Meneja habari na mawasiliano katika timu ya #simbasc amefunguka hatima ya mchezaji wao nyota Clatous Chota Chama ambaye anahusishwa kujiunga na timu ya #yangasc #yanga
Meneja wa idara ya habari na mawasiliano Simba @ahmedally amebanwa mbavu na Ripota wetu @hosemchopa kuhusu taarifa za Simba kushindwa kumbakiza Clatous Chama na kukaribia kutangazwa na wapinzani wao klabu ya Yanga.
Hoja nzito Simba wameshindwana na Clatous Chama mezani au Simba haikimuhitaji kabisa Chama na hakukuwa na mazungumzo yoyote?
1 окт 2024