Sisi kama mashabiki wa WASAFI tunawakatazeni kutuzalilisha kila swali Alikiba , Alikiba, Alikiba inaonekana kama tunamfwatilia maisha yake alaaaaa acheni uboya huoo
Abby skillz kitambo sana mzee baba, Sasa Kama Ali kiba hatakuwa na miaka 17 kwenye game je Abby skillz atakuwa na miaka mingapi au Mr blue sababu lady Jay Dee mwenyewe ana miaka 20 kwenye na wakati jide kaanza game Ali kiba bado atujamjua kwenye industry Mimi binafsi nakataa kusema Ali kiba ana miaka 17 kwenye game.
@@khadijakhadija6212 hapana khadija mtu razima uwe na malafiki na wala sio kila mtu ni mnafik kwako hakuna mtu asie na umoja na watu wenye umoja au wanao fanya kaz moja
Juzi mlikua nae kwenye interview hakuna lamaana mlomhoji zaidi ya hayo maswali yenu ya kijinga ya kuforce beef xai mwamuuliza tena hayoayo kesho pia mkikutana nae mtamuuliza hayoayo huo niupumbavu wasafi mko nao badala ya kumuuliza kuhusu mziki wake yeye ulokutana nae unamforce aongelee mtu mwingine vibaya huo niushoga mapumba nyinyi
Hivi ndivyo unatakiwa kuongelea wasanii wenzio yaani chuki na kubezeana hakufai wasanii watanzania lazima muwe kitu kimoja ili kuitangaza 🇹🇿 yetu ingekuwa wasanii wote mnajibu majibu kama hivi sioni kama zingekuwa zinaonekana tofauti zenu hata kama kuna kitu chini kwa chini basi kingekuwa kinapotezewa
Mashabi wa Dada kiba wanafikiriya kumuongeleya kiba ndo atarudi kwenye Kama zamani ,,yule no choko Ana lolote tena ,,chow zake ni Zanzibar uko na tabora ,,
Kwa upeo wangu hawa jamaa wamechukuliana madem...sasa ugovi wa kuchukuliana madem unakuja mpaka Kwenye sanaa!!! Kila na man water kuna mtu kachukua dem wa mwenzake!! Kama diamond na kiba CHUNGUZA!!!!
Kipindi kile wasanii ombao waliokawa wanaingia studio ni wenye vipaji tu peke yao na maproduce walikuwa wanahaki ya kumfukuza msanii kama ajui kuimba Ila sasaivi weka Pesa tu atakama huna kipaji utajua mwenyewe bhana