Mch. Mgogo unatisha katika madundisho yako, na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie maarifa ili uweze kukimboa familia dunia yote baba. Mimi nakupata kutoka Msumbiji
Akii Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu mahali unapunguza mungu akazidi kukuongezea zaidi na zaidi hakika ninabarikiwa sana na mafundisho yako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌❤❤❤❤❤❤
Mimi selemani muisilamu ila uwaga nawasikiliza wachungaji wote nimegundua wengi mataoeli mchungaji wakweli niwewe pasta mgogo na mchungaji ananja nyinyi ndio wachungaji wakweli nawakubali sana mimi