Unasauti nzuri na talent kubwa sana shida unaongea sana unwanted things jitahidi uongelee kuhusu movie in deep mbwembwe zikizidi zinaudhi utapoteza wafuasi waaminifu
asante kwa ushauri lakini hicho unachokiita MBWEMBWE ndo kimenifanya niwe rahul na nisiwe DULLA MAREVIEW wala HAMIS MIMUVI.. kama utadhani zinanipotezea wafuasi basi sawa wapotee kwa maana zilizoniongezea ni wengi na watanitosha hao..asante