Тёмный
No video :(

KUMBUKUMBU ZA MZEE AMAN THANI AKIELEZEA ALICHOKIONA NA YALIOMFIKA 

Bin Seif
Подписаться 179 тыс.
Просмотров 138 тыс.
50% 1

Mzee Aman Thani anaelezea yaliyomtokea baada ya Mapinduzi ya Zanzibar

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 176   
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 года назад
Mwenye Enzi awalaani kila alie kuwa dhalim na alie kuwa sababu ya hayo. Hasbiya Allah wani'mal wakiil
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 2 месяца назад
wakati huwo nyerere anacheka karume aliwadhalilisha wazanzibar kwa tamaa zake wache yamkute na sisi kizazi cha leo tutaigomboa nchi yetu hapo ndipo ndipo mutakapo tufahamu
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 месяца назад
@@eddynaeem6708 kweli kabisa maneno yako
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 4 года назад
Allah akurehemu Mzee amani Hakika malipo yapo mbele ya Allah wao walifikiria hawatokufa leo wapo wapi ?????
@abdullakhamis792
@abdullakhamis792 3 года назад
Allah akupeni Firdausi nuzula wahangawote. wa mapinduzi hakika huu ndio ukweli walotwambia wazee wetu wapedwa walivoteseka
@umiy1971
@umiy1971 8 лет назад
Ahsante sana bin seif tunashukuru kwa wakati wako unootumia kutuletea yote haya mungu akupe nguvu uendelee kutufaidisha.
@muhammadnasri6340
@muhammadnasri6340 5 лет назад
Mwenyezi mungu atawahukum ote walio fanya unyama huu
@magellasaid3693
@magellasaid3693 2 года назад
Mfumo ulianza kututafuna kitambo sn na bahati mbaya historia inapotoshwa, Allah ndie ajuae thamani ya malipo yenu shekh Thani
@aishahajji9461
@aishahajji9461 3 года назад
Babu mashallwah unakumbukumbu nzuri nameno yako unayo mashallwah
@hudaasaalim1333
@hudaasaalim1333 3 года назад
Yeah babu yetu ni mavamizi na tumeona tena in 2020😭😓
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 3 года назад
Allah akbarr Hakika hisabu ipo kwa allah LA ubaya zaidi nikua ccm wanayafurahia maovu haya Ya mapiinduzi
@isaackiptoo5833
@isaackiptoo5833 Год назад
Asalam aleikum. Mimi ni mkenya na navutiwa na maelezo ya mzee wetu. Naomba kujua kama mzee yu hai. Kama yu mzima, mungu amwongezee miaka mingi zaidi.
@godfreydestury8813
@godfreydestury8813 11 месяцев назад
Hapana alishafariki
@38wahida
@38wahida 8 лет назад
allahu akbar ,binaadamu tunajisahau kua kuna hukmu mbele ya Allah,
@julietkwizera8510
@julietkwizera8510 5 лет назад
Mpumbavu huyu
@fatmahamad2156
@fatmahamad2156 5 лет назад
@@julietkwizera8510 mpumbavu ww
@salimalkindi145
@salimalkindi145 4 года назад
Juliet kwizera Kuna upumbavu gani kwenye masimuliyo yake. Unfortunately, wewe ni mshenzi as I can read from name. Jistaarabishe kwanza kabla ya Kurosawa Kauli. Acha chuki kuwa muadilifu.
@asiasalimkapalato7463
@asiasalimkapalato7463 5 лет назад
Inasikitisha sana pole mzee wngu
@jumajorn8932
@jumajorn8932 4 года назад
karume kiufupi ni msaliti wa zanzibar na ndo adui namba 2 badala ya nyerere
@mangofish9079
@mangofish9079 4 года назад
Huo ndio ukweli
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 года назад
Wameuliwa NA kuiteka nchi kwa sababu ni tajiri lakini umaskini mpaka hi garne2021
@ayyamirubba5226
@ayyamirubba5226 Год назад
Wote watendao mema watalipwa mema nawatendao uovu watalipwa adhabu
@yusufige7030
@yusufige7030 Год назад
Kanisa la katoliki no 1 nyerere ni kifwasi tuu kitumwa
@yahyashaib5116
@yahyashaib5116 2 года назад
Laana ya Allah itawakumba tuu Allah akupe kauli thabit
@mgogoonedodoma2250
@mgogoonedodoma2250 7 лет назад
Kwa kweli nimilia sana kusikia maneno kutoka Kwa sheikh Thani.Anaeleza vizuri sana.Hawa wasomi wa Zanzibar pamoja Na sheikh Muhsin ndio walikuwa vinara wetu sisi Watu wamrima.Watu wengi wakienda Zanzibar kutafuta Elmu ya Dini Na Dunia. Hamu yangu kubwa NI kumuona Yule Dhalimu Mandera kama yuko hai. Halafu nimtie mikwaju mpaka azimie.
@rahmajaffar794
@rahmajaffar794 Год назад
Pole baba angu Inshallah hiyo itakuwa sababu yako ya kuingizwa peponi kutokana na mateso uliyoyapata. Mimi nimesikia lakini naumia sana naona siwezi kuisikiliza mpaka mwisho
@lindondezuberi1963
@lindondezuberi1963 8 лет назад
Mungu ampe maisha mema dunian na akherA
@ramadhanhushaymaa9622
@ramadhanhushaymaa9622 2 года назад
Amin
@zainabrashid385
@zainabrashid385 3 года назад
Allah ndo hakimu wa haki ipo cku
@TaniBlatant93
@TaniBlatant93 8 лет назад
ukweli ni huu wazanzibari
@azizamri1522
@azizamri1522 Год назад
Mwenyezi Mungu ndiye mtoa haqi. Baada ya mauwaji yote hayo wamefika wapi? Na bado! Mpaka waombe msamaha!!!
@saheelameir4313
@saheelameir4313 4 года назад
Allah atatulipia
@kheirdulla9046
@kheirdulla9046 8 лет назад
Allah atawalipia yale waliofanyiwa ndugu zetu hakika hii ni dhulma kama wanofanyiwa masheikh wetu
@jamalabdullah6369
@jamalabdullah6369 6 лет назад
Jamal ✋👠⌚👖👑👚
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 5 лет назад
Madhali walifikiria na wao hawatokufa Leo wapo wapi wao waliuwa na wao wameshatangulia malipo kwa Allah kwani walifikiria Wataishi milele madhalim
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 3 года назад
ALLA ndie Hakim mwadilifu kuliko mahakimu wote
@ahmadkhamis4231
@ahmadkhamis4231 8 лет назад
NICE VIDEO NIMEJIFUNZA VITU VINGI KUNA LINK NYENGINE AU WATU WENGINE ULIOWAFANYIA INTERVIEW
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 3 года назад
Mbona ziko nyingi
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 5 лет назад
Bin seif shukra nimetumiya sikunzima ku Angaliya nimesikitika sana nahuu ndiyo ukweli
@adamsimba6555
@adamsimba6555 8 лет назад
Allah awape hatima njema mababu na mabibi zetu hawa waliodhulumiwa
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 года назад
Allahumma ameen yaarab jamian
@maryammussa9002
@maryammussa9002 2 года назад
Amiin
@alhabsi6430
@alhabsi6430 Год назад
Amiin Yaarab
@munaaqatar4109
@munaaqatar4109 2 года назад
Mungu atawalipia yaraby awalaze pema awape kaul thabit yaraby
@eliasnavytanga
@eliasnavytanga 8 лет назад
Innah Lillah waina Illahi Rajiuun. Allah amuweke mahali pema mzee wetu Aman Thani.
@muawiyajamali2557
@muawiyajamali2557 6 лет назад
Elias PROmhh
@muawiyajamali2557
@muawiyajamali2557 6 лет назад
Sote hatujui ukweli uko wapi
@kidaumtumbwi1128
@kidaumtumbwi1128 6 лет назад
Muawiya Jamali . Ukweli si ndo huo anaueleza Mzee Aman Thani. Yeye ndio alikuwepo live jela sasa unataka ushahidi upi mwengine.
@husseinfarid2883
@husseinfarid2883 2 года назад
@@kidaumtumbwi1128 anatka labda yamtokee au tamfike yeye ndio aamini !
@drnow1528
@drnow1528 Год назад
Nyerere na Karume wako Jehanam
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Kweli kabisa
@selekiba
@selekiba 8 лет назад
ndo maana nchi imelaanika kwa damu za watu wasiokua na hatia
@ramadhanlyandu230
@ramadhanlyandu230 6 лет назад
selekiba c
@issajuma9255
@issajuma9255 2 года назад
Hao walikuwa hizbur walikuwa wanaupenda uwaarabu kuliko ndgu zao ndio maana yaliwakuta hayo
@issajuma9255
@issajuma9255 2 года назад
Hawa ni Hisbur,hawa waliwasaliti ndgu zao weusi kwa kujiona ni bora sana kuwaunga wageni waarabu kuliko ndgu zao na hawakutaka kabisa kushiriki siasa, na kazi na ndgu zao weusi wakawa wanajipendekeza kwa waarabu na machotara wa kiaarabu na hawakutaka Zanzibar weusi kujitawara wakaona fahari sana kuwa nao na walipewa kazi,uongozi na wakawa wao ndio wa daraja la pili la raia na weusi wazarendo ni daraja tatu na waarabu na wahindi ni daraja la tatu. Hii ndio sababu hasa ya weusi wazarendo kuamua kujikomboa na baada ya mapinduzi kutimia ndio hayo yalio tokea.
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 2 года назад
Sasa hawa akina mdungu usi.twala.jaa ubwa .hanga pamoja na akina othman sharifu walikuwa hizb?
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
@@issajuma9255 naskia waliuliwa zaidi ya elfu kumi NA tano bila hatia mauaji nyerere
@gangmore9091
@gangmore9091 4 года назад
Mpaka leo hamuna sheria mauwaji n dhulmaa bdo zinaendelea
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 6 месяцев назад
wazanzibar mkikinukisha mje mnichukue niwasaidie si kwa dhulma hyo mliyofanyiwa
@ahmedmussa8231
@ahmedmussa8231 5 лет назад
Hii ndo historia ya Zanzibar co ccm kazi kudanganya watu tu mamazao
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 года назад
NA sikia elfu. Ishirini walikufa watoto wadogo NA wazee NA wanawake
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 года назад
Hiyana na dhulma haifai!! Mungu anaona ubaya wao yani kawapiga dharba adhabu toka mapinduzi yao mpk sasa miaka ni shida juu ya shida tupu nchi zao hazinyanyuki!!
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 10 месяцев назад
Inasikitisha mimi upande wa mama mngazija imeniuma sana.
@hemedabdullah7301
@hemedabdullah7301 4 года назад
Laanatullahi alaihim wakulli man tashabbaha bihim
@zuumoney4829
@zuumoney4829 5 лет назад
Nampaka Leo hii system kutesa kutisha na kuua watu bado inaendelezwa nas serekali iliopo madarakani na kwahayo walioyafanya ndio mana hakikisha kwa njia yoyote hawaachii serekali chama kingine kuhofia kulipiziwa kisasi
@ally1702
@ally1702 4 года назад
Dah nilisoma tu kitabu chake angalau Leo nimemuona
@abdullkilawi5504
@abdullkilawi5504 8 лет назад
Thanks for memories
@yusufige7030
@yusufige7030 3 года назад
Mm nilikuwa naona wazee wa kisomali wakikamatwa na kusafirshwa kumbe sababu ni waislam
@abdulkarimjuma6804
@abdulkarimjuma6804 4 месяца назад
Mungu atawahumukwalanawaloifanya
@chibaboy5803
@chibaboy5803 8 лет назад
shukran xnaa bin seif npo apa apa zenj lkn nlkua ctambui aya mambo ila gud xna
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 8 месяцев назад
mtu fasaha sana katika lugha,miamba hii hatunayo tena,ni huzuni kubwa,The Brain of Zanzibar
@brightdeogratias6664
@brightdeogratias6664 2 года назад
Mwaka 1968, hakukuwa na CCM. CCM imeanzishwa 1977.
@muwanguzigodfrey7420
@muwanguzigodfrey7420 8 лет назад
Ni kumbukumbu nzuri sana!!
@rashidomar2771
@rashidomar2771 7 лет назад
hazidi kitu dhalim ila hasara ,hakika nchi yetu hii dhulma inamtafuna kila mtu mwema ,,mungu atusalim salama inshaallah ,,
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 4 месяца назад
Nchi ambazo zimeendelea hawafichi historia yao, na hua wanakiri makosa yao... wanatumia mamilioni ya hela kutunza historia na sehem za makumbusho... Lakini Waafrika mpaka leo wanaficha historia yao.. vizazi vijao vinakuwa mabwege na mpaka leo wanasoma alichoandika mkoloni... na inakua aibu kweli akija mzungu nchini kwetu na anajua mengi kuhusu nchi yetu ata kuliko sie wenyewe... hii inafanya wananchi wabaki kuwa wapumbavu.. hata tukivaa suti na tai aina gani.. tunabaki kuwa wapumbavu tu...
@allysuleiman6022
@allysuleiman6022 2 года назад
Ila ukweli hatakama unapingwa lakini zanzibar wametutesa sana nampka kesho kutwa bado wanatutesa ila malipo nihapa hapa duniani Ila Mungu amlaani Nyerere huko huko alipo
@Ashuraatanasmogella
@Ashuraatanasmogella 7 лет назад
mzee wetu tunakupenda sana natamani nikuone kwa macho
@ashuraatanas5967
@ashuraatanas5967 6 лет назад
Allah amsamehe makosa yake na ampe pepo tukufu In shaa Allah
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 5 лет назад
Inaalli laahi wainnaailaihi rwaajiuuna
@chibaboy5803
@chibaboy5803 8 лет назад
bin seif mzee yupo hai uyoo
@nacheali5250
@nacheali5250 8 лет назад
Alhamdu-Lillah nimefurahi sana kumuona Sheikh Amani mzima wa afya. Mara ya mwisho nilimuona kwake ndio kwanza kunyanyuka ktk maradhi miaka 16-17 iliyopita, nilimuomba kitabu alichoandika miaka hiyo. Sheikh Masha-Allah kanipa vitabu zaidi ya kimoja na kimoja kati ya hivyo alitia sahihi yake. Sikujua tena hali yake mpaka hivi sasa kumuona ktk mtandao na ktk hali nzuri Alhamdu-Lillah mzima wa afya. Allah akupe afya nzuri Sheikh na utuombee Dua na nchi Nchi yetu isalimike na shari ya mahasidi.
@charlesbibombe2301
@charlesbibombe2301 3 месяца назад
Wanaofaidi matunda ni lile tabaka tawala tu, wale ndio wanasifu yale mambo yaliyofanyika na dhuluma zote😢
@TheEmmy015
@TheEmmy015 8 лет назад
Bin seif ipo clip nyengine maana story haijamaliza inaonesha
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Год назад
Ilopinduliwa ni dola ya Zanzibar, sio waarabu. Huu ni mkamilisho wa kuikata mapande dola ya Zanzibar, ulioanzwa na wajerumani na kumalizwa na waingereza. Nyerere katumiwa na waingereza, na yeye kamtumia Karume, na yeye kawatumia washirazi.
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 года назад
allah awasameh dhambi zenu
@farouqjk4245
@farouqjk4245 Год назад
Kilimani au kule mahala PA kunyongeya.
@gangmore9091
@gangmore9091 4 года назад
Kweli ukipandikizwa mchochezi kwao unakua adui mkubwa kwao ndio mana adii leo ndio wanavyofanya mungu atawalipa
@khamistano4848
@khamistano4848 3 года назад
Haliofanya hayo walikua Ni wazanzibar sio warabu. Na ndio Mana Hadi leo wanaendelea
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 года назад
Kusema kweli waarbu wa oman ni watu wawema sana nilishi NA kufanya kazi nao wanakujulia hali waaslaam wenzetu wamekufa kufundisha dini mwarabu sio adui mzungu ni hatari
@chibaboy5803
@chibaboy5803 8 лет назад
gud xnaa bun seif
@rashidomar2771
@rashidomar2771 7 лет назад
inaonyesha kama ipo stori nyengine ,inaonyesha kama haijamalizika
@kamalofanuel8120
@kamalofanuel8120 2 года назад
duu huyu mzee alikuwa upande wa wakoloni huyu
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Naskia katika uvamizi huo waliuliwa zaidi ya elfu kumi tano kwa dakika arbaini tu
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 6 месяцев назад
Na wanaoendesha serikali ndio wadhamini wa mauaji yaliyotokea
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 года назад
Mapinduzi ya znz yalikua ya kikatili tena ya kishenzi kabisa!! yanalaniiwa mpk sasa na dunia nzima!!
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Zanzibari ilivamiwa kutoka tanganika
@mufamozmufash166
@mufamozmufash166 3 года назад
Every revolution has a story to tell ,
@tecnof1232
@tecnof1232 5 лет назад
Yamefichwaaa lakini kumbe ukweli na historia havifichiki, na vikizamishwa,hatimae huibuka, mambo ndivyo yalivyo, haki haipotei!
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 лет назад
Tecno F123;;Ina mana vile vitabu tulivyosomeshwa darasa la 5 ni story za fisi na sungura (ZAKUTUNGWA).
@gangmore9091
@gangmore9091 4 года назад
@@allyderossi9742 history y vitabuni madarasani mpango wa waengereza na Kenya na nyerere kupotosha na kuondoa ukweli wa history ya zanzibar lakini mungu ndio muhukumu n ukweli haufichiki ao wapo wengi walofanyiwa matendo ayo
@user-qk9iz5lt8q
@user-qk9iz5lt8q 4 месяца назад
Ama kweli utwala ule ulikuwa WA kidhalimu na wakishetani KABISA, HATA KARUME HAKUWA BINADAMU WA KAWAIDA ,KWANINI ASIAMURU HAWA WAPELEKWE MAHAKAMANI? KUMBE HAKUKUWA NA MAPINDUZI ILA MAVAMIZI
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 5 месяцев назад
Nakuunga mkono mia fyil mia
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 3 года назад
Hakuna kitu kibaya Kama hasad
@omaribrahim1087
@omaribrahim1087 Месяц назад
Mapinduzi ya mfano huo ni moja ya dalili za kiyama alichokisema Mtume SAW mtu asiyemiliki hata kiatu leo anakaa kk magorofa
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Haifai kuisherekea mauaji ki dini nafsi ya watu ni haramu kwa mungu kwa hiyo unangia katika mathambi jahanam sio mchezo kuna mahakama huko kiyama mungu atakehukumu
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 года назад
Mzee ulikua kwa sultan nini
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Naskia waliuliwa zaidi ya elfu kumi tano NA walikua raia tu bila silaha
@user-qk9iz5lt8q
@user-qk9iz5lt8q 4 месяца назад
NI HUZUNI KIBWA KWELI KWELI
@ahmedsaidi1938
@ahmedsaidi1938 5 лет назад
Swadaktaa!!!
@fahdmhamed7745
@fahdmhamed7745 2 года назад
Hao walikua ni makafiri wa kimongoli ..wanaitwa muhidin nani lakini matendo yao ni maovu nyerere alaniwe kabisa
@mbotaamani3826
@mbotaamani3826 Год назад
Karume alikuwa chinjachinja 😢😢
@nashnene6326
@nashnene6326 2 месяца назад
Yussuf himid ndo kawafunga
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 месяцев назад
👊✌🙏.
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 5 лет назад
Mi sitaki kisikia upumbavu siasa tuhhh
@abdulomary5003
@abdulomary5003 5 лет назад
Bahatinassor Ali wewe ndio mpumbavu mkubwa maana mtu mwenye akili timamu atashindwaje kuona ukweli huu??
@tecnof1232
@tecnof1232 5 лет назад
Wasiwasi wako nini wewe, au yanakutisha!
@hemedabdullah7301
@hemedabdullah7301 4 года назад
Ww bahati hujui kitu maskini , umetawaliwa na na mawazo dhaifu na chuki katika ulimwengu wa dhulma.
@husseinfarid2883
@husseinfarid2883 2 года назад
hizo ni chuki na moyo dhaifu unakuhangaisha malipo yake mabaya sana.
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 5 лет назад
Wapinduzi Allah anajua jaza yao na wanapostahiki kwa dhulma waliowafanyia waja wa Allah Bila kosa
@ashminhaabdullah4963
@ashminhaabdullah4963 5 лет назад
Hivi nchi iso Ihstoria ya kweli itakua haina msimamo
@sabriabdallah8887
@sabriabdallah8887 2 года назад
Ukweli haufichilki
@mwarabumsitu4098
@mwarabumsitu4098 Год назад
Kumbe hayakuanza leo
@HaidarOmar-tx7cc
@HaidarOmar-tx7cc 5 месяцев назад
⁹😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅 2:15:04
@nadabi1982
@nadabi1982 6 лет назад
A Salaam alaikum mbona haija malizia ipo kamili ao?
@nadabi1982
@nadabi1982 6 лет назад
@@sirallymasoud nakusudia baada ya hapo kuhusu twala kutoroka jela na mzee hapo alipo fikia haijamalizia story hapo ( baada ya Askari kumnong'oneza mandera ?
@julietkwizera8510
@julietkwizera8510 5 лет назад
Bila hayo Zanzibar ingekuwa na hatma gani Atoke hapo
@jimj8285
@jimj8285 2 года назад
@@julietkwizera8510 Juliet Vipi upo wapi??? Hebu nijibu unipe na namba yako ya simu,nukuahidi utazaa Kwa kufirwa tamuuuuu!!! Kama matoke na beef!!!
@topaviator
@topaviator 3 года назад
Heh
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Wamevamia watu hawana silaha wajinga kweli nyerere huo
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 2 года назад
lakini mbona kama hawa wazee walikuwa wanawaona waarabu ni watu wema sana kuliko utawala wa watu weusi coz hakuna hata sehemu moja alipoilaumu waarabu ilhali waarabu wengi waliwauza watu weusi utumwani
@mkude
@mkude 2 года назад
Wewe akili yako imechotwa na habari ya uongo na ya chuki dunia nzima habari eti waraabu waliwauza weusi mnazijua nyinyi tu east afrika,nwarabu hakufanya utumwa,utumwa kafanya nzungu angalia watunwa waliopelekwa Brazil na nchi za America ya kusini na America yenyewe mamillioni kwa mamillioni ,Europe yote mpaka England kulikuwa na minada ya wazi ya kuuzwa utumwa, yote hayasemwi .
@mkude
@mkude 2 года назад
Mwarabu hakufanya utumwa hiyo in story ya uongo imetengenezwa na wazungu ili warabu wachukie.utumwa wamefanya wazungu hiyo mbona IPO wazi
@madetetv6576
@madetetv6576 2 года назад
@@mkude hapan mkuu waarabu wamefanya biashara ya utumwa sana tena watumwa wengi walipelekwa nchi za kiarabu huko kufany kazi za ndani na mashambani na vile vile hata hao wakoloni Muarabu alikuwa anawakusanya watumwa zenji hapo halafu mkoloni anakuja kuwasomba kwaio mkoloni kasaidiwa na muarabu kuwapata watumwa nandomana mzungu alivoondoka alimpa tu serikali Muarabu ilihali weusi ndo walikuwa wengi sababu Ni kuwa Mzungu na muarabu walikuwa marafiki sana we hujiilizi kwanini Tanganyika na kwengine huko machifu walipigwa stop maamuzi tapifanywa na mkoloni tu Ila Zanzibar sultan alikuwa na nguvu ingawa mkoloni ndo anaitawala Zanzibar Yani sultani anamsaidia mkoloni kuitawala Zanzibar Watanzania tumeelimika sana hatuwezi danganywa namna hio
@xl6941
@xl6941 Год назад
Ni wajinga hawa hawajui historia. Na mtumwa asiyejua Uhuru anaona utumwa ni Uhuru bado
@mfaumemetta-vr1cl
@mfaumemetta-vr1cl 10 месяцев назад
Hakuna mapinduzi ambayo hayapotezi maisha ya watu. Angalia China Mao alifanyaje? Pia Cuba nao walifanyaje? Wapingao mapinduzi ukiwaachiaapinduzi hayendi.
@alikhamis8063
@alikhamis8063 4 года назад
Hiyo yote mliisababisha wenyewe kwa kutokuwa waadilifu na kudharau watu kwahiyo Serekali yenu ya mwezi 1. Ulitakiwa uelezee na ushenzi ulofanyika kabla ya hayo mapinduzi.
@mangofish9079
@mangofish9079 4 года назад
Kama yeye hakutaja tunaomba utuletee wewe kwa kumhoji mtu aliekuwepo wakati huo akujuze au aje mtu akupe ushuhuda nani alieuliwa au kuteswa n. K kabla ya mapinduzi niko intrest sana kubadilishana mawazo na wewe juu ya hili
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 3 года назад
Wazee watu walituambia kuwa mapinduzi watu wengi walizulumiwa na kuuliwa lakini hakuna hata mtu moja alisema kuwa Ali Mukhsini Baruwani alizulumu. Inasikitosha sana hakika ulicho kipanda ndio utachokivuna
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Год назад
Natamani tume ya haki jinai iliundwa na mama ilete mabadiliko makubwa kwani kufungwa si chanzo cha mtu kumpotezea haki ya kibinadamu mtu. na mimi naamini kwa hawa viongozi wetu waliopita na mifumo hii ya kidhalimu katu hawawezi pita hivihivi kwa Allah.NAomba historia kama hizi zihifadhiwe na zifundishwe kwa vizazi vyetu ili udhalimu huu usije rejelewa tena
@abbiecox1
@abbiecox1 2 года назад
MMHH MTUMWA NI MTUMWA KAMWE MTU MWEUSI HAWEZI KUJITAWALA! UHURU HUTAFUTWA HATA NA MTU MMOJA LAKINI HUWA NA MANUFAIKO YA WOTE
@rashidalihamad7228
@rashidalihamad7228 3 года назад
izo chuki watanganyika wako nazo hadi leo na hawapendi sisi kuepo wanatamani wangelikua na uswezo hata mchanga walingetugeuza michanga
@zengandoto7088
@zengandoto7088 3 года назад
Huyu kama Tunduliso. Propaganda nyinyi haupendi uafrica wake. Kibaraka cha waarabu
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 3 года назад
Hayo anayaeleza ni kweli kwa sababu wazee watu walitueleza usikurupuke tu.mimi binafsi nimekutana na babu london alitueleza ushenzi uliofanywa
@zengandoto7088
@zengandoto7088 3 года назад
@@ahmedissa7882 hayo anayo yasema ya kujenga chuki kwasisi sote wazanzibar. Angalia wewe unasema uko london. Wakati waengereza ndio waliowapa watu silaha, na nguvu ya kufanya mabaya. Na kumbuwa wao ndio waliomueka Sultan. Na wakawa wanafanya nao biashara ya utumwa. Sasa mbinuyao na uchanja wao wamefanya kitendo kile cha mapinduzi makusudi ili wazanzibar wafarikiane na tusipendane ili twende nchi za ulaya na uarabuni tuone bora. Na tuwaone waafrika wenzetu wabaya ili yao yawaendee vizuri. Angalia hakuna Muafrika yeyote aliotoka afrika akaende nchi za ulaya au urabuni kuwatala, au akasema yake.Angalia waarabu wanatoka Omani lakini bado wanasema zanzibar yao.angalia wazungu wanatoka uzunguni lakini wanasema South africa yao. Huo wao ndio waanzilishi wa ungovu na mtu akimpiga mwenziwe haoni mbaya akirudishiwa yeye ndio anaona ubaya. Sasa huyu mzee alikuwa azungumze kwanza waarabu walivyo wafanyia watu wa ngambu na mashamba. Wako wengine kama yeye alikuwa kibaraka basi alikuwa mambo yake powa na waarabu. Kumbuka siku ya kiama utajuwa nani mgovu na aliyeleta fitina hapa duniani.ukweli utaopata mbele kwa Mungu.
@georgebongi4844
@georgebongi4844 3 года назад
Uafrica siokufanya dhulma
@mkude
@mkude 2 года назад
@@zengandoto7088 kwanza umesema uongo Oman wala hasemi Zanzibar yake,na serikali zote mbili sasa hivi zinashirikiana vizuri,halafu soma historia Oman kuja Zanzibar wenyeji was Zanzibar wazee waliwaomba msaada wake wapigane na mreno aliekuwa anafanya uchafu na ufisadi pale Zanzibar warabu walikuja kuwasaidia wanzanzibar kwasababu kiimani walikuwa ndugu zao na waliweza kumpiga mreno.halafu umeongea vyema malipo kwa ALLAH na kama wewe unayaunga mkono mapinduzi yaliowaua maelfu kwa maelfu watu wasiokuwa na hatia basi ALLAH atatoa hukumu yake.
@jimj8285
@jimj8285 2 года назад
Hahaaa zenga ndoto,wee bado masikini WA akili na pia masikini kabisaaa! Bado unatawaza Kwa majani,makaratasi,mchanga,mabunzi ya mahindi,na wakati ingine unapangusa mavi yako kwenye Kona ya ukuta! Ukikojoa ubakojoa wima na mamikojo yako yanakurukia miguuni,mapajani, kwenye mapumbu na mwili mzima! Kafiri mkubwa wewe!
@seifrengwe2542
@seifrengwe2542 5 лет назад
MuongoNaChuki
@allyabeid4188
@allyabeid4188 5 лет назад
Seif Rengwe hujielewi
@yousufharthy6876
@yousufharthy6876 5 лет назад
Seif Rengwe Wewe unayoyajuwa ya kweli tueleze Basi. Siulukuweko
@seifrengwe2542
@seifrengwe2542 5 лет назад
Binaadam huwezi tarajia mema kama unahubiri mabovu Wahenga walisema" kinachokwenda, ndicho kinachorudi" Kwa maana hiyo.., hubiri mazuri upate mazuri. Na kama siyo hivyo basi ni siasa za chuki tu na kuwapotosha vijana Tu
@yousufharthy6876
@yousufharthy6876 5 лет назад
@@seifrengwe2542 Usizungumze usiyoyajuwa. Siajabu hata zanzibar hujapata kufika. Siye tumeyaona na tumeishi nayo na hatutasahau yalowafikia ndugu jirani kwenye mapinduzi na baadae
@yousufharthy6876
@yousufharthy6876 5 лет назад
@@seifrengwe2542 Halafu kuna tofauti ya kuhubiri na kuzungumziya . Kuhubiri ni kitu kitachotokea baadae. Kuzungumziya niyale yaliotokea kabla Ambayo kayazungumzia Amani Thani Mungu Amrehemu.
@jamesmwenda5427
@jamesmwenda5427 4 года назад
wacheni unafiki hao waarabu walikuja kutesa watu pia,poleni kwa yale yaliyowapata ila mgekuwa nyumbani kwenu hajangetokea....kumaanisha mlikuwa wezi na mababe wa kuonyesha nguvu pia.
@mangofish9079
@mangofish9079 4 года назад
Tunaomba utelete shuhuda yoyote babu yake aliedhulumiwa kufungwa kuuliwa n. k kama haya ambayo tunayosimuliwa na mashuhuda wenyewe ktk na baada ya huo uhuru na haki na usawa wa mapinduzi?
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 3 года назад
Wewe hujuwi kitu kwa sababu wewe sio mzanzibar
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 года назад
Mwalimu alikuja kufanya nn kama naye alikuja kutesa waislamu kuwadhulumu mali zao na kuwafunga jela kama afanyavyo karume lao lilikuwa moja..!
@nassorali5511
@nassorali5511 2 года назад
Twambi mwarabu alimtesa babu yako ama bibi yako baba yako au mama yako twambie cio unajisemea tu
@mkude
@mkude 2 года назад
James wewe umessma kwasababu ya chuki yako kwa uarabu na pia chuki yako dhidi ya uislamu.mwarabu hakuna ubaya wowote aliokuwa anaufanya na alitoa serikali wachaguane wenyewe kwa wenyewe Leo hii hayo masomo mpaka wasiokuwa waislamu wanaelezea kama kina tundu lissu na wengine,hakuna ushahidi hats mmoja kama warabu walikuwa wanatesa watu Bali waraabu walikuwa wanakaa kwa uzuri na wema.
Далее
SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI NA SIASA ZA ZANZIBAR
2:26:36
Mashujaa 10 Wasiotajwa: #4 Mufti Hassan bin Ameir
1:22:52
051 OTHMAN MAALIM   KISA CHA NABII ISSA BIN MARIAM 2
1:09:50
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
Просмотров 21 тыс.
Wosia wa SHEKH ILUNGA kwa Watu wa THAQIB -FULL Prt 1
46:53
Ali Muhsin Barwan
1:02:35
Просмотров 18 тыс.
11 Twala Yuko Jela
12:37
Просмотров 25 тыс.