Тёмный
No video :(

AHMED ALLY"DEBORA NI BORA KULIKO CHAMA?/ANAKUJA KUTOA SOMO KWA VIUNGO WA MPIRA/KOCHA AMEPAGAWA MISRI 

Mpenja TV
Подписаться 532 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

EXCLUSIVE INTERVIEW NA SEMAJI LA SIMBA, MASHINE YA KUONGEA @ahmedally_ itakujia Saa 2:30 usiku huu kupitia Chaneli ya RU-vid ya @mpenjatv_
Mwamba ametapika🤣🤣🤣, Semaji ameshusha Madini kuhusu @simbasctanzania 🔥
Kuna stori nyingi sana katika Mahojiano haya ambayo yameongozwa na New Boy ndani ya Mpenja TV @tom_machupajr
Subscribe mapema kabisa🔥🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 70   
@meryceanaadrian3593
@meryceanaadrian3593 Месяц назад
Huyu ndo semaji sasa ❤❤❤
@meryceanaadrian3593
@meryceanaadrian3593 Месяц назад
Na maua yako nakupa💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
@daseselele5198
@daseselele5198 Месяц назад
Sawasawa semaji la CAF 👍Simba SC nguvu Moja 💪
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 Месяц назад
Jamani jeni yuko wapi?? Semaji ukihojiwa na jeni mnanoga sana jeni fanya huo mpangi unihojie semaji nicheke kidogo
@alitante4279
@alitante4279 Месяц назад
Semaji noma hasubr umhoji anajihoji mwenyew na kujielezea vzr tuu 😂😂🎉🦁
@BADAWY575
@BADAWY575 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwana umenifurahisha sana nikweli kama anatunga kitabu au muhubiri flani
@soniimedia2440
@soniimedia2440 Месяц назад
Maisha yangu ya mpira yanaongozwa na semaji la caf. Like za mo ni hapa.
@Elly-z3q
@Elly-z3q Месяц назад
Nakubali broo unatupa hamasa sana ukweli ww ndio namba 9 simba
@JosephMapunda-q9r
@JosephMapunda-q9r Месяц назад
Simba nisimba tuuu kaka
@user-hg6zv6ii9s
@user-hg6zv6ii9s Месяц назад
Hatali sana ongera sana Ally🎉🎉🎉
@Hamisi-uw1mc
@Hamisi-uw1mc Месяц назад
😂😂😂sema ahmed ally anajua sana kutamba
@mwemajulius5036
@mwemajulius5036 Месяц назад
Joshua anakwenda babaaaa😅
@user-cu8mm8fw6u
@user-cu8mm8fw6u Месяц назад
Semeji kama semeji hongera
@user-cu8mm8fw6u
@user-cu8mm8fw6u Месяц назад
Hongera mzee wetu
@RonjoSalum
@RonjoSalum Месяц назад
😂😂😂 semaji hatar moto sana
@abdurahiimjuma3661
@abdurahiimjuma3661 Месяц назад
Hatari sn
@AnjelaPhilipo
@AnjelaPhilipo Месяц назад
Nakukubali kaka barikiwe
@OmaryhamisndugwaOmmymchina
@OmaryhamisndugwaOmmymchina Месяц назад
😂😂😂😂😂Ahmed ally wa moto
@user-vp6tq4yg5j
@user-vp6tq4yg5j Месяц назад
Ahmed Ally chukua maua yako,🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
@tadeymwalongo1528
@tadeymwalongo1528 Месяц назад
😂😂😂😂 mwamba kabisa
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Месяц назад
Tatizo Mwamba anatuaminishaga mnooo yaani!! Mwishow magumashi! Tusubiri ligi ianze
@FatherKunutti
@FatherKunutti Месяц назад
😂😂😂 Ahmed huendi Pepo!😂😂😂
@Athuman-e3g
@Athuman-e3g Месяц назад
Happy. Sawa
@wizardmobile5493
@wizardmobile5493 Месяц назад
Yani huyu ni semaji la caf simba msimu huu tutakiwasha moto Simba on fire👹 msimu huu atanguruma sana
@bensonokwaro9225
@bensonokwaro9225 Месяц назад
semaji la CAF nikilickilza2 mpaka nasahau magumu 2nayoptia wanacmba ni burudani jamaj💪
@gladnessfinda7534
@gladnessfinda7534 Месяц назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Raha sana kumsikiliza huyu jamaa. Ila tu kama unaipenda Simba. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jaffaralimakame1533
@jaffaralimakame1533 Месяц назад
AHMEDI NJOO UPATE KIWANJA BURE UKONGORONI
@Amon-gj8tx
@Amon-gj8tx Месяц назад
Sema interview za ahmed😂😂 ni moto
@uniquehandxome6238
@uniquehandxome6238 Месяц назад
Oya msela oya😂
@stevensingela5851
@stevensingela5851 Месяц назад
😂😂😂😂duhh😂😂😂
@nassorahmad6266
@nassorahmad6266 Месяц назад
Semaji 😅😅😅 dah hahaha we jamaa achaa basi. Katika kumi moja tu😂😂😂 tunaaminiii. Haya ss tunafurahii semaji kama semaji
@oscanyakunga
@oscanyakunga Месяц назад
😂😂😂oya msela oyaaa
@bhuzahope2746
@bhuzahope2746 Месяц назад
Nani kasikia oya msela oya
@iddiramadhan
@iddiramadhan Месяц назад
😂😂😂😂😂 this is 🦁
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 Месяц назад
🤣🤣🤣🤣kwaiyo semaji hapo mlituchapa ili tununue habari
@UpendoKamala-yr6in
@UpendoKamala-yr6in Месяц назад
Mm hoi tyu kicheko cha semaj la caf ......
@FelixMwinami
@FelixMwinami Месяц назад
Ahmed mwehu sana aise 😜😜😜 ila msimu huu uto tutampasua tu
@user-vp6tq4yg5j
@user-vp6tq4yg5j Месяц назад
Kwa maelezo ya semaji la Caf ligi ishakwisha na makombe yote ndani ya Simba Sport Club 😂😂
@jacobsadock3530
@jacobsadock3530 Месяц назад
Mashine yakuongea,semaji la Caf Nikweli ufaransa jina Hilo ni Debra japo linaandikwa Deborah
@LoveBadro
@LoveBadro Месяц назад
unatupa rah semaji
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g Месяц назад
❤❤❤❤❤❤
@Wallacenyusi3326
@Wallacenyusi3326 Месяц назад
Nasikia walikula 6 sasa huu msemaji haoni ata aibu ?
@severinlouis
@severinlouis Месяц назад
HUYU jamaa😅😂😂
@DamianSoul-nh5hu
@DamianSoul-nh5hu Месяц назад
Semaji la CAF umetisha xana
@Geofrey-ox2rv
@Geofrey-ox2rv Месяц назад
😂 semaji huendi mbinguni
@johnmwalule3007
@johnmwalule3007 Месяц назад
Hili semaji ni balaa aise
@BADAWY575
@BADAWY575 Месяц назад
Wana mihemko wachezaji wenu .kumambegeres tutwapiga kama ngoma pakabwachezaji watapigana nawambia mapema tu chemalone atapiga mtu namuona atakua captain
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Месяц назад
Semaji wana Simba bado tunawadai Mpanzu ama Jonathan
@user-no7uo4ry7q
@user-no7uo4ry7q Месяц назад
Mazezeta unayaaminisha kuwa mna wachezaj alaf kila msimu wanaishia kutalii tu wanarud kwao
@TwalibTwaha
@TwalibTwaha Месяц назад
Sema msemaji wetu muongo
@SalimRamsei-ok9el
@SalimRamsei-ok9el Месяц назад
Tunasubiri tuonee
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g Месяц назад
Semaji
@jaafarmanhekman
@jaafarmanhekman Месяц назад
😂😂😂😂
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 Месяц назад
Huyu anashabikia badala ya kuongea uhalisia
@godfreyluther2087
@godfreyluther2087 Месяц назад
Hapo huyo anae hoji hajui ataahoji nini
@user-no7uo4ry7q
@user-no7uo4ry7q Месяц назад
Ww kaungane na kina ndaro kwenye uchekeshaji ila mpira huna timu broo
@PaulKijame-cm8op
@PaulKijame-cm8op Месяц назад
Semaji hilo linamikwara hatari
@paultungu1775
@paultungu1775 Месяц назад
Majina magumu
@erickbarthazar9316
@erickbarthazar9316 Месяц назад
Semaji 😂 letu wewe mafaniko yako yapo kwenye komediani 😅
@taucdulle7460
@taucdulle7460 Месяц назад
🤣🤣🤣🤣
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile Месяц назад
Semaji la caf na kazi Yako unanijua Mimi atawangeondoka watu wote ukibaki wewe ni furaha kwetuuu
@yayananajota5838
@yayananajota5838 Месяц назад
😂😂😂😂🇫🇯
@NeymantBoy
@NeymantBoy Месяц назад
Du weee acha zako hizo pesa za usajil bora mkawap watoto yatima
@RichardJanuary-gx6df
@RichardJanuary-gx6df Месяц назад
acha uhongo
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 Месяц назад
😅😅😅😅
@benclever
@benclever Месяц назад
Jane ndo anajua....huyu mwingine bado hajaizoea kazi
@noelthomas1227
@noelthomas1227 Месяц назад
Wewe ally vipi acha uongo wenzio wako misri wewe uko mbagala kibonde maji wee vipi unatwambia uongo hapa toka hapa kawaongopee wajinga wenzio pumbafu wewe zuzu wewe
@advocatepetermbogoro1192
@advocatepetermbogoro1192 Месяц назад
benchika alisema wachezaji wa simba vichwa ngumu, na huyo ni kocha namba tatu africa. huyu kocha msaidizi ataweza kweli. bira mngemuacha mgunda anajua kwenda na hawa vichwa ngumu.
@user-oy6kc8uy6f
@user-oy6kc8uy6f Месяц назад
Alikwambia wapi kuwa ni vichwa ngum??😅
@BADAWY575
@BADAWY575 Месяц назад
Hawa tushawafunga nyingi tu timu bado wachezaji hawajashikana kuna group wanaonekana tu
Далее
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 2,7 млн
Х.евая доставка 😂
00:23
Просмотров 1,3 млн
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 2,7 млн