wakati huwo nyerere anacheka karume aliwadhalilisha wazanzibar kwa tamaa zake wache yamkute na sisi kizazi cha leo tutaigomboa nchi yetu hapo ndipo ndipo mutakapo tufahamu
Juliet kwizera Kuna upumbavu gani kwenye masimuliyo yake. Unfortunately, wewe ni mshenzi as I can read from name. Jistaarabishe kwanza kabla ya Kurosawa Kauli. Acha chuki kuwa muadilifu.
Kwa kweli nimilia sana kusikia maneno kutoka Kwa sheikh Thani.Anaeleza vizuri sana.Hawa wasomi wa Zanzibar pamoja Na sheikh Muhsin ndio walikuwa vinara wetu sisi Watu wamrima.Watu wengi wakienda Zanzibar kutafuta Elmu ya Dini Na Dunia. Hamu yangu kubwa NI kumuona Yule Dhalimu Mandera kama yuko hai. Halafu nimtie mikwaju mpaka azimie.
Pole baba angu Inshallah hiyo itakuwa sababu yako ya kuingizwa peponi kutokana na mateso uliyoyapata. Mimi nimesikia lakini naumia sana naona siwezi kuisikiliza mpaka mwisho
Hawa ni Hisbur,hawa waliwasaliti ndgu zao weusi kwa kujiona ni bora sana kuwaunga wageni waarabu kuliko ndgu zao na hawakutaka kabisa kushiriki siasa, na kazi na ndgu zao weusi wakawa wanajipendekeza kwa waarabu na machotara wa kiaarabu na hawakutaka Zanzibar weusi kujitawara wakaona fahari sana kuwa nao na walipewa kazi,uongozi na wakawa wao ndio wa daraja la pili la raia na weusi wazarendo ni daraja tatu na waarabu na wahindi ni daraja la tatu. Hii ndio sababu hasa ya weusi wazarendo kuamua kujikomboa na baada ya mapinduzi kutimia ndio hayo yalio tokea.
Hiyana na dhulma haifai!! Mungu anaona ubaya wao yani kawapiga dharba adhabu toka mapinduzi yao mpk sasa miaka ni shida juu ya shida tupu nchi zao hazinyanyuki!!
Nampaka Leo hii system kutesa kutisha na kuua watu bado inaendelezwa nas serekali iliopo madarakani na kwahayo walioyafanya ndio mana hakikisha kwa njia yoyote hawaachii serekali chama kingine kuhofia kulipiziwa kisasi
Nchi ambazo zimeendelea hawafichi historia yao, na hua wanakiri makosa yao... wanatumia mamilioni ya hela kutunza historia na sehem za makumbusho... Lakini Waafrika mpaka leo wanaficha historia yao.. vizazi vijao vinakuwa mabwege na mpaka leo wanasoma alichoandika mkoloni... na inakua aibu kweli akija mzungu nchini kwetu na anajua mengi kuhusu nchi yetu ata kuliko sie wenyewe... hii inafanya wananchi wabaki kuwa wapumbavu.. hata tukivaa suti na tai aina gani.. tunabaki kuwa wapumbavu tu...
Ila ukweli hatakama unapingwa lakini zanzibar wametutesa sana nampka kesho kutwa bado wanatutesa ila malipo nihapa hapa duniani Ila Mungu amlaani Nyerere huko huko alipo
Alhamdu-Lillah nimefurahi sana kumuona Sheikh Amani mzima wa afya. Mara ya mwisho nilimuona kwake ndio kwanza kunyanyuka ktk maradhi miaka 16-17 iliyopita, nilimuomba kitabu alichoandika miaka hiyo. Sheikh Masha-Allah kanipa vitabu zaidi ya kimoja na kimoja kati ya hivyo alitia sahihi yake. Sikujua tena hali yake mpaka hivi sasa kumuona ktk mtandao na ktk hali nzuri Alhamdu-Lillah mzima wa afya. Allah akupe afya nzuri Sheikh na utuombee Dua na nchi Nchi yetu isalimike na shari ya mahasidi.
Ilopinduliwa ni dola ya Zanzibar, sio waarabu. Huu ni mkamilisho wa kuikata mapande dola ya Zanzibar, ulioanzwa na wajerumani na kumalizwa na waingereza. Nyerere katumiwa na waingereza, na yeye kamtumia Karume, na yeye kawatumia washirazi.
Kusema kweli waarbu wa oman ni watu wawema sana nilishi NA kufanya kazi nao wanakujulia hali waaslaam wenzetu wamekufa kufundisha dini mwarabu sio adui mzungu ni hatari
@@allyderossi9742 history y vitabuni madarasani mpango wa waengereza na Kenya na nyerere kupotosha na kuondoa ukweli wa history ya zanzibar lakini mungu ndio muhukumu n ukweli haufichiki ao wapo wengi walofanyiwa matendo ayo
Ama kweli utwala ule ulikuwa WA kidhalimu na wakishetani KABISA, HATA KARUME HAKUWA BINADAMU WA KAWAIDA ,KWANINI ASIAMURU HAWA WAPELEKWE MAHAKAMANI? KUMBE HAKUKUWA NA MAPINDUZI ILA MAVAMIZI
Haifai kuisherekea mauaji ki dini nafsi ya watu ni haramu kwa mungu kwa hiyo unangia katika mathambi jahanam sio mchezo kuna mahakama huko kiyama mungu atakehukumu
@@sirallymasoud nakusudia baada ya hapo kuhusu twala kutoroka jela na mzee hapo alipo fikia haijamalizia story hapo ( baada ya Askari kumnong'oneza mandera ?
lakini mbona kama hawa wazee walikuwa wanawaona waarabu ni watu wema sana kuliko utawala wa watu weusi coz hakuna hata sehemu moja alipoilaumu waarabu ilhali waarabu wengi waliwauza watu weusi utumwani
Wewe akili yako imechotwa na habari ya uongo na ya chuki dunia nzima habari eti waraabu waliwauza weusi mnazijua nyinyi tu east afrika,nwarabu hakufanya utumwa,utumwa kafanya nzungu angalia watunwa waliopelekwa Brazil na nchi za America ya kusini na America yenyewe mamillioni kwa mamillioni ,Europe yote mpaka England kulikuwa na minada ya wazi ya kuuzwa utumwa, yote hayasemwi .
@@mkude hapan mkuu waarabu wamefanya biashara ya utumwa sana tena watumwa wengi walipelekwa nchi za kiarabu huko kufany kazi za ndani na mashambani na vile vile hata hao wakoloni Muarabu alikuwa anawakusanya watumwa zenji hapo halafu mkoloni anakuja kuwasomba kwaio mkoloni kasaidiwa na muarabu kuwapata watumwa nandomana mzungu alivoondoka alimpa tu serikali Muarabu ilihali weusi ndo walikuwa wengi sababu Ni kuwa Mzungu na muarabu walikuwa marafiki sana we hujiilizi kwanini Tanganyika na kwengine huko machifu walipigwa stop maamuzi tapifanywa na mkoloni tu Ila Zanzibar sultan alikuwa na nguvu ingawa mkoloni ndo anaitawala Zanzibar Yani sultani anamsaidia mkoloni kuitawala Zanzibar Watanzania tumeelimika sana hatuwezi danganywa namna hio
Hakuna mapinduzi ambayo hayapotezi maisha ya watu. Angalia China Mao alifanyaje? Pia Cuba nao walifanyaje? Wapingao mapinduzi ukiwaachiaapinduzi hayendi.
Hiyo yote mliisababisha wenyewe kwa kutokuwa waadilifu na kudharau watu kwahiyo Serekali yenu ya mwezi 1. Ulitakiwa uelezee na ushenzi ulofanyika kabla ya hayo mapinduzi.
Kama yeye hakutaja tunaomba utuletee wewe kwa kumhoji mtu aliekuwepo wakati huo akujuze au aje mtu akupe ushuhuda nani alieuliwa au kuteswa n. K kabla ya mapinduzi niko intrest sana kubadilishana mawazo na wewe juu ya hili
Wazee watu walituambia kuwa mapinduzi watu wengi walizulumiwa na kuuliwa lakini hakuna hata mtu moja alisema kuwa Ali Mukhsini Baruwani alizulumu. Inasikitosha sana hakika ulicho kipanda ndio utachokivuna
Natamani tume ya haki jinai iliundwa na mama ilete mabadiliko makubwa kwani kufungwa si chanzo cha mtu kumpotezea haki ya kibinadamu mtu. na mimi naamini kwa hawa viongozi wetu waliopita na mifumo hii ya kidhalimu katu hawawezi pita hivihivi kwa Allah.NAomba historia kama hizi zihifadhiwe na zifundishwe kwa vizazi vyetu ili udhalimu huu usije rejelewa tena
@@ahmedissa7882 hayo anayo yasema ya kujenga chuki kwasisi sote wazanzibar. Angalia wewe unasema uko london. Wakati waengereza ndio waliowapa watu silaha, na nguvu ya kufanya mabaya. Na kumbuwa wao ndio waliomueka Sultan. Na wakawa wanafanya nao biashara ya utumwa. Sasa mbinuyao na uchanja wao wamefanya kitendo kile cha mapinduzi makusudi ili wazanzibar wafarikiane na tusipendane ili twende nchi za ulaya na uarabuni tuone bora. Na tuwaone waafrika wenzetu wabaya ili yao yawaendee vizuri. Angalia hakuna Muafrika yeyote aliotoka afrika akaende nchi za ulaya au urabuni kuwatala, au akasema yake.Angalia waarabu wanatoka Omani lakini bado wanasema zanzibar yao.angalia wazungu wanatoka uzunguni lakini wanasema South africa yao. Huo wao ndio waanzilishi wa ungovu na mtu akimpiga mwenziwe haoni mbaya akirudishiwa yeye ndio anaona ubaya. Sasa huyu mzee alikuwa azungumze kwanza waarabu walivyo wafanyia watu wa ngambu na mashamba. Wako wengine kama yeye alikuwa kibaraka basi alikuwa mambo yake powa na waarabu. Kumbuka siku ya kiama utajuwa nani mgovu na aliyeleta fitina hapa duniani.ukweli utaopata mbele kwa Mungu.
@@zengandoto7088 kwanza umesema uongo Oman wala hasemi Zanzibar yake,na serikali zote mbili sasa hivi zinashirikiana vizuri,halafu soma historia Oman kuja Zanzibar wenyeji was Zanzibar wazee waliwaomba msaada wake wapigane na mreno aliekuwa anafanya uchafu na ufisadi pale Zanzibar warabu walikuja kuwasaidia wanzanzibar kwasababu kiimani walikuwa ndugu zao na waliweza kumpiga mreno.halafu umeongea vyema malipo kwa ALLAH na kama wewe unayaunga mkono mapinduzi yaliowaua maelfu kwa maelfu watu wasiokuwa na hatia basi ALLAH atatoa hukumu yake.
Hahaaa zenga ndoto,wee bado masikini WA akili na pia masikini kabisaaa! Bado unatawaza Kwa majani,makaratasi,mchanga,mabunzi ya mahindi,na wakati ingine unapangusa mavi yako kwenye Kona ya ukuta! Ukikojoa ubakojoa wima na mamikojo yako yanakurukia miguuni,mapajani, kwenye mapumbu na mwili mzima! Kafiri mkubwa wewe!
Binaadam huwezi tarajia mema kama unahubiri mabovu Wahenga walisema" kinachokwenda, ndicho kinachorudi" Kwa maana hiyo.., hubiri mazuri upate mazuri. Na kama siyo hivyo basi ni siasa za chuki tu na kuwapotosha vijana Tu
@@seifrengwe2542 Usizungumze usiyoyajuwa. Siajabu hata zanzibar hujapata kufika. Siye tumeyaona na tumeishi nayo na hatutasahau yalowafikia ndugu jirani kwenye mapinduzi na baadae
@@seifrengwe2542 Halafu kuna tofauti ya kuhubiri na kuzungumziya . Kuhubiri ni kitu kitachotokea baadae. Kuzungumziya niyale yaliotokea kabla Ambayo kayazungumzia Amani Thani Mungu Amrehemu.
wacheni unafiki hao waarabu walikuja kutesa watu pia,poleni kwa yale yaliyowapata ila mgekuwa nyumbani kwenu hajangetokea....kumaanisha mlikuwa wezi na mababe wa kuonyesha nguvu pia.
Tunaomba utelete shuhuda yoyote babu yake aliedhulumiwa kufungwa kuuliwa n. k kama haya ambayo tunayosimuliwa na mashuhuda wenyewe ktk na baada ya huo uhuru na haki na usawa wa mapinduzi?
James wewe umessma kwasababu ya chuki yako kwa uarabu na pia chuki yako dhidi ya uislamu.mwarabu hakuna ubaya wowote aliokuwa anaufanya na alitoa serikali wachaguane wenyewe kwa wenyewe Leo hii hayo masomo mpaka wasiokuwa waislamu wanaelezea kama kina tundu lissu na wengine,hakuna ushahidi hats mmoja kama warabu walikuwa wanatesa watu Bali waraabu walikuwa wanakaa kwa uzuri na wema.