Mungu nirehem na junisamehe zambizangu zote naomba unisaidie unanijuwa bwana naomba niperohowako mtakatifu anisaidie kuzijuwanyakati zakutoa sadaka kwamaelekezo sahihi na kwamda sahihi rohowako mtakatifu anisaidie Amen dama ya yesu kiristo ikanitakase kilaeneola maishayangu nakunipa ulinzi wako waajabu sana nimeomba .kwaimani nakwakusikia nenolako kwamwalim mwakasege natim yake ya mana wabariki na kuwatunza wafanyike baraka kwa watuwako wote amen
Mungu wangu na Baba yangu unirehemu na unisamehe kwa kufuata mkumbo naomba neema ya kusikia na kutii kwako na Roho Mtakatifu anisaidie sana nisifute mkumbo bali nikufuate Wewe katika jina la Yesu Kristo Amina. Mwalimu Christopher Mwakasege ubarikiwe sana na timu MANA na familia yako kukubali kutumiwa na Mungu kunifundisha kunitia moyo na neno la Mungu na faraja na mifano halisi. Neema daima Mtumishi wa Mungu aliye hai❤❤❤.