Тёмный
No video :(

AICT Chang'ombe Choir - Nafsi (Official Music Video) 

AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Подписаться 113 тыс.
Просмотров 1,9 млн
50% 1

AICT Chang'ombe Choir Official

Опубликовано:

 

7 авг 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 466   
@selemanrobert7914
@selemanrobert7914 4 года назад
nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
@thaimouraaloyce9515
@thaimouraaloyce9515 Год назад
AMINA mtumishi na mteule wa MUNGU
@chibudeh543
@chibudeh543 Год назад
​@@thaimouraaloyce9515
@margarethmwampondele7858
@margarethmwampondele7858 Год назад
Hakika!
@nkwayakilumi7733
@nkwayakilumi7733 Год назад
Kabisa, Mungu awatunze
@aronmanguzu5748
@aronmanguzu5748 Год назад
@@chibudeh543 u
@danierjohn1375
@danierjohn1375 4 года назад
Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘
@davisntuba4742
@davisntuba4742 3 года назад
Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao
@justineelirehemaayo8255
@justineelirehemaayo8255 3 года назад
Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani
@benngideon9317
@benngideon9317 4 года назад
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
@aminamsalege792
@aminamsalege792 4 года назад
Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote
@mariummwaipe1650
@mariummwaipe1650 3 года назад
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
@rhodapyuza7465
@rhodapyuza7465 3 года назад
Mungu azidi kuwainua
@julianankulila1277
@julianankulila1277 2 года назад
🙏🙏🙏
@christopherdavid3101
@christopherdavid3101 2 года назад
Amen
@christiankaguo9146
@christiankaguo9146 2 года назад
Mnaimba vizuri mnavutia sana
@paulinemakumu4099
@paulinemakumu4099 2 года назад
@@rhodapyuza7465 a as
@josephmuhota9446
@josephmuhota9446 4 года назад
Huyu Mama Dorcas ni baraka kwa hii kwaya,kanisa na ulimwengu changombe you are blessed
@favouropande1065
@favouropande1065 4 года назад
Mama mwenye upako wa tofauti sana. Mimi nampenda sana ...ukim angalia sana...utajua huyu mama haimbii tuu kwa kupenda ila ni mtumishi wa Mungu
@raphaelntambi6404
@raphaelntambi6404 4 года назад
Yes na anaonekana ni mnyenyekevu Sana ndio Siri kubwa ya huduma ya utume abarikiwe sana
@ziribarmurumwa
@ziribarmurumwa 3 года назад
Mama Diana not Dorcas
@teddyjoseph2634
@teddyjoseph2634 3 года назад
Huwa nampenda Sana, Kibali anacho
@julianaobed6104
@julianaobed6104 3 года назад
More blessings up on all of you ninawatamani sana mnavyotumika ,utukufu na heshima ni kwa Mungu aliye juu sana
@TaCKyGe
@TaCKyGe 4 года назад
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
@belindaaloyce6844
@belindaaloyce6844 8 месяцев назад
Diana na mpenda
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 4 года назад
Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,
@marymyonga3808
@marymyonga3808 4 года назад
Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa
@eunicehakamba7446
@eunicehakamba7446 3 года назад
May God bless you all
@raphaelntambi6404
@raphaelntambi6404 4 года назад
Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia
@shibonemathias1153
@shibonemathias1153 3 года назад
E
@dorahmsungu2351
@dorahmsungu2351 3 года назад
Mbarikiwa sana
@rebecasanya8910
@rebecasanya8910 3 года назад
hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏
@ConfusedDarts-yv4pr
@ConfusedDarts-yv4pr 6 месяцев назад
Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!
@ZoelleChelangat
@ZoelleChelangat 4 месяца назад
Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana
@user-kq5yf2sx8p
@user-kq5yf2sx8p 4 месяца назад
Nabarikiwa sana. Na huu wimbo
@normankiprono9538
@normankiprono9538 2 года назад
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word. God bless you CVC. We Love you. 🙏
@abelpaul5235
@abelpaul5235 4 года назад
Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.
@zakiakaoneka3989
@zakiakaoneka3989 3 года назад
Ubarikiwe sana
@irenejustinian2212
@irenejustinian2212 3 года назад
Nice nimependa sn kwa ujumbe mungu awabariki
@faithmusyoki5998
@faithmusyoki5998 4 года назад
Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...
@JudyChelangat-w6d
@JudyChelangat-w6d Месяц назад
I love this...Inanifunza niombe Kila siku nimwambie mungu usinihukumu makosa nionyesha sababu yangu
@sundaysamson3159
@sundaysamson3159 3 года назад
Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....
@davisntuba4742
@davisntuba4742 3 года назад
Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake
@sheddy2417
@sheddy2417 3 года назад
Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti
@ashukuriwembasha6629
@ashukuriwembasha6629 Год назад
Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro
@joycebii5225
@joycebii5225 3 года назад
My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya
@benardbagwasiofficial5409
@benardbagwasiofficial5409 4 года назад
Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.
@jefredyfrednandy5880
@jefredyfrednandy5880 3 года назад
Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu
@georgejosephmiringay2325
@georgejosephmiringay2325 3 года назад
Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana
@elizabetjmillel3351
@elizabetjmillel3351 4 года назад
Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed
@happinesfesto9171
@happinesfesto9171 3 года назад
Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn
@user-jl1ct8be4o
@user-jl1ct8be4o 2 месяца назад
Kwakwli huu wimbo ukiusikiliza unaujumbe sana ibarikiwe hii kwaya pamoja na mtunzi
@MmMm-tt1wi
@MmMm-tt1wi 5 месяцев назад
Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢
@munuoisaack418
@munuoisaack418 3 года назад
Jamani huyu mwimbaji anaitwa nani huwa naukubali sana uwezo wake na kujiamini na anavyofikisha ujumbe
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 4 года назад
hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,
@danielkiporlochongo7791
@danielkiporlochongo7791 2 года назад
The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.
@thaimouraaloyce9515
@thaimouraaloyce9515 Год назад
Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,
@bombagakibona9037
@bombagakibona9037 3 года назад
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
@jackobnzalia697
@jackobnzalia697 3 года назад
Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza
@sonjoprimaryschool8186
@sonjoprimaryschool8186 4 года назад
Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana
@agnesgervas8070
@agnesgervas8070 3 года назад
Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty
@sonjoprimaryschool8186
@sonjoprimaryschool8186 3 года назад
@@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu
@agnesgervas8070
@agnesgervas8070 3 года назад
@@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid
@sonjoprimaryschool8186
@sonjoprimaryschool8186 3 года назад
@@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu
@agnesgervas8070
@agnesgervas8070 3 года назад
@@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you
@prettywizard5374
@prettywizard5374 2 года назад
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
@davidkisalimwala9458
@davidkisalimwala9458 4 года назад
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
@favouropande1065
@favouropande1065 4 года назад
Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.
@davidkisalimwala9458
@davidkisalimwala9458 4 года назад
@@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning
@JaneChissawilo-dr7nn
@JaneChissawilo-dr7nn 14 дней назад
Yaani hapa ndiyo mliimba hapa!!
@user-mf4bj9vw8k
@user-mf4bj9vw8k Год назад
Changombe inanibariki Sana mbarikiweni pia
@erastosengerema87
@erastosengerema87 3 года назад
Nisalimieni sana aliyetunga huu wimbo.
@suzanfelix8065
@suzanfelix8065 3 года назад
😲😂😂😂
@davisntuba4742
@davisntuba4742 3 года назад
Mnajua kunifurahisha sana nyie haswa huyu dada solo list huyo wa kwanza napenda sana uimbaji wake tangu ile video ya mpinga Christ aliyoimba akiwa mjamzito Namuombea azidi kufanya huduma hii na Mungu amtie nguvu kama akiona ujumbe wangu areply
@dangatihi5429
@dangatihi5429 3 года назад
Haki napendezwa na sauti zenu wapendwa. Huwa mnanifanya nitamani kuwa mmoja wenu twendelee kumtukuza bwana.
@paulsamsonkishindo1030
@paulsamsonkishindo1030 3 года назад
Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.
@evelynmalims
@evelynmalims 3 года назад
Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia
@evelenev2877
@evelenev2877 4 года назад
Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏
@jaredmkioko
@jaredmkioko 3 года назад
Wimbo wanitoa machozi huu..!!
@pendokaviha9275
@pendokaviha9275 4 года назад
From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much
@joynerbarasa5916
@joynerbarasa5916 3 года назад
From Kenya always ....i love this choir.
@tommuthiani5042
@tommuthiani5042 3 года назад
Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki
@shilikale
@shilikale 4 года назад
Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana
@phiniasshadrackl9601
@phiniasshadrackl9601 4 года назад
Daaaah safi sana.
@neemaezekiel4856
@neemaezekiel4856 4 года назад
Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.
@eliasadrian5026
@eliasadrian5026 3 года назад
Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo
@oliviaa1106
@oliviaa1106 4 года назад
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki
@charlesbuka9774
@charlesbuka9774 3 года назад
Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!
@ayubukibona997
@ayubukibona997 2 года назад
Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu
@abelpaul5235
@abelpaul5235 3 года назад
Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.
@generalboy839
@generalboy839 2 года назад
Very nice song mam mungu akupe maisha marefu maan unamsaada mkubwa sana ktk uimbaj god bless you
@gastorypatrmusoma626
@gastorypatrmusoma626 4 года назад
Hakika nyie Ni mfano wa kuigwa, Nawapenda sana, Mbarikiwe sn na Mungu azidi kuwatetea kwa kazi nzuri
@vedamusa8033
@vedamusa8033 Год назад
Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru
@nehemiahelisha6947
@nehemiahelisha6947 4 года назад
Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho
@georgearewa2377
@georgearewa2377 3 года назад
hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki
@omondiguya9977
@omondiguya9977 3 года назад
Nina imani siku moja nitatembea Tanzania kusudi tu nimuone huyu soloist....., 1. Wasamehe 2. Jinsi ilivyo 3. Kila mwenye nguvu...etc..etc Hizi nyimbo ni kama chakula kwangu
@gloriousn6425
@gloriousn6425 3 года назад
Karibu sana omera 🙏🏿🙏🏿🇹🇿
@user-uh7vj2wt9v
@user-uh7vj2wt9v 10 месяцев назад
Mungu awape kudumu ktk kuimba kwenu
@martharmichael7221
@martharmichael7221 2 месяца назад
Mungu nisamehe kwa nafisi yangu❤
@judithpendo4121
@judithpendo4121 4 года назад
Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu
@elijahmwongela7168
@elijahmwongela7168 3 года назад
My favourite soloist; I could listen to her sing the whole day and not get tired. God bless you mama!
@rizikilukumay6807
@rizikilukumay6807 3 года назад
Mungu awabarki
@queencestomonja5284
@queencestomonja5284 2 года назад
Nampenda sana❤
@carolynendunge5815
@carolynendunge5815 Год назад
@@rizikilukumay6807 qm
@simonhanno8193
@simonhanno8193 3 года назад
Huyu Sololist ndie ninae mkubali katika kikundi chote cha CVC, wale wengine wako kidunia sana, nawashauri wajirekebishe, vinginevyo wataishia kujinesha tu, baraka za Mungu zinaweza kuwapita pembeni, Imeandikwa kwamba Mungu wetu hukaa katika Sifa lakini sifa hizo lazima ziende sambamba na utukufu, naomba mnijulishe anaitwa nani na kama ikiwezekana nipate namba yake ya simu nimtumie hata senti ya vocha
@ozandaniell545
@ozandaniell545 3 года назад
Anaitwa diana
@juniorjunior412
@juniorjunior412 3 года назад
Wewe mwenyewe huna utumishi wowote,unafiki umekujaa, ungekuwa mtumishi usingedhalilisha wengine na kumsifia mwingine. Busara huwapasa watumishi wa Mungu. Ukome kujudge watu waliopakwa mafuta kutumika hemani kwa Mungu. Huyo mama hahitaji senti yako anatumika kwa Utukufu wa Mungu.
@beckiechepsiror8028
@beckiechepsiror8028 4 года назад
From Kenya 🇰🇪, you are a blessing. The vocals, dressing code, hair and everything is just dope👌👌👌👌👌👌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😍😍😍
@alicemumo7974
@alicemumo7974 4 года назад
I love their songs sana, natamani kwenda TZ
@gloriousn6425
@gloriousn6425 4 года назад
Alice Mumo toroka uje jirani 😊🙏🏾🇹🇿
@rizikilukumay6807
@rizikilukumay6807 3 года назад
Blessing voice soloist mama love
@sososool9177
@sososool9177 2 года назад
Mungu akubariki dada diana kila ninapo skiliza hu wimbo nahs uwepo wa Mungu kabla sjasali uck lazma niskilize kwanzo
@cecyjoel3039
@cecyjoel3039 Год назад
Mubarikiwe mungu azidi kuwainua
@user-fy2uv5rv5d
@user-fy2uv5rv5d 9 месяцев назад
Nawapenda Sana nahudumahii yauwimbaji.kwakweli napowasikiliza pindi mkitowasautizenu kumtukuzamungu huwanatamani kuwakiumbe kipya
@Jorge_safaris
@Jorge_safaris 3 года назад
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
@normankiprono9538
@normankiprono9538 2 года назад
Amen 🙏
@samuelokoyaro1888
@samuelokoyaro1888 9 месяцев назад
Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma
@isaiahkandie4968
@isaiahkandie4968 9 месяцев назад
God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.
@francokinyunyu2619
@francokinyunyu2619 3 месяца назад
Nimeanza kuwasikiliza nikiwa Bado mdogo nawapenda mno
@SinaiDavid-zc4hy
@SinaiDavid-zc4hy 3 месяца назад
Mbalikiwe sana watumishi
@boazkitela6960
@boazkitela6960 3 года назад
Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi
@lilianrichard9572
@lilianrichard9572 4 месяца назад
Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida
@alphoncegambuna440
@alphoncegambuna440 3 года назад
Mnajua kuimba hongereni sana
@bushabubushamingadonatien6673
@bushabubushamingadonatien6673 3 года назад
Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!
@moshanaaman5588
@moshanaaman5588 3 года назад
HUUWIMBO UMENIUZA SANA.
@user-ss8ol3gy9m
@user-ss8ol3gy9m Год назад
Florence ombwara Amen Amen nice song glory to God be blessed all singer's for give me God
@rosemarykisuke7223
@rosemarykisuke7223 2 года назад
Nawapenda mno yaani sijawahi kuchoka kuwasikiliza
@kristinekateassy7135
@kristinekateassy7135 3 года назад
I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s
@adiminpeter5142
@adiminpeter5142 3 года назад
Nabarikiwa sana na wimbo huu, tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia kiwango hadi kiwango
@humphreymidambo3827
@humphreymidambo3827 3 года назад
Kipawa kwenye Hilo kanisa.msifuni MUNGU sana.ni njia ya kusema asante
@princedejezeluuchannel5789
@princedejezeluuchannel5789 3 года назад
Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana
@masenyengefuraha9095
@masenyengefuraha9095 3 года назад
Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita
@shidamasau8686
@shidamasau8686 Год назад
Ee Mungu saidia ponya kuugua kwangu Mimi
@jefredyfrednandy5880
@jefredyfrednandy5880 3 года назад
Yaaaaaaaaaaan sina neno
@margaretngonyo695
@margaretngonyo695 3 года назад
Blessed voices mungu pekee hawainue kiwango mwingine.
@elizabethmtweve1458
@elizabethmtweve1458 4 года назад
Masoro wakike wako vizurii,ila natamani nione na masoro wakiume jamanii kwenye kwaya yenu sijawahi kusikia
@neemaezekiel4856
@neemaezekiel4856 4 года назад
Yupo Mr Samuel Limbu ni hatariiiii huyo kijana huchoki kumsikiliza
@ombaawycky3542
@ombaawycky3542 4 года назад
@@neemaezekiel4856 BT limbu Ni wa Neema choir sivyo?
@sheddy2417
@sheddy2417 4 года назад
Wapo, kuna bwana mikate mr ezekiel, tena kuna huyu wa album ii anasolo wimbo unaitwa siri yako.
@marymyonga3808
@marymyonga3808 4 года назад
Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki
@simbawayuda1627
@simbawayuda1627 2 года назад
Mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU kwa huduma nzuri
@jacksonfulano6015
@jacksonfulano6015 4 года назад
NAWAPENDAAAAAAAAA SANAAAAA AICT CVC NABARIKIWA NA UIMBAJI WENU ,NILISUBILI KWA HAMU ALBAM YENU ,MUNGU AWABARIKI HAKIKA AMINAAA
@warrenhenrick5565
@warrenhenrick5565 4 года назад
Hongereni kwa kudumu hata Leo hii bado tunawasikia mkitubariki ni neema ya Mungu
@jeromendetaulwa3466
@jeromendetaulwa3466 4 года назад
Nakubali a.i.c changombe
@agnesgervas8070
@agnesgervas8070 4 года назад
Mm huw mnanikoshatu na nyimbo zenu nzur zinaujumbe mzur sana mungu awabariki nyote
@elishangomele9937
@elishangomele9937 3 года назад
AIC chang'ombe ni Moto wa kuotea Mbali mungu azidi kuwainua zaidi na zaid
@neemamanjale8331
@neemamanjale8331 3 года назад
Mungu awatie nguvu huu wimbo hunifariji sana
@daisyenock7670
@daisyenock7670 3 года назад
Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.
@user-he5nd4hm7l
@user-he5nd4hm7l 9 месяцев назад
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu ,msaada utakaoonekana wakati wa mateso .Glory be to God
@samwelchotta1245
@samwelchotta1245 3 года назад
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.
@jalianekemia9458
@jalianekemia9458 3 года назад
Ll
@phiedismwende1436
@phiedismwende1436 3 года назад
My favorite choir.Mungu azidi kuwabariki
@rugutagnes221
@rugutagnes221 Год назад
Huu wimbo unanibariki Sana na unanijenga
@Siamanda51
@Siamanda51 3 года назад
Mungu aibariki kwaya hii nyinyi ni chombo mliyotumwa na mkakubali kutumika kutangaza injili ya yesu
@brebasheki9088
@brebasheki9088 Год назад
Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.
@reubenmasseri6763
@reubenmasseri6763 3 года назад
Mungu awabarikii sana...
@gracelyimojoseph7236
@gracelyimojoseph7236 3 года назад
jaman uyu solist wa kwanza aimba vizuri jaman kila wimbo mam mungu akubarik san mungu atakutetea kwel
Далее
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC UKO WAPI ADAMU ORIGINAL 2020
7:39
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC UTUKUFU  ORIGINAL 2020
7:45
Gelik yoki Velik?
00:20
Просмотров 640 тыс.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
Просмотров 9 млн
AIC Chang'ombe Choir - Pazia la Hekalu
7:53
Просмотров 714 тыс.
AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MOYO (Official Live Video)
10:08
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Просмотров 57 млн
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC JENGWA ORIGINAL
7:17
Просмотров 1,1 млн
A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - KWA MACHO
7:12
Просмотров 936 тыс.
Gelik yoki Velik?
00:20
Просмотров 640 тыс.