Тёмный

11 Twala Yuko Jela 

MzeeBarwani
Подписаться 4,8 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Bwana Aman Thani Fairuz anakutana na Twala jela. Huko walifunga urafiki mkubwa. Aman anasema mengi kayapata kwa Twala kuhusu serikali ya MAVAMIZI. Abeid KArume akiwafanya mawaziri wake kama watoto wa skuli.
Aman amepata habari kwamba Othman Shariff na Idrsa Majura wamefika jela ya Bamkwe (Mandera). Pia Hanga kafikishwa huko kwa Mandera.

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 13   
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 месяцев назад
✌️👊👍.
@ludacrissrangiyabank3737
@ludacrissrangiyabank3737 5 лет назад
Mitandao itafichua mengi
@kasibalisaid7036
@kasibalisaid7036 4 года назад
Hatari
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 5 лет назад
Hataji mabaya anataja sifa zao nihaki yao kutajwa mbona mapinduzi yana sherehekewa kila mwaka ?? Mbona hamsemi yasiadhimishwe kwa sababu uanatonesha bidonda ??ndio kwanza mnasherehekea wacha ataje sifa zao tuzijue hizo anazo eleza huyu Mzee Ni sifa sio ubaya kama ni ubaya waambieni wasisherehekee mapinduzi Huyu Mzee anaelezea mapinduzi ambayo ndio damu yenu na mnaifurahia kila mwaka
@nassorali5511
@nassorali5511 2 года назад
Baba sema uwone kitakacho kukuta
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 8 месяцев назад
Tupe tusiyoyajua maana hata hayo tulikuwa hajui baba tufumbuwe macho na dhuluma ufisadi wizi kumbe iko zamani CCM wanaendeleza tu mkubukeni Allah iko siku mutakwenda kujibu muliyoyanya
@destiny4life439
@destiny4life439 6 лет назад
we mzee usitaje mabaya ya maiti ni kosa kubwa sana kua na heshima
@zainabkhatib6509
@zainabkhatib6509 5 лет назад
Wameyaka wenye kuuwa na kuifanya ufisadi katika ardhi ya zanzibar
@hadassoilih523
@hadassoilih523 4 года назад
Yeye anayelezeya histoire yalompitia
@fu4308
@fu4308 4 года назад
Funga mkundu wako mshenzi wa CCM wewe...Ukweli unauma eeh
@nassorali5511
@nassorali5511 2 года назад
Yatengemea na huyo maiti
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 5 лет назад
Definitely for life wewe bwege sana. Kama huna mchango basi kaa kimyaaa. Mambo ya firauni au hitler Yazungumwa mpaka leo. .
@drfarouk7691
@drfarouk7691 4 года назад
Suleiman Said Allah atakulipa Amin
Далее
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
Просмотров 21 тыс.
Kumbukumbu ya Sheikh Abeid Karume 2016
1:01:16
Просмотров 33 тыс.
Сколько стоят роды мечты?
00:59
Просмотров 139 тыс.
16. Amani Thani: Kisa cha Hanga
24:11
Просмотров 5 тыс.
4  Chakula na Magonjwa Langoni
12:12
Просмотров 8 тыс.
15. Aman Thani: Yalomkuta Saleh Sadalla
16:23
Просмотров 1,4 тыс.
16 Kutoka Gerezani 1967
13:15
Просмотров 27 тыс.
19 Kisa cha Hanga 2
14:10
Просмотров 38 тыс.
17 Yalomkuta Saleh Sadalla
16:08
Просмотров 33 тыс.