nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word. God bless you CVC. We Love you. 🙏
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
Mnajua kunifurahisha sana nyie haswa huyu dada solo list huyo wa kwanza napenda sana uimbaji wake tangu ile video ya mpinga Christ aliyoimba akiwa mjamzito Namuombea azidi kufanya huduma hii na Mungu amtie nguvu kama akiona ujumbe wangu areply
Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru
Nina imani siku moja nitatembea Tanzania kusudi tu nimuone huyu soloist....., 1. Wasamehe 2. Jinsi ilivyo 3. Kila mwenye nguvu...etc..etc Hizi nyimbo ni kama chakula kwangu
Huyu Sololist ndie ninae mkubali katika kikundi chote cha CVC, wale wengine wako kidunia sana, nawashauri wajirekebishe, vinginevyo wataishia kujinesha tu, baraka za Mungu zinaweza kuwapita pembeni, Imeandikwa kwamba Mungu wetu hukaa katika Sifa lakini sifa hizo lazima ziende sambamba na utukufu, naomba mnijulishe anaitwa nani na kama ikiwezekana nipate namba yake ya simu nimtumie hata senti ya vocha
Wewe mwenyewe huna utumishi wowote,unafiki umekujaa, ungekuwa mtumishi usingedhalilisha wengine na kumsifia mwingine. Busara huwapasa watumishi wa Mungu. Ukome kujudge watu waliopakwa mafuta kutumika hemani kwa Mungu. Huyo mama hahitaji senti yako anatumika kwa Utukufu wa Mungu.
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.