Тёмный
No video :(

ENG. HERSI KUONDOKA YANGA ?, MAHAKAMA YATOA AMRI YEYE NA VIONGOZI WAACHIE NGAZI, KATIBA YAVUNJWA 

PMTV TANZANIA
Подписаться 82 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz/en...
NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE RU-vid CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtvtz
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv

Опубликовано:

 

25 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 19   
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 Месяц назад
Simba Chakavu wanaumia sana Kiumbe Jemedari anafurahi sana
@Adrianolaurian
@Adrianolaurian Месяц назад
Wazee hatuwataki 💪
@user-ul2qg8ds6f
@user-ul2qg8ds6f Месяц назад
Enjia anatoka labda ni yule wa mabarabara sio hyo Tena hyo mahaka iniangalie sana
@user-jd5ru7dr2r
@user-jd5ru7dr2r Месяц назад
Huyo mzee aje tupige mimba
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana Месяц назад
Tatizo jaa zao na njama za simba kwenye uchanguzi njooni na ulinzi vinginevyo Mtakula fimbo nyingi
@WistomJulius
@WistomJulius Месяц назад
Forever injinia awezi kuondoka yanga huo ni ufisadi tyu wa watu wa simba wanataka kuivuruga clumb
@SAKINAJUMA-ey8qd
@SAKINAJUMA-ey8qd Месяц назад
Kweli nimeamini mtu akishakua mzee akili inaludi kuwa ya kitoto😢😢😢😢😢
@user-mz4gx2ek9y
@user-mz4gx2ek9y Месяц назад
Mahakama ikapambane na mafisadi ipeleke ukuma wake huko au wanataka tukazitie moto
@gsplundi1327
@gsplundi1327 Месяц назад
Arf nani awe raise ? Wazee muache uhuni, musitake turudi nyuma.
@AnthonyVitalis-iy5su
@AnthonyVitalis-iy5su Месяц назад
Yatakwishwa
@SeuriMollel-im5yw
@SeuriMollel-im5yw Месяц назад
Nyie waandishi wa habari mnatengeneza habari za uongo acheni ujinga landa wakwenu
@robertzamani5612
@robertzamani5612 Месяц назад
Halafu waandishi wa habari hayo mambo sio ya kushanglilia yanarudisha soka letu nyuma
@abasalfred1617
@abasalfred1617 Месяц назад
Huyo magoma hat pesa ya kumlipa nkane hana, huo ni ujinga sana wapinga maendeleo
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Месяц назад
Ndio mjute kumrubuni chama....
@yonazimpombe1160
@yonazimpombe1160 Месяц назад
Hao wazer wnakadi halali ? Wafukuzwe uanachama au wametumwa na simba?
@eliakazilo6078
@eliakazilo6078 Месяц назад
Kama Ni kweli Basi. Hawa Wazee hawaitakii mema tanzania.na haswaaa ki mpira.tuache utani viongozi Hawa Ni wazuri..Tena wazawa wenzetu..huwezi kywafananisha na mamluki wa Simba..na sijuwi Wazee Hawa nguvu wanaitoa wapi? Kwani tff na FIFA swala hili wanalichukuliaje? Kwa Nini Wazee hawakupeleka shauri hili FIFA?
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 Месяц назад
Acheni ujinga jamani yanga yenyewe ina mafisa wao wa habari vipi nyinyi muwe wa kwanza kuziwa taaruki hivi huu ni uchonganishi uwepo wa engenea Heres saidi hunatambulika kikatiba na ndiyo masna yupo pale na tunatambuwa mchango wake mkubwa ktk timu ya yanga ivyo hizo ni propaganda huzushi ili kuibomoa yanga tuu na amta fanikiwa kamweer
@MathewKaduma-ns6yv
@MathewKaduma-ns6yv Месяц назад
Huo ni uzushi Tena nyie mnatakiwa kukamatwa, ivi mnatengeneza skendo za kijinga kwani mchakato wote unafanyika walikuwa wapi? Wajinga kbs nyie.
Далее
skibidi toilet multiverse 041
06:01
Просмотров 5 млн
Ahadi ya Azam Media kwa Yanga SC
4:12
Просмотров 126