Zuchu ana heshima mno,adabu, mtiifu, msikivu,mkarimu, mcheshi, mchapakazi, ana jalii na akili ndio maana watu wengi wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda sana, diamond awe makini sana tena awe mtulivu mno na zuchu wake maana wapo watu wengi wanasubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli, maana huyu sio mtu wa kwanza kumsifia zuchu hadi barnaba classic aliwai kumsifia zuchu balaa hadi ali kiba alishawai kumpa sifa, wanawake kwa wanaume ndani ya wcb, maboss wa diamond, mpaka madairecka na madansa wake anaofanya nao kazi huwa wanamsifia mno zuchu wakidai ni mtu mmoja mwenye roho safi sana pia hana mambo mwengi yupo peace mno hana baya mtoto wa watu
Zuchu ni mkarimu,mcheshi, ana heshima,anajali,ana upendo, mchapakazi mtiifu ndio maana watu wote wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda mno, kweli diamond awe makini sana maana walimwengu wanamsubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli