Тёмный

ALELUYA MSIFUNI MUNGU Na Kelvin B Bongole (official video) 

John Paul II Mbeya choir
Подписаться 21 тыс.
Просмотров 524 тыс.
50% 1

Kwaya ya Mt Yohane Paulo II Mbeya, Tulianza na #Mlipuko wa sifa, kisha #Ametamalaki tukakuletea #Tetemeko kisha #Kitoto cha Mbingu. Baada ya kimya kirefu Kwaya ya Mt Yohane Paulo ii Mbeya parokia ya Mt Anthony wa Padua jimbo kuu katoliki la mbeya inawakaribisha kuutazama wimbo "ALELUYA MSIFUNI MUNGU". Huu ni moja kati ya nyimbo zilizopo kwenye albamu yetu mpya inayotarajiwa kuzinduliwa na kusambazwa December 2021
Song Description
Song: ALELUYA MSIFUNI MUNGU
Lyrics: Psalm 103 & 150
Composer and arranger: Kelvin B Bongole
Chorus: John Paul Mbeya Choir (JMC)
Male Soloist: Edwin Kamala
Female Soloist: Beatrice Gwitabha
Audio and Video production: RAJO Production
Music Orchestration: Kelvin B Bongole & Ray Ufunguo.
Contacts
Contact JMC: 0783-851921, 0752-252546
johnpaulmbeyachoir@gmail.com
Contact Composer:0757-221962 (Bongole)
Instagram, facebook and twitter @ jmcmbeyachoir
"Onyesha upendo kwa ku "subscribe, share, like and comment" nawe utakua umeshiriki katika utume huu na Mungu atakubariki maradufu"
#nigusebwana #johnpaulmbeyachoir

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 575   
@furahinimbwambo
@furahinimbwambo 2 года назад
Anaye angalia hii nyimbo karibia kila siku anipe like hapa twende pamoja.
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina Furahini
@drbongole
@drbongole 2 года назад
Amina Furahini
@furahinimbwambo
@furahinimbwambo 2 года назад
@@JohnPaulIIMbeyachoir pamoja sana.
@furahinimbwambo
@furahinimbwambo 2 года назад
@@drbongole pamoja sana
@monicakaranja268
@monicakaranja268 2 года назад
Beautiful ❤️❤️
@safaritourtravel7501
@safaritourtravel7501 2 года назад
Kanisa sasa linarudi kwenye maadili💥💥💥💥💥 MBARIKIWE SANA SANA
@GeorgeSimbeye
@GeorgeSimbeye 2 года назад
moto umewaka wa kwanza kucoment Jmc the best in Tanzania 💥💥💥
@drbongole
@drbongole 2 года назад
Ukuu wa Mungu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@favouredwambuijn3054
@favouredwambuijn3054 2 года назад
Perfect!!!! Very well done.May Almighty God bless you and all the choir mightily.Big up too to Betty.Best piece ever.Through this most unique piece,may God expand your territories. Lots of Love from 254.
@anatolialusasi4411
@anatolialusasi4411 2 года назад
Best song ever! Pongezi Kwa Kila mtu aliyehusika. Utukufu Kwa Mungu.
@ericburchard-fl5ff
@ericburchard-fl5ff Год назад
Jamaniii huyo mdada nimekuwa nikimuona tangia albam ya mlipuko wa sifa akiwa kipapa baadae nikamuona kwenye wimbo wa ametamalaki Leo namuona akiwa na the best sauti mpeni hongera zake. Kumtumikia Bwana hakuishii bure tena mavuno yake ni mema yenye kuufariji moyo
@julianamsemwa6071
@julianamsemwa6071 Год назад
Hakika, Mungu Ni mwema Kila wakati
@teresiamgimba5498
@teresiamgimba5498 2 года назад
Huu ndio uimbaji lazima mungu kumrespect sio kurukaruka ,kubinua viuno no!
@gloriousnp
@gloriousnp 2 года назад
📌📌couldn’t say it better than this 🙌🏾🇹🇿
@antipascann2797
@antipascann2797 2 года назад
Ujumbe wako waweza kuwa mzuri lkn uwasilishaji huu siyo wa kiungwana
@milannet4664
@milannet4664 2 года назад
Cant believe how this young kid of Ametamaliki has grown to sing solo, nice voice, thanks to the mum for keeping her in choir
@johnnchimbi2164
@johnnchimbi2164 2 года назад
Hongereni John Paul II, very amaizing, The best performance in a year. Binti mmemkuza na Sasa anafanya makubwa Ni hazina ya kanisaaaaa
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina
@csato9415
@csato9415 2 года назад
Ni kweli huyu binti nimeanza kumwona akiwa mdogo.
@willey_brandtrue9966
@willey_brandtrue9966 2 года назад
@@JohnPaulIIMbeyachoir hata Mimi nimempenda sana.. Yuko vizuri .. Bwana Mungu ametamalaki
@leoodongo690
@leoodongo690 2 года назад
I thought it was not human beings singing with such sweet angelic voices. Waaaaah.... Tumsifu Yesu Kristu
@kwekalucasferan
@kwekalucasferan 2 года назад
Totally breathtaking... From the harmony, orchestration, choreography, dressing, background, message, clarity to the wonderful duet solo. Mmefanya makubwa sana. Mungu Atukuzwe kwa haya. 👏👏
@sacredmusic9753
@sacredmusic9753 2 года назад
Haipingwi mkuu. Wamefanya jambo jema sana.
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amen, thanks be to God
@agathaduwe6368
@agathaduwe6368 2 года назад
Surely this what it means when we say singing
@martinbissani8094
@martinbissani8094 2 года назад
What a wonderfully sung hymn of the time. We should be proud of ourselves and the church. Glory be to God.
@GeorgeSimbeye
@GeorgeSimbeye 2 года назад
English Lyrics for this masterpiece Psalm 103 & 150 (103):2 Bless the Lord, O my soul, And forget not all His benefits: 3 (B)Who forgives all your iniquities, Who (C)heals all your diseases, 4 Who redeems your life from destruction, (D)Who crowns you with lovingkindness and tender mercies He has not dealt with us according to our sins, Nor punished us according to our iniquities. 11 For as the heavens are high above the earth, So great is His mercy toward those who fear Him; 12 As far as the east is from the west, So far has He (J)removed our transgressions from us. (150):1 Praise ye the Lord. Praise God in his sanctuary: praise him in the firmament of his power. 2 Praise him for his mighty acts: praise him according to his excellent greatness. 3 Praise him with the sound of the trumpet: praise him with the psaltery and harp. 4 Praise him with the timbrel and dance: praise him with stringed instruments and organs. 5 Praise him upon the loud cymbals: praise him upon the high sounding cymbals. 6 Let every thing that hath breath praise the Lord. Praise ye the Lord.🙏 From King James Bible version. Stay Blessed
@franciscagwitaba7988
@franciscagwitaba7988 2 года назад
Waaooo Mungu awabariki wana JMC kwa sifa hizo anazopewa Mwenyezi Mungu kwa wimbo huu
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina, Tunamshukuru Mungu astahiliye kusifiwa.
@ludovikondayisabha7238
@ludovikondayisabha7238 2 года назад
Sasa mbona sichoki kuisikiliza😁😁😁😁 jaman hadi mama angu ni mzee na anaumwa lakin kashaomba huu wimbo niuweke karibia mara tano anausikiliza tu...JMC nyie 🔥. Be blessed aise, kitu kimetudondokea kwelikweli 🔥🔥🔥.
@manhundimbo8671
@manhundimbo8671 2 года назад
Weka mgonjwa asikilize utakuja toa ushuhuda huku.....hii nymbo ni tiba ya roho na mwili #little brain
@ludovikondayisabha7238
@ludovikondayisabha7238 2 года назад
@@manhundimbo8671 kwakweli ni tiba maana sio kwa kuteka akili ya watu kiasi hiki. Walitukosea kukaa kimy kiasi hiki😁😁 watuombe msamaha 🏃🏃
@manhundimbo8671
@manhundimbo8671 2 года назад
Kwakwel maana shetani mwenyewe kashangaa.....admin omba radh haahahahaa
@ludovikondayisabha7238
@ludovikondayisabha7238 2 года назад
@@manhundimbo8671 🔥🔥🔥🔥
@mabogocharles6824
@mabogocharles6824 2 года назад
Jmc ubora kwanza urafiki badae.hii ndomaana halisi ya huu msemo💪💪💪💪
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina .... Shukran ziwe kwa Mungu
@chrismzimya3156
@chrismzimya3156 2 года назад
Hongera sana Dr Kelvin na wote pia mmefanya utumishi mzuri sana Mungu awabariki azidi kuwatumia.Utukufu wote kwa Mungu wetu aliyewatumia kufanya kazi hii njema!!
@drbongole
@drbongole 2 года назад
Amina sana, Tumshukuru Mungu
@benjaminmasala7638
@benjaminmasala7638 2 года назад
Kazi ya moto balaa
@JoyceNaliaka-rv2nv
@JoyceNaliaka-rv2nv 11 месяцев назад
Kama una watch you song nipee like tukisonga ❤
@alesiakayoka9121
@alesiakayoka9121 2 года назад
Msifuni kwa mvumo was baragum na kinanda ,zeze na filimbi,. Kwa matowazi yaliyayo Sana ,Aleluya Amina
@manhundimbo8671
@manhundimbo8671 2 года назад
Huu wimbo unatumika kama dawa ya magonjwa sugu......ahsante JINI dr.Bongole......ww ni JINI sio wakawaida.
@theresiajoseph1943
@theresiajoseph1943 2 года назад
Daaaa wimbo mzur sanaa , Hongerenii JMC ,,naona wale watoto wa kwenye wimbo wa Ameta Malaki wakua wakubwa adi sahiv Wana uwezo mkubwaa wa kuimba nawapenda sanaa Hongerenii ♥️♥️
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina sana
@alexkaiza4020
@alexkaiza4020 2 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@johnmnunduma4985
@johnmnunduma4985 2 года назад
hivi hatuwezi kulike mara mbili ♥️
@benjaminmasala7638
@benjaminmasala7638 2 года назад
Eee nafsi yangu Umsifu Mwenyezi Mungu
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina
@stellagaspergamaliel1758
@stellagaspergamaliel1758 Год назад
Woooooow nimesisimka kwakweli kila siku nasikiliza huu wimbo hasa Soloist wa kike😍😍😍naamini nitaimba na mm siku moja kam yeye...she got a nice and sweety voice na wakiume pia ni hatr...Hongereni sana nyimbo nzuri sana🙏
@ludovikondayisabha7238
@ludovikondayisabha7238 2 года назад
Kilichosubiriwa kimehapen... Hongereni sana JMC🔥 Hongera Dr Kelvin🔥 Hongera Rajo🔥 Hongera kanisa 🔥 Kwa namna ya pekee, hongera sana Dr Nzwiri🔥
@stanslausnzwili5418
@stanslausnzwili5418 2 года назад
🙌🙌🙌🙌🙌
@stanslausnzwili5418
@stanslausnzwili5418 2 года назад
Hope siku moja tutakuwa kikundi kimoja. Ya Soo talented
@ludovikondayisabha7238
@ludovikondayisabha7238 2 года назад
Exactly, natamn sana moment hiyo. I wish ipo siku itatimia my brother, nadhan ntakuwa na furahi zaidi .....🔥🔥
@kanisiusnyakaselula5285
@kanisiusnyakaselula5285 2 года назад
Classical haijawahikumwacha MTU salama! Hongereni JMC kwa uimbaji mzuri. God bless you.
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Asante sana ... Shukran na ziwe kwa Mungu
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Год назад
Siku hizi wakatoliki mko juu Sana katika kumsifu Mungu. Mbarikiwe Sana.
@francismhagama9165
@francismhagama9165 Год назад
Mimi ni mwalimu wa Kwaya. Kufundisha kwaya kama hii ambayo natambua ilianza kwa makwazo mengi miaka ile lakini ikasikia sauti ya kanisa na kushika. Leo mko bora saaaana
@randabrenda4815
@randabrenda4815 Год назад
Mimi ni muadventista wa Sabato na vile mumuimba huu wimbo imenipendeza sana, hata video vile mumetoa iko na heshima sana
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir Год назад
Tumshukuru Mungu kwa ajili ya yote @Randa
@leonardkidukovocalsquad7782
@leonardkidukovocalsquad7782 2 года назад
Sifa na utukufu viwe kwa MUNGU kupitia sauti hizi tamu Tutarajie mazuri zaidi tr 26/12/2021, Nitasherehekea birthday na upako wa uzinduzi wa kazi hi 😍😍😍😍
@salomedaniel979
@salomedaniel979 2 года назад
Eh nafsi yangu umsifu Mwenyezi Mungu. ...😙😙😙Sauti za malaika
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina
@great7282
@great7282 2 года назад
Kazi safi sana Nimekua nawafuatilia sana tangu #Female Soloist: Beatrice Gwitabha, alipokua mdogo mpaka sasa, Ana Sauti ya Dhahabu. Napenda sana kazi yenu. Mungu awabariki. Hongera Hongera sana #BEATRICE GWITABHA #John Paul II Mbeya choir Love from #Kenya
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina
@albertmaneno
@albertmaneno 2 года назад
This is next level... watu wa "mkoani" ni hatari sana... Highly creative... kila kitu in very high quality..the song...audio production.. dressing... watu wenyewe...and of course the Video. Superb. Hongereni sana👌👌🎊
@francismichael4642
@francismichael4642 2 года назад
Aaaah Beatrice 🥳🥳🥳🥰
@maurushyera6531
@maurushyera6531 2 года назад
Extraordinary,,, good job JMC 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@gloriousnp
@gloriousnp 2 года назад
WOOOOW!!just wooow This is BREATHTAKING, Yaani mpaka nakosa maneno ya kuandika Maana it is sooo HEAVENLY HUU NDO UIMBAJI AMBAO hata maandiko yanasema “BWANA YUMO NDANI YA HEKALU LAKE ; DUNIA YOTE NA IKAE KIMYA” Sihitaji kua mRC kuhisi uwepo wa Mungu wa mbinguni katikati ya uimbaji huu Mbarikiwe mpaka mshangae 🙌🏾🙌🏾🙏🏿🇹🇿
@jacklinewambaa3542
@jacklinewambaa3542 2 года назад
Hongereni sana imeubariki moyo wangu
@johnlumati2983
@johnlumati2983 2 года назад
Excellent! Soprano soloist is on another level. The duet is 🔥 The entire choir is lit
@manhundimbo8671
@manhundimbo8671 2 года назад
Huu wimbo unatibu maradhi ya roho na mwili #little brain
@reginareggys4335
@reginareggys4335 2 года назад
From the vocals, instrumental, the choreography it's a bombshell....this is what we call professionalism. I can't get enough of this music 🎶🎵🎶 It's in my auto play
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Thanks Regina
@drbongole
@drbongole 2 года назад
Thanks Much Regina
@doganangelo986
@doganangelo986 2 года назад
Kazi imejaa utukufu🙏🙏🙏.. Mungu Awatunze.
@anjelandelwa7984
@anjelandelwa7984 2 года назад
Hongereni sana kazi nzuri nyimbo nzuri sana,,,pia,,,pongezi special kwa Betty Gwitabha female soloist,,,, Mungu awabariki sana na awazidishie baraka tele katika utumishi wenu
@hossanacatholicsingers6424
@hossanacatholicsingers6424 2 года назад
Kazi 🔥 sana Hongereni
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Asante... Tumshukuru Mungu
@clementmboje4784
@clementmboje4784 2 года назад
Aroo what a heat catholic song.
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amen
@noelmatthew756
@noelmatthew756 2 года назад
Mwenyenzi Mungu awabariki kwa kazi nzuri mnayoifanya kumtumikia.
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina ... ubarikiwe nawe zaidi
@rockyndiribango1627
@rockyndiribango1627 2 года назад
JMC nomaaa sanaa...Dr Nzwili nakuona kwa mbaliii 🔥🔥🔥🔥🔥
@benjaminmasala7638
@benjaminmasala7638 2 года назад
26/12/2021 Moto utawaka utukufu utaonekana tuendelee kusubiri yajayo yanafurahisha
@phylismaina6140
@phylismaina6140 2 года назад
Hongera JMC🎉🎉🎉 Hongera Dr. Kelvin Hongera Rajo productions 🎉🎉 You are ever doing your Best Continue blessings people's souls ❤️
@drbongole
@drbongole 2 года назад
Asante sana
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amen
@jacksonvalence7365
@jacksonvalence7365 8 месяцев назад
Wimbo ulio bora sana hakika ujumbe wa nyimbo hii ni baraka ya kumaliza mwaka 2023 mbarikiwe jmcmbeya
@kishaishengoma6724
@kishaishengoma6724 Год назад
Yaani Ukiimba unajihisi km unaingia Mbinguni vile Yaani ndo wakati wa Maandamano ya Kuingia Mbinguni. HAKIKA NI WIMBO BORA SANA MMEUIMBA KWA UMAHIRI MKUBWA SANA.ILA WEE MDADA NA MKAKA MLOONGOZA SOLO MNITAFUTE NIWAPATIE MAUA YENU MMEFANYA VIKUBWA SANA.HONGERENI SANA WAIMBAJI KWAYA NZIMA NA MWENYEZI MUNGU AENDELEE KUWABARIKI SANA.AMINA.
@catholicvibemusic3151
@catholicvibemusic3151 2 года назад
Jamani ni tamu sana haichoshi😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@st.gregorythegreatchoir843
@st.gregorythegreatchoir843 2 года назад
Safi Sana JMC, fundi Dr. Kelvin na Rajo productions mmeifanya kazi iliyotukuka
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Shukran sana ....tunawaombea nanyi ndugu zetu katika utume huu
@st.gregorythegreatchoir843
@st.gregorythegreatchoir843 2 года назад
@@JohnPaulIIMbeyachoir Amina tuko pamoja
@paulmziba1060
@paulmziba1060 2 года назад
Hongereni Sana JMC, fundi Dr Kelvin Bongole na Rajo productions kwa hakika nyie ni zaidi ya kwaya kubwa Tanzania hii...... Mmeifanya kazi nzuriii Sana kwaya namba moja ninayoikubali kwa ubunifu wa kazi....👊
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina ndugu, Mungu akubariki
@st.gregorythegreatchoir843
@st.gregorythegreatchoir843 2 года назад
@@JohnPaulIIMbeyachoir Amina
@susanmuchiri944
@susanmuchiri944 2 года назад
My best choir...vocals , solos everything on point
@aimelynn4535
@aimelynn4535 2 года назад
Edwin umetisha baba 🔥unaweza saana. Mungu aendelee kukubarik na wengine pia ☺️🙏🏾
@tigerchristmas5491
@tigerchristmas5491 2 года назад
Utukufu kwa Mungu juu I didn't even wait for one verse to be done i had to like Mmefanya vyemaAAAA
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 года назад
Kazi nzuri Sana mbarikiwe kwa uimbaji mzuri na wa kuvutia hakika SIFA NA UTUKUFU KWA MUNGU MWENYEZI MWEZA WA YOTE
@stanslausnzwili5418
@stanslausnzwili5418 2 года назад
Sifa na utukufu vimrudie Mwenyezi Mungu wetu aliye mkuu.
@michaelsilas1063
@michaelsilas1063 2 года назад
Da kiukwel nimewakubali san ,mimi ni Msabato .nawapokeza sana mmeimba kwa utakatif san tena sana God bless only
@yohanasindano7445
@yohanasindano7445 2 года назад
It's on my repeat since yesterday. Funga mwaka kabisa hii🙌
@relenzinaambrose7238
@relenzinaambrose7238 2 года назад
Hakika JMC wanajua🔥🔥 washukuriwe wote walioshiriki,😁 ,,, ahsanteni kwa kutuinjilisha kwa mziki huu Mtakatifu
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 2 года назад
Mbarikiwe sana maana munajua kumwimbia mungu vizuri sana ,,kongole kwenu waimbaji, wapiga vyombo vya mziki na mtunzi wa wimbo huu kwani mmeutendea haki
@a.f.k5694
@a.f.k5694 2 года назад
Wow....Happy to see young people taking our Catholic Music and Christianity to another level.
@amanibwire4423
@amanibwire4423 2 года назад
Hongeren sana Mungu azidi kuwa nanyi, SDA like na comments nyingi kwa hawa watu wa Baba
@mariamwakyoma1218
@mariamwakyoma1218 2 года назад
Kaz nzuriii sanaa mungu azid kuwabariki wana JMC 🙏
@AntonyShitente
@AntonyShitente 2 года назад
Very touching song,, be blessed my people from Mbeya😍,,, "aleluya msifuni Mungu ❤"
@iHelp_solutions_Enterprise
@iHelp_solutions_Enterprise 2 года назад
Good work...msifuni mungu...Amen Amen...wonderful work...producer doing great work
@mrossofamily
@mrossofamily 2 года назад
Niliwasubiria Sana atimaye mmerudi kwa kishindoo Nimebarikiwa sanaaa
@dicksoncosmas5038
@dicksoncosmas5038 2 года назад
Jmc ubora kwanza urafiki baadae this is what we want much congrats to JMC
@zawadishiga1123
@zawadishiga1123 2 года назад
Wimbo unasisimua mwili..hongereni sana kwa kazi nzuri Mungu azidi kuwainua...mbarikiwe
@paulshadrack9991
@paulshadrack9991 2 года назад
Hongera Pianist Dr Kelvin Bongole, Uko vizuri mtumishi.
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Tumshukuru Mungu
@drbongole
@drbongole 2 года назад
Asante sana Daktari
@victornyamai2106
@victornyamai2106 2 года назад
Such a nice piece...receive love from Kenya
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Год назад
Huu wimbo unaweza kuisisimua dunia!,Mmeimba kwa ufundi mkubwa!
@Catholic.Echoes
@Catholic.Echoes 2 года назад
Mungu wetu huatumia viumbe dhaifu waliokubali kuhubir habari njema kwa vinywa vyao JMC ni fireeeeeee
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina
@dionizkipanya2355
@dionizkipanya2355 2 года назад
Hahahaha Hongera Sana Wapendwa Wangu, Mambo Matamu Haya
@jovenarikagemlo4527
@jovenarikagemlo4527 2 года назад
Nimekukumbuka mwalimu
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Asante sana.... Shukran na ziwe kwa Mungu
@Ntanguligwa
@Ntanguligwa 2 года назад
Exceptionally. Everything is just perfect and breath taking! Blessings to everyone who participated.... Rajo, Thumbs up, Dr Bongole thumbs up daktari. Tisha sana
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Thanks be to God 🙏
@petrojoseph5970
@petrojoseph5970 2 года назад
mko vizuri sana kwaya kwa wimbo huu sisi tunabarikiwa sana hata tukiwa mabali na nchi yetu .Hongereni sana mungu awajalie uchaji zaidi kwa nyimbo
@stanslausnzwili5418
@stanslausnzwili5418 2 года назад
@PetroJoseph asante.sana Tusaidiane kufanya ujumbe na uinjilishaji huu unawafikia wengi
@wambuileonorah3173
@wambuileonorah3173 2 года назад
My all time choir...baraka tele
@sifaelpanga1308
@sifaelpanga1308 2 года назад
Hongereni sanaa kwa kazi nzuri Mungu awabariki sanaa nmebarikiwa kweli!
@adamemmanuel2103
@adamemmanuel2103 2 года назад
Yan nyie hatari sn mmeimba utafikiri malaika
@jovinusjulius9840
@jovinusjulius9840 2 года назад
I feel blessed
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amen
@FrolaNgimba
@FrolaNgimba 5 месяцев назад
Nimewapenda ghafla natamani kuwa mwimbaji mzuri kama nyie
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 4 месяца назад
Asante sana, unaweza Flora👏
@stanslausnzwili5418
@stanslausnzwili5418 2 года назад
Waiting for the albam
@musamakeja6977
@musamakeja6977 Месяц назад
Kila nikisikiliza wimbo huu huwa wanatumiwa sana, hongereni sana kwa mtunzi na waimbaji
@emmanuelmachibya.
@emmanuelmachibya. 2 года назад
Hakika Zaburi 150 iendelee kukaa mioyo mwetu katika kumsifu Mungu. Barikiweni kwa kazi nzuri hii
@josephlango5591
@josephlango5591 2 года назад
Hakika JMC wameitendea haki Zaburi ya 150. Huu wimbo ifanyike kura ya waimbaji wote kuingia mbinguni siku moja
@marselinajulius3564
@marselinajulius3564 2 года назад
Wao hongereni Mungu wwalinde mzidi kumwimbia ktk Roho na kweli
@ocherology1
@ocherology1 Год назад
The amount of work that went in putting this song into one piece is unimaginable. ❤❤❤❤
@asteriapalapala1738
@asteriapalapala1738 5 месяцев назад
Congrats mmeimba vzur
@andreasigonda4487
@andreasigonda4487 2 года назад
Atukuzwe mungu mille🙏🇹🇿🇹🇿
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amina
@jovenarikagemlo4527
@jovenarikagemlo4527 2 года назад
Aleluya tumsifu Mungu
@aloyciaaloyce4654
@aloyciaaloyce4654 2 года назад
Hongereni sana wana JMC kazi nzuri 👏🏿👏🏿👏🏿
@joachimmusemakwerimusemakw1665
@joachimmusemakwerimusemakw1665 2 года назад
What a beautiful choir are!!! Voice 100%, dressings 100% instrumental 100% background 100% keep it up.
@vincentmunyithya6194
@vincentmunyithya6194 2 года назад
This is awesome one... Naomba Nota za huu wimbo
@isikesamike
@isikesamike 2 года назад
Hakika ubunifu wa Ray Ufunguo ni wa hali ya juu. Hongera sana pia JMC 👏👏👏
@amosmasamaki8950
@amosmasamaki8950 2 года назад
i see u beatrice my school mate from pandahill sec .am your brother GABRIEL MKINGA choir master and teacher
@sebastiankabuga6006
@sebastiankabuga6006 2 года назад
The Song that blesses everyone. Much congratulations to Dr. Kelvin, Mwenyezi Mungu azd kukujalia afya utume wa uimbaji ufike mbali God blesses you much JMC. 🙏❤️❤️
@JohnPaulIIMbeyachoir
@JohnPaulIIMbeyachoir 2 года назад
Amen
@jovinusjulius9840
@jovinusjulius9840 2 года назад
Ni hatarii
@thomasackley733
@thomasackley733 2 года назад
It's very nice song! Am impressed and blessed with it! Glory to God
@mhifadhichannel99
@mhifadhichannel99 2 года назад
kwakweli mnajua kuimba Mungu asimamq kati yenu jamaaaan naomba tena naomba wekeni wimbo wenu wa 'SIMAMA NAMI' mtandaoni tunausubilia kwa hamu mzuri sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@drdogan1450
@drdogan1450 2 года назад
Upo RU-vid Tayar Mpendwa
@josephlango5591
@josephlango5591 8 месяцев назад
Tunapofunga mwaka leo tarehe 31/12/2023 ni jambo la kicho kufunga kwa wimbo huu mkuu wa sifa kwa Mungu kutoka Zaburi ya150, zaburi ya mwisho. Kila mwenye pumzi amsifu Bwana. Hongereni JMC. Mmeimba kama malaika
@furahinimbwambo
@furahinimbwambo 2 года назад
Kwa uimbaji huu hapa mmenikamata sitoki, Mungu awainue zaidi ya hapa.
@julitamassawe3104
@julitamassawe3104 2 года назад
Mimi pia nimekamatika mpaka vinyweleo vinasisimka nilikuwa wapi siku zote 😭👏👏👏🙏🙏🙏🙏
Далее
MSAADA U KATIKA BWANA | D. Nkoko | (official video)
7:18
NIGUSE BWANA -Perfecto Mtuka (Official video)
6:44
Просмотров 410 тыс.
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 21 млн
SIMAMA NAMI BWANA | F Shimanyi| (JMC Official Video)
3:55
Bike vs Super Bike Fast Challenge
00:30
Просмотров 21 млн