Тёмный

LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE NA RAIS SAMIA 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 58 тыс.
0% 0

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@msabahaali758
@msabahaali758 18 дней назад
Ni kweli Lissu ni machachari ni mtetezi wa Wanyonge na msema kweli hajapinda pinda na mtu anaependa haki Mahakaman na nje ya Mahakama
@mangashajunior242
@mangashajunior242 18 дней назад
Ni kweli huyo ni simba,big up mama umesema kweli...
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 18 дней назад
King of the Jungle 🎉🎉🎉🎉
@JosephMabibi
@JosephMabibi 18 дней назад
Ongera saaana mweshimiwa Tundu Lissu. Hatukutegemea kama utajibu vizuri hivyoo ubarikiwe saaana
@Chemba67
@Chemba67 17 дней назад
Lissu na Samia wanajuana...wewe ulidhani Samia kazungumza vile kiholela....
@user-um5xx5ct7q
@user-um5xx5ct7q 18 дней назад
Sasa wanachama na mashabiki wa chadema ,Tundu Lisu akipanda jukwaani mshangilieni kwa kumwita simba simba simba ilipwe tishio zaidi katika majukwaa ya kisiasa
@frankjohn8706
@frankjohn8706 4 дня назад
Kwani Zanzibar Kuna Simba ? Ni wa baharini au mbugani,je nao ni wawindaji kama WA kwetu au wanapekejewa msosi
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 17 дней назад
🎉🎉🎉🎉🎉hakika tundulisu ni simba
@jescageorge-fv8yt
@jescageorge-fv8yt 17 дней назад
Lisu Zaid ya Simba ❤❤❤
@EliamanNnko
@EliamanNnko 2 дня назад
Lisu jina zuri sana Na si simba tu Bali wewe ni simba yuda Hongera sana mweshiniwa
@boscoafikile4737
@boscoafikile4737 18 дней назад
Hongera Tundulisu simba wa Tanzania
@FurahaNelson-z6c
@FurahaNelson-z6c 18 дней назад
Alijua kuwa anamchafua ansmpandicha juu
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 17 дней назад
Hayo unasema wewe ila rais hakumaanisha kumshusha kwasababu tumezoea siku zote mtu jasiri huitwa simba, na wapo watu ndio majina yao ya kuzaliwa haswaa
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 18 дней назад
Hamuoni kwamba huyu simba anateseka sana kufungiwa kizimba kidogo huku wanadamu wakimpigia kelele? Kwa hiyo Lisu ksanyimwa uhuru kiasi hicho? Dawa ya mtu asiyetulia ni kizuizi? Fasihi hiyo😂😅
@feruzmato4422
@feruzmato4422 17 дней назад
Tundulisu ni jasiri kama simba sasa kwenye uchaguzi je mama atawezana na simba?
@user-wv9wc6yr1u
@user-wv9wc6yr1u 17 дней назад
Hapo sasa😂😂
@user-bn4br7qm7r
@user-bn4br7qm7r 17 дней назад
Lissu ni simba kweli,mama anajua fika kukiwa na uchaguzi huru na wa haki ,kwa lissu mama hatoboi
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 14 дней назад
Ni kweli, wewe unajua kuyapima mambo, Tundu Lisu Yuko juu Sana 2025 ni wa Tundu Lisu.Wanaoishi kwa kukariri hawaamini ila ukweli ni hui.
@adammjomba5814
@adammjomba5814 17 дней назад
Mamma Samia ametoajina nzuri sana kwa Mh Tundulisu kweli Mh Tundulisu ni Simba simba la nguvu mamma hujakosea ,mh Tundulisu pokea jina la Simba wewe ni Simba kweli kweli
@georgesolos344
@georgesolos344 18 дней назад
Miaka mitano Tena Tanganyika itakuwa hoi bini taabani, CCM wasipokuwa makini huyu Mama ataigalagaza Tanganyika, inabidi Raisi atoke Tanganyika kama CCM itataka Tanganyika ipate maendeleo.
@KhamisAli-r1w
@KhamisAli-r1w 18 дней назад
Mshamba wee!!! Unaonekena elimu yako ni ya darasa la saba, unajua maana ya muungano wewe!!??.
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 18 дней назад
Udinibaya sana ndionunaewatesa baadhi yenu sio wote
@loserian-mj1gj
@loserian-mj1gj 18 дней назад
Cku hiz LA 7 ni werefu huyu adui
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 18 дней назад
​@@KhamisAli-r1wSiyo mshamba ni mtazamo wake kwani darasa la saba hana uwezo wa kuonyesha mtazamo wake na Mimi nawaza Kama yeye hakuna shida
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq 18 дней назад
Tatizo si elim mana lasaba tupo wengi tatizo lake ni ubaguzi na ujinga​@@KhamisAli-r1w
@surusuru1994
@surusuru1994 18 дней назад
😂😂😂😂😂👏👏👏🔥
@ChristopherLwiva
@ChristopherLwiva 23 часа назад
Mama acha maneno makali na kejil
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v 17 дней назад
Hongeraaa lissu😂
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 8 дней назад
Simba wa yuda
@RosemarykAnthon
@RosemarykAnthon 7 дней назад
Lissu nisimba kweli
@salamwajeka-yo6su
@salamwajeka-yo6su 16 дней назад
Nampenda mama wa wote Mungu ambariki sana
@ELIAMBISE-ck7fr
@ELIAMBISE-ck7fr 13 дней назад
Huna akili
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 17 дней назад
Enzi za awamu ya kwanza, rais mwalimu Nyerere, mhe na baba yetu Kawawa aliitwa Simba wa Yuda. Sasa sina uhakika kama rais Samia alimuita Lissu hilo jina akiwa na hisia za kizalendo za watangulizi wetu au lilimporochoka tu kutokana na kuchoka mchakamchaka hakuna kulala kila muda anakosolewa na akina Lissu na wana harakati wengine!
@rejobu9723
@rejobu9723 18 дней назад
Mama anapenda kusifiwa huyu 😂😂😂
@twalibulomy-cd4zd
@twalibulomy-cd4zd 18 дней назад
na ww msifie mama yako ata Kama ni Mama nitilie. Wivu hata kwa wanawake. Uwe unazaa bc
@BarakaSagamba
@BarakaSagamba 17 дней назад
Hacha wivu mlaamu mama yako kwa nn alikimbia shule
@wiliamkatala6688
@wiliamkatala6688 17 дней назад
​@@BarakaSagambaumejuaje Alikimbia shule.
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 4 дня назад
​@@wiliamkatala6688labda kwa sababu sio rais.
@baalawibaalawi5702
@baalawibaalawi5702 11 дней назад
😂❤
@LukasNgunda
@LukasNgunda 18 дней назад
Wengine angalieni kauli zenu hizo kama huwezi kuchangia hoja muache
@user-wl8ns6hh8l
@user-wl8ns6hh8l 13 дней назад
Ukimpiga chura teke unamuongezea mwendo lisu jina la simba linamtosha kabisa mfalme wa wa wanyama wote
@user-sy3mj5gh5g
@user-sy3mj5gh5g 18 дней назад
Wewe unae sema ataliwa nani angalia kauli zako hujui hoja za kisiasa na ubora wa Simba ,,Dogo tunza kauli waaache wenye kujua lugha
@georgesolos344
@georgesolos344 18 дней назад
Zanzibar inameza Budget ya Tanzania bara, ndo maana miradi mingi na malipo kwa wakandarasi sector mbalimbali yamekwama kabisa pesa zote zinaenda Zanzibar na nyingine kwenye account za mawaziri na wakurugenzi kwenye taasisi kubwa.
@KhamisAli-r1w
@KhamisAli-r1w 18 дней назад
Wewe ni waziri was fedha au wa tamisemi!!!???..
@AGM19697
@AGM19697 17 дней назад
​@@KhamisAli-r1w Vp? Mshono umeguswa?
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 17 дней назад
Acha chuki wewe, ukifuatilia mambo ya muungano utaona Zanzibar inadhulumiwa sana. Hata kipindi cha Ndungai alipokuwa spika aliwahi kusema maneno haya: we are bullying Zanzibar.
@wiliamkatala6688
@wiliamkatala6688 17 дней назад
​@@mohdkhatib223mnadhulumiwa nn,tueleze
@KondaMijingo
@KondaMijingo 17 дней назад
Mama tupunguzwa namajangili
@user-sy3mj5gh5g
@user-sy3mj5gh5g 18 дней назад
Hongera CCM
@user-wu7sy6dp2o
@user-wu7sy6dp2o 18 дней назад
Kwann kauli kama izo mbona rais anambo yakijinga sana uyu nchi imearibika watu wanabakwa kutekwa kuuwawa lakin rais unaongea ujinga tu bwege sana ww unaejiita rais
@user-nv9to8cq6d
@user-nv9to8cq6d 18 дней назад
Ole wako
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 18 дней назад
Mdomo umeisha KUPONZA
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 17 дней назад
Duniani tunapita kufakupo
@AbuuYasri
@AbuuYasri 16 дней назад
Hayo matusi unafikiri yanaishia chumbani kwako eti?naona wataka kuongeza idadi ya waliopotea,jichunge na hicho kisimu chako
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 18 дней назад
Lisu mwehu ni utaila
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 17 дней назад
Mbona wewe mama ako taila kakuzaa chinzi hopeless af hatukujaj
@babaBig-m7w
@babaBig-m7w День назад
66
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 18 дней назад
Anajipendekeza kwa lissu ataliwa
@samiuabubakary5434
@samiuabubakary5434 18 дней назад
Mhh
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 18 дней назад
Rais aliongea kama matani tu
@georgesolos344
@georgesolos344 18 дней назад
Kila Raisi akiingia madarakani anatengeneza himaya ya ikulu nyumbani kwake siyo sawa kabisa.
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 18 дней назад
Sasa uliitaka atengeneze kwenu? Chagua ndg yako awe raisi ili ajenge kwenu muache kujibanza kwa ndg zenu
@AGM19697
@AGM19697 17 дней назад
​@@MohammedAwadh-gq9siDuuuh, kipindi hiki mnanyooodo za kutosha 😂. Watoto wa mwisho
@PhildorinPhocus
@PhildorinPhocus 18 дней назад
Ujumbe umefika
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 2 дня назад
Wee MAPENZI pumbavu SANA samia amshinde ,Lisu mavi yako na wajinga wenzi0
@athumanidilunga7770
@athumanidilunga7770 15 дней назад
Tumwite yanga yanga yanga
@PauloMassawe-py6eb
@PauloMassawe-py6eb 17 дней назад
Siasanimchezomchafusana
@user-hu3bz3lv7s
@user-hu3bz3lv7s 17 дней назад
Mhomi !
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 18 дней назад
Watu Msijofanye Amjui Tundu Lisu Kila Siku Kwenye Mikutano Anamuita Raisi Mama Amduli Inamana Tundu Lisu Na Samia Kama Simba Na Yanga2 Kasolo Mmoja Ni Raisi
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 18 дней назад
Mh. Dr Samia Suluhu Hassan, ni Mwanasiasa makini. Lissu kwishnehi
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 17 дней назад
Lisu kipenzi cha wanainchi
@PauloMassawe-py6eb
@PauloMassawe-py6eb 17 дней назад
Katikakilaporimnyamasimbaanaogopekawewendiokinaraunayosumbuaccmwanakupakamafutaurudiccm
Далее
To mahh too🫰🍅 #abirzkitchen #tomato
01:00
Просмотров 6 млн
А на каком языке ты ДУМАЕШЬ?
00:57