAMBUNGU
@MBWANAMWAMBUNGU 16 часов назад
Magoli waliofungwa na Yanga yote ukabaji sio wa timu ya ushindani mechi ilikua draw au kufungwa mbili kama wangejito hamna kitu pale
@MBWANAMWAMBUNGU
@MBWANAMWAMBUNGU 16 часов назад
Azam usajili wao mbovu na coach sio mzuri ona mechi walivyocheza na Yanga wachezaji hawajitoi ni Fei sal tu pale
@user-ec3iz6pg2i
@user-ec3iz6pg2i 16 часов назад
Ahua huyu ndio mchezaji wangu wa msimu huu yeye na mashaka mashaka
@user-ec3iz6pg2i
@user-ec3iz6pg2i 16 часов назад
Frigi wewe ni mtu hasa unajua sana huna kujiona upo na furaha sana napenda kazi yako.
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 17 часов назад
TUMWACHIE KOCHA TUSIMPANGIE KIKOSI NDY TUTAFELI.
@iddiramadhan
@iddiramadhan 17 часов назад
This is 🦁💪
@RevocatusKambimbaya
@RevocatusKambimbaya 17 часов назад
Uko vizur isipokua uchambuz wako wakati mwingine unaegemea upande mmoja
@user-gp3pm4qp5y
@user-gp3pm4qp5y 18 часов назад
Colombia sio hoja wana uwezo wa bori inawezekana huko Colombia ni wauza magimbi
@nassirabas
@nassirabas 18 часов назад
Timu inaposhinda wazawa wapewe nafas ya kucheza sio lazm kumaliza wachezaj hawo hawo
@nassirabas
@nassirabas 18 часов назад
❤simba weka love
@hizzakijangombe7392
@hizzakijangombe7392 18 часов назад
Ebwana ni mnyama nimekushitukia wewe unaipenda simba
@ChristopherMisungwi
@ChristopherMisungwi 22 часа назад
Kaka wape bwana maaana duuu jezi kidogo tuogope kutembea nazo msimu uliopita kaka duuu maumivu sasa wengi watahama sana msim huuu
@TiffaMakamba-ml2ib
@TiffaMakamba-ml2ib 22 часа назад
Kumbe walikuwa pungufu
@KasioClassic
@KasioClassic 23 часа назад
Hii simba yangu ipeni mudaaaaa tuu natusubi muda ndounaongeaa
@user-sm2cn4zi3e
@user-sm2cn4zi3e 23 часа назад
Friji bovu bhana hauna unafiki, palipo ukweli unasema! Alafu haijalishi ni timu gani unaipa maua yake🎉🎉🎉.
@henelckneatunga2720
@henelckneatunga2720 23 часа назад
HUYO MVP WENU HILO GOLI ALILOFUNGA MABEKI NDIO WAMEZINGUA WANAMKABA KWA MACHO.KHS CHAMA WEWE TULIA, CHAMA ANAUWEZO WA KUCHEZA MATCH YOYOTE BILA SHAKA.
@OmbeniMkumbwa-yg1vg
@OmbeniMkumbwa-yg1vg 23 часа назад
Unaakili sanaaa❤❤❤❤❤🌺🌺🌺🌺🌺🌺
@sulejmandj7582
@sulejmandj7582 День назад
Kak unajua sana ✌🏽
@HalimaAlly-j3t
@HalimaAlly-j3t День назад
tena na tena
@AshelyAbel-kg4kx
@AshelyAbel-kg4kx День назад
Awesu asicheze mpira wa urembo kwasasa tunataka matokeo awe anatoa mpira haraka kwenye njia, barua nae nimchoyo hatoi pasi wengene wafunge
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 День назад
Friji bovu uko vizuri sana, Chama akikutana na timu mbovu ndipo anaonekana, akikutana na wanaojua boli na kasi ya SGR haonekani anapotea kabisa.
@onesphorymgedzi995
@onesphorymgedzi995 День назад
Kaka kwenye kulinda wachezaji kaka umeongea sana maana mmmh kunamijitu inafanya mambo ya jabu sana
@SifaKayaya-z3b
@SifaKayaya-z3b День назад
Pamoja sana kakaa
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d День назад
Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 День назад
Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.
@theonasmkoba6121
@theonasmkoba6121 День назад
Usijaribu Sarakasi Friji Bovu, tunakupenda na kukuhitaji😅
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 10 часов назад
😂
@user-oz4hr3pd7s
@user-oz4hr3pd7s День назад
Ukiacha Hans na ambangile huyu jamaa namuelewa sana
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 День назад
😂😂😂😂
@barakamusapolekidoti957
@barakamusapolekidoti957 День назад
FRIJI BOVU upo vzr
@sulemanmagesa2181
@sulemanmagesa2181 День назад
Mnarekodi ndefu Sana. Fupisheni.