Sasa wanachama na mashabiki wa chadema ,Tundu Lisu akipanda jukwaani mshangilieni kwa kumwita simba simba simba ilipwe tishio zaidi katika majukwaa ya kisiasa
Hayo unasema wewe ila rais hakumaanisha kumshusha kwasababu tumezoea siku zote mtu jasiri huitwa simba, na wapo watu ndio majina yao ya kuzaliwa haswaa
Hamuoni kwamba huyu simba anateseka sana kufungiwa kizimba kidogo huku wanadamu wakimpigia kelele? Kwa hiyo Lisu ksanyimwa uhuru kiasi hicho? Dawa ya mtu asiyetulia ni kizuizi? Fasihi hiyo😂😅
Mamma Samia ametoajina nzuri sana kwa Mh Tundulisu kweli Mh Tundulisu ni Simba simba la nguvu mamma hujakosea ,mh Tundulisu pokea jina la Simba wewe ni Simba kweli kweli
Miaka mitano Tena Tanganyika itakuwa hoi bini taabani, CCM wasipokuwa makini huyu Mama ataigalagaza Tanganyika, inabidi Raisi atoke Tanganyika kama CCM itataka Tanganyika ipate maendeleo.
Enzi za awamu ya kwanza, rais mwalimu Nyerere, mhe na baba yetu Kawawa aliitwa Simba wa Yuda. Sasa sina uhakika kama rais Samia alimuita Lissu hilo jina akiwa na hisia za kizalendo za watangulizi wetu au lilimporochoka tu kutokana na kuchoka mchakamchaka hakuna kulala kila muda anakosolewa na akina Lissu na wana harakati wengine!
Zanzibar inameza Budget ya Tanzania bara, ndo maana miradi mingi na malipo kwa wakandarasi sector mbalimbali yamekwama kabisa pesa zote zinaenda Zanzibar na nyingine kwenye account za mawaziri na wakurugenzi kwenye taasisi kubwa.
Acha chuki wewe, ukifuatilia mambo ya muungano utaona Zanzibar inadhulumiwa sana. Hata kipindi cha Ndungai alipokuwa spika aliwahi kusema maneno haya: we are bullying Zanzibar.
Kwann kauli kama izo mbona rais anambo yakijinga sana uyu nchi imearibika watu wanabakwa kutekwa kuuwawa lakin rais unaongea ujinga tu bwege sana ww unaejiita rais
Watu Msijofanye Amjui Tundu Lisu Kila Siku Kwenye Mikutano Anamuita Raisi Mama Amduli Inamana Tundu Lisu Na Samia Kama Simba Na Yanga2 Kasolo Mmoja Ni Raisi