Baada ya Msimu wa Ligikuu kutamatika hii leo, Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Manara amezungumza na Watanzania kwa mara ya kwanz na kutoa maoni yake n uchambuzi juu ya vile ameutazama msimu na wachezaji ambao wamemvutia zaidi. #hajimanara #manaratv #yangasc #azizki #alikamwe #ahmedally #simbasc #azamfc #ligikuu #nbc #tff #ubingwa #wachezaji #michezo #burudani #raisheri #injinia #modewij #babra #mangungu #gamondi #gsm #matola #mgunda #mvp #pacome #yao #topscorer
Endelea Kutufuatilia JAhctiveTv Tumekuchagua, Tutakuhudumia
27 май 2024