Mimi ni Yanga ila Mo anapenda sifa kwa ahadi alizotoa na kuepuka kuaibika Simba najua atafanya kitu cha maana kwani hatakuwa tayari kuaibika kwa mashabiki na wanachama wenye matuaini makubwa na yeye!!!!
Hamna ushahidi MO ni mmoja wa mabilionea vijana baronial Afrika. Forbes is an unreliable source, mind you. Mzee wa Data hio ni speculation tu kuwa Simba itakua tishio.