Тёмный

Abdukiba: Zuchu mtaamu sana, Napenda anavofanya! Nilitaka kum-hug Diamond akakataa! Part 3 

LilOmmyTV
Подписаться 545 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Tazama full interview ya Abdukiba afunguka kukutana na Zuchu LIVE, Awaongelea Wasafi!
Subscribe, Like, Comment & Share!

Развлечения

Опубликовано:

 

27 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 22   
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 4 месяца назад
Zuchu ana heshima mno,adabu, mtiifu, msikivu,mkarimu, mcheshi, mchapakazi, ana jalii na akili ndio maana watu wengi wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda sana, diamond awe makini sana tena awe mtulivu mno na zuchu wake maana wapo watu wengi wanasubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli, maana huyu sio mtu wa kwanza kumsifia zuchu hadi barnaba classic aliwai kumsifia zuchu balaa hadi ali kiba alishawai kumpa sifa, wanawake kwa wanaume ndani ya wcb, maboss wa diamond, mpaka madairecka na madansa wake anaofanya nao kazi huwa wanamsifia mno zuchu wakidai ni mtu mmoja mwenye roho safi sana pia hana mambo mwengi yupo peace mno hana baya mtoto wa watu
@neemakalugila7674
@neemakalugila7674 4 месяца назад
Well spoken, binti wa watu hana tamaa na ana mapenzi ya dhati
@user-qr5bm9uy1s
@user-qr5bm9uy1s 4 месяца назад
Nikweli kabisa Wana mzarau kwanje ila diamond atulie akiacha tu wanamchukua
@leonidamachuru5960
@leonidamachuru5960 4 месяца назад
Nampenda zuu pia
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 4 месяца назад
Na kweli zuchu ni mdogo lakini ana akili sana. Anajitambua mno. Inawezekana mama yake amemfunda kwa sababu mama yake anajua hizi industry vizuri sana.
@elizabethchabluma-zw5qz
@elizabethchabluma-zw5qz 4 месяца назад
Abdu unaongea vizuri❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-od2mc9ev6d
@user-od2mc9ev6d 4 месяца назад
Una ongeya point kabisa
@saumumasha-in2qw
@saumumasha-in2qw 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂 daimond achunge zuchu ataenda we hivi nionavyon😂😂
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 4 месяца назад
Zuchu ni mkarimu,mcheshi, ana heshima,anajali,ana upendo, mchapakazi mtiifu ndio maana watu wote wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda mno, kweli diamond awe makini sana maana walimwengu wanamsubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli
@Smokeylucas
@Smokeylucas 4 месяца назад
Simba... Zuu ameenda😊
@channyanjen9047
@channyanjen9047 4 месяца назад
Safi sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 4 месяца назад
Simba, cheza tu Zuchu ataenda
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 4 месяца назад
😂😂abiria achunga mzigo wake
@yuzmokmadaraka9321
@yuzmokmadaraka9321 4 месяца назад
Abdul 🥂
@RamadhanpMwakilasa-di5hc
@RamadhanpMwakilasa-di5hc 4 месяца назад
Huku🔥🔥
@HusinaKarama-ti9jm
@HusinaKarama-ti9jm 4 месяца назад
Abdu🔥🔥🔥🔥
@EuniceNkunika-bk7gt
@EuniceNkunika-bk7gt 4 месяца назад
❤❤❤❤
@user-mo6tf8ub4d
@user-mo6tf8ub4d 3 месяца назад
Good
@user-qr5bm9uy1s
@user-qr5bm9uy1s 4 месяца назад
😅😅😅😂😂😂
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 4 месяца назад
Ili Upewi ngoma uogopi🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️
@joseloveog
@joseloveog 4 месяца назад
😂
@user-ol8zb9gd9f
@user-ol8zb9gd9f 2 месяца назад
Kba mondi akiachiyatu basi watuwengi wanategezatu simba amuachetu zuchu wanafikawa namuchukuwa
Далее
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 4,8 млн
Утро в Нью Йорке
0:16
Просмотров 7 млн
#краснодар
0:14
Просмотров 2,2 млн
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
0:27
Просмотров 6 млн