Тёмный
No video :(

Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 152 тыс.
50% 1

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.

Опубликовано:

 

25 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 282   
@abdallahally842
@abdallahally842 Месяц назад
Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Месяц назад
Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍
@nesto_automobiles6537
@nesto_automobiles6537 Месяц назад
Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme
@NteziryayoAime
@NteziryayoAime Месяц назад
Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu
@abdallahally842
@abdallahally842 Месяц назад
General magori ubaya ubwela genius
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu Месяц назад
Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo
@user-gn4cp2vq2y
@user-gn4cp2vq2y Месяц назад
Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-bh7cc4dt3b
@user-bh7cc4dt3b Месяц назад
Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina
@Lusindehalima-si3ej
@Lusindehalima-si3ej Месяц назад
Wapi onana jamani mtuweke wazi tunaumia mashabiki wake
@DullhFeyy
@DullhFeyy Месяц назад
Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.
@user-ze2nk8cw5s
@user-ze2nk8cw5s Месяц назад
Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze
@IsackVedasta
@IsackVedasta Месяц назад
Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.
@Hemedyamir
@Hemedyamir Месяц назад
Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"
@user-lo9fn9hf7q
@user-lo9fn9hf7q Месяц назад
I
@user-rl1vr1fd1r
@user-rl1vr1fd1r Месяц назад
Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae
@DicksonPeter-ym5od
@DicksonPeter-ym5od Месяц назад
Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar
@mohamedjuma1960
@mohamedjuma1960 Месяц назад
Am proud Simba fan
@JoshuaLeonard-lo3cs
@JoshuaLeonard-lo3cs Месяц назад
Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu
@salumumabomba9611
@salumumabomba9611 Месяц назад
Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 Месяц назад
Interview imekamilika sana
@SwaumuShabani-qm4xo
@SwaumuShabani-qm4xo Месяц назад
Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela
@Dayotz
@Dayotz Месяц назад
Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Месяц назад
Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Месяц назад
SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 Месяц назад
Magori yupo vizuri, hana papara, katulia
@gabrielrobert8677
@gabrielrobert8677 Месяц назад
Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori
@raphaelernest8253
@raphaelernest8253 Месяц назад
Nakubali ubaya ubwela
@yusufmruma2870
@yusufmruma2870 Месяц назад
Magori is intelligent, big up
@teilencedevard9431
@teilencedevard9431 Месяц назад
Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji
@HajiKanyumbu-xn6vh
@HajiKanyumbu-xn6vh Месяц назад
Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Месяц назад
Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point
@Busagotz
@Busagotz Месяц назад
Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi
@issahamis581
@issahamis581 Месяц назад
hawezi yure bwakubwaku
@user-ms8rl1nr9o
@user-ms8rl1nr9o Месяц назад
Hongereni sana viingozi wetu
@djchid2417
@djchid2417 Месяц назад
Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le Месяц назад
Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu
@KibibiMwalimu-pg8fg
@KibibiMwalimu-pg8fg Месяц назад
Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад
Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi
@mohamednipala7000
@mohamednipala7000 Месяц назад
Simba.....!!!!! Nguvu moja
@shekhebakari1998
@shekhebakari1998 Месяц назад
Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali
@MwanahamisHussein-dp2if
@MwanahamisHussein-dp2if Месяц назад
Nanunua
@Miche7_
@Miche7_ Месяц назад
Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂
@FreemasonPesaZaMajini
@FreemasonPesaZaMajini Месяц назад
Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati
@mariammbapira645
@mariammbapira645 Месяц назад
Simba bando ipo vodavom
@user-gz2or2ui9n
@user-gz2or2ui9n Месяц назад
Kongole sana semaji la caf
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s Месяц назад
simbaa nguvu moja 😊😮
@renatusmwanakatwe-gl9xb
@renatusmwanakatwe-gl9xb Месяц назад
Asante azam
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw Месяц назад
Mtangazaji ni shabiki wa simba ameshindwa kujizuia
@timothymbughuni1356
@timothymbughuni1356 Месяц назад
Humjui vizuri Mahmood wewe, ni utopolo mzuri tu but very professional!
@user-ts8bf4ef3u
@user-ts8bf4ef3u Месяц назад
wewe ni wa juzi juz bin zubery ni mwanachama wa yanga siyo shabiki tu ni mwanachama wa yanga
@Lusindehalima-si3ej
@Lusindehalima-si3ej Месяц назад
Jamani mbona kibu hatumuoni kulikoni?????
@mnyusihiza9161
@mnyusihiza9161 Месяц назад
Roho mbaya haijifichi unaumia ukiwa wapi 😂😂😂😂😂
@timotheothadeomgassa4929
@timotheothadeomgassa4929 Месяц назад
Ulitaka awe chura?
@georgesamweli4062
@georgesamweli4062 Месяц назад
Semaji 🎉🎉🎉
@mwasunga
@mwasunga Месяц назад
Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??
@juniorjoshua2452
@juniorjoshua2452 Месяц назад
Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja
@DeborahSaitoti-oy7fm
@DeborahSaitoti-oy7fm Месяц назад
Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂
@allymtunge5530
@allymtunge5530 Месяц назад
Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana
@samahakihange6421
@samahakihange6421 Месяц назад
Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf
@epefrapetro1398
@epefrapetro1398 Месяц назад
Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia
@AlexMgeta
@AlexMgeta Месяц назад
Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja
@user-kn7bo6iz4n
@user-kn7bo6iz4n Месяц назад
Nguvu mojaa❤❤❤❤
@peterwilliam5411
@peterwilliam5411 Месяц назад
Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉
@IssaKisaka-wo3mq
@IssaKisaka-wo3mq Месяц назад
Simba nguvu moja
@sijaonamjungufinias481
@sijaonamjungufinias481 Месяц назад
Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani
@johnmgalatia5375
@johnmgalatia5375 Месяц назад
Naomba namba ya msemaji Ahamedy
@omariwaziri5031
@omariwaziri5031 Месяц назад
Kadi za mashabiki tuna zipataje
@AbkHashim-o3j
@AbkHashim-o3j Месяц назад
Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili
@dixhangdecious7528
@dixhangdecious7528 Месяц назад
Una hoja kabsaa familia ✊
@malickomary5687
@malickomary5687 Месяц назад
Sema huyu mzee magoli safi sana yani...
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 Месяц назад
Trending 1 simba nguvu moja
@KanizioBugota
@KanizioBugota Месяц назад
Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@hamismwangwale563
@hamismwangwale563 Месяц назад
Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AbednegoMurosi
@AbednegoMurosi Месяц назад
Mwenda hatumuonii kambini
@ashrafameir4064
@ashrafameir4064 Месяц назад
Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench
@BigZhumbe
@BigZhumbe Месяц назад
Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉
@jumamnemo8383
@jumamnemo8383 Месяц назад
Hiyo safi Simba bando
@AudaxLwekamwa-kt6eg
@AudaxLwekamwa-kt6eg Месяц назад
Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅
@johnmgalatia5375
@johnmgalatia5375 Месяц назад
Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?
@KibibiMwalimu-pg8fg
@KibibiMwalimu-pg8fg Месяц назад
Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷
@JasmineMahdi-w9f
@JasmineMahdi-w9f Месяц назад
Mtafut Ahamedi aliy
@MuftyHussein-kf7tm
@MuftyHussein-kf7tm Месяц назад
Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉
@ELIASJACOB-by4qs
@ELIASJACOB-by4qs Месяц назад
Nguvu moja 💪💪
@user-mq2wy4tp5q
@user-mq2wy4tp5q Месяц назад
😂😂😂 ubaya ubwelaa asee ni noma san
@afaijuma8474
@afaijuma8474 Месяц назад
Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Месяц назад
Sasa magor karudi nafraha sasa🎉
@songarashidy1995
@songarashidy1995 Месяц назад
yoooo if you like SIMBA like my comment down
@JosephMwita-m7t
@JosephMwita-m7t Месяц назад
Nakupongeza sana sana kwa kufanya usajili mkubwa sana Bado mmoja tu ellia mpanzu
@RomwadMhagama
@RomwadMhagama Месяц назад
Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno
@westonyjob1747
@westonyjob1747 Месяц назад
Semaji la cuf umetisha
@jacksonmatitu3918
@jacksonmatitu3918 Месяц назад
interview ya kwanza no 1 trending
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Месяц назад
Semaji la cuf😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela
@brycesonkaaya9764
@brycesonkaaya9764 Месяц назад
Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?
@Ezramali595
@Ezramali595 Месяц назад
UBAYA UBWELA MPOAPOOOO
@RashidiKilumbi
@RashidiKilumbi Месяц назад
Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.
@robsonwilliam8301
@robsonwilliam8301 Месяц назад
Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.
@officialisaiah3979
@officialisaiah3979 Месяц назад
UBAYA UBWELA
@ROJAOMARY-ys7xb
@ROJAOMARY-ys7xb Месяц назад
Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii
@tuntumzazi
@tuntumzazi Месяц назад
Huwa nakuelewa mzee
@MartineRichard-me2ip
@MartineRichard-me2ip Месяц назад
Simba Nguvu moja
@user-cg8vh4fn7z
@user-cg8vh4fn7z Месяц назад
Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo
@IsackVedasta
@IsackVedasta Месяц назад
UBAYA UBWELA 🔥🦁🇹🇿
@likubaro7443
@likubaro7443 Месяц назад
Nijambo jema Sana hilo,ushauri kuweke utaratibu wa taarifa za makusanyo ya kila mwezi wapenzi wangapi wa simba wamejiunga na kiasi gani kimechangiwa hii italeta moral yakujiunga wengine.tunataka kujenga uwanja tunashindwa vp na KMC?.wingi uwe ni sababu kuleta maendeleo.
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
Ubaya ubwela
@user-bb8de4bl5n
@user-bb8de4bl5n Месяц назад
Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Месяц назад
Simba nguvu moja💪
@hamadbakar7091
@hamadbakar7091 Месяц назад
Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Месяц назад
Ahmed hata uwe shabiki wa yanga na azam lzm umsikilize tu 😂 ila hao wengine kina kamwe wanasikilizw ma mashabk wao tu
@iddiyusufu4408
@iddiyusufu4408 Месяц назад
Kaka umeongea maana kamwe ni shabiki siyo msemaji
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Месяц назад
@@iddiyusufu4408 msemaji mi mmoja tu 😆
@elinathanbanka5485
@elinathanbanka5485 Месяц назад
Tukimshindwa Elia mpanzu bac yanga bingwa tena na jezi ya msimu huu ctanunua kabxa
@ivankakooza1765
@ivankakooza1765 Месяц назад
Utopolo ni Utopolo tu
@jr45_unique10
@jr45_unique10 Месяц назад
Huo niushamba kama ushamba mwingine usajili niswala lamakubariano na lenyefaida pande zote mbili kaka
@VeronicaAdam-lx8yd
@VeronicaAdam-lx8yd Месяц назад
😂😂😂😂Wew ninan usip nunua
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc Месяц назад
Usiponunua sisi tutanunua
@mariammbapira645
@mariammbapira645 Месяц назад
Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu
@GervasKasagula-m7m
@GervasKasagula-m7m Месяц назад
Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu
@khalidsharji2462
@khalidsharji2462 Месяц назад
Simba nguvu Moja tuchangiye
Далее
LIVE ON KDR 100.3FM
1:05:59
Просмотров 77
MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 26/08/2024
53:22
Просмотров 1,7 тыс.
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
20 BEST AGT 2024 Auditions! 😱 So FAR❗️
1:49:33
Просмотров 10 млн