Тёмный
No video :(

Alichokisema Tundu Lissu Akiwa Singida Mjini, "Kama Tusingekuwa Wakorofi Huu Mkutano Usingefanyika" 

The Chanzo
Подписаться 67 тыс.
Просмотров 33 тыс.
50% 1

Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akihutubia wananchi wa Singida Mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Stendi.

Опубликовано:

 

7 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 93   
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 2 месяца назад
Asante sana Mheshimiwa Lissu. Endelea kupiga spana hadi kieleweke. Ila Sasa huku nyuma yako CCM wako wanauza kadi kwa lazima na tsh. Elfu 10 juu. Pamoja na mikutano hii. Hebu Rudini ndani ya chama kuanzia Mwenyekiti, Katibu Mkuu na wale wote tunaowajua mkaondoe tofauti na sintofahamu tunahisi ziko ndani! Ukimya huu unatuumiza wafuasi wenu!! Pole kwa jitihada zako baba.
@user-lt1nr4tk9r
@user-lt1nr4tk9r 2 месяца назад
Mungu akupe umri mrefu hakika mungu anamakusud yake kukuweka hai mpaka leo
@hamphumichael7194
@hamphumichael7194 2 месяца назад
Una akili sanaaa yani God bless you all the time
@anosiata8242
@anosiata8242 2 месяца назад
Mungu akulinde lissu.
@SeifYusuf-jf7bn
@SeifYusuf-jf7bn 2 месяца назад
TUNDU LISSU ANALIHUTUBIA TAIFA NA WATANGANYIKA.
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 2 месяца назад
Asiye mwamini lisu na kumwani samia atakuwa mjinga
@user-we5px7gp2r
@user-we5px7gp2r 2 месяца назад
Lissu Mungu atakuongoza njia kama alivyomuongoza Musa wala usihofu haki hukaa upande wake na uovu hukaa kwa shetani.
@nicodemusngwala2079
@nicodemusngwala2079 2 месяца назад
Naomba Mungu ampe maisha marefu atufundishe Watanganyika ili tujitamvue tuweze kuipugabia nchi yetu kuilinda Tanganyika
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 2 месяца назад
Big up brother tundu lisu
@josephmlazier1391
@josephmlazier1391 2 месяца назад
Na kwa haya madini anayoyatema Lisu ambayo yanamtetea kila mwananchi bado unampata mjinga mmoja akisema Mama kazi iendelee 😢😢😢 ama CCM dumu 😢😢 upumbavu wa Hali ya juu sana
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 2 месяца назад
Wapumbavu ni wale wanaodanganywa na LISSU LISSU HANA SERA ZA CHAMA CHAKE SANA SANA HAPO ANAJENGA UKABILA TU
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 2 месяца назад
Yaani kwakweli sijui wamerogwa du!
@ibrahshifta1595
@ibrahshifta1595 2 месяца назад
Nyie ndo mmerogwa ,hamjitambui japo ni watu wazima, nn msichokielewa au familia zenu zinanufaika na utawala huu wa kipumbavu
@MajiiIfande
@MajiiIfande 2 месяца назад
Tena wapo wasomi wanashangilia udhalimu unaoendelea
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 2 месяца назад
Bora Korona mpya inayotarajiwa ije itumalize tu kama hivo, tumechoka sasa na tunaambiwa hatueleweki!!!
@matiredms917
@matiredms917 2 месяца назад
Mheshimiwa Tundu Lissu una stamina kubwa na uwezo mkubwa wa kuelimisha wananchi kuhusu madhila/shida wanazopata kutokana na dhuluma zinazofanywa na Serikali dhalimu ya CCM.
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 месяца назад
Minja na muunga mkono,viongozi wa Chadema,kama ilivyosema Mwenyekiti taifa,makamu mwenyekiti,Katibu mkuu na makamu Katibu mkuu rudini pamoja mtoke na jibu la pamoja tunsmuona Tundu Lisu peke yake anatoa elimu nzuri sana hatakayekataa akatae kwa ubinafsi wake.ukimya wa viongozi hao unatukosesha amani.
@willyadam4776
@willyadam4776 2 месяца назад
Tundu lisu Mungu akulinde sana kazi yako ni kubwa mno yakutuelimisha sisi watanganyika
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 2 месяца назад
😂😂😂 lisu unanifurahishaga sana siyasa zako nzuri sana mama abduli shenzi.
@RUSTERNYAIKOBA
@RUSTERNYAIKOBA 2 месяца назад
Shemeji yangu ni 🔥 mno.Elimisha
@user-lt1nr4tk9r
@user-lt1nr4tk9r 2 месяца назад
Huyu mpiga picha mbadilishen kila siku hajui kupiga picha kamera n hapohap tu
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 месяца назад
Muhimu ujumbe uwe wazi. ( Loud and clear)
@rogersiddy
@rogersiddy 2 месяца назад
Ujumbe wako ulikuwa kichwani mwangu kwakweli amelemaa sana sijui anahongwa na maccm asituonyeshe wananchi waliojitokeza kwenye mkutano hii inachefua sana onyesha wananchi kwa upana na utulivu sio karibu karibu tu umemaliza huyu kazi haiwezi kbs
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 2 месяца назад
Pole sana mh lissu Kwa kuwahutubia majitu ambayo kichwani wako tupu
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 2 месяца назад
sentensi zimenyooka sana, ila marais wa nchi za nje "marekani n.k"mbona wenyewe hawapewagi udaktari wa heshima kama marais wa nchi yetu?..au mimi ndio sielewi.Udaktari wa kutokusomea huu siuelewi kwa viongozi wa nchi yangu...
@MajiiIfande
@MajiiIfande 2 месяца назад
Hahahaha, udaktari wa uongo nani anautaka.?
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 месяца назад
Jamani Tundu Lisu mmmm
@YohanaThadeo-ki2qg
@YohanaThadeo-ki2qg 2 месяца назад
Ongera lisu
@mashakalukinda2350
@mashakalukinda2350 2 месяца назад
kamanda Lissu huwa nakkbali sana hutaki ujinga ujinga sikuzote unapenda haki kwa wezio nakwako pia haki Pande zote
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 2 месяца назад
Naongezea na hili la mkataba na Wakorea na matrilioni 6.51 ikinasibishwa na bahari na madini .
@salummichael87
@salummichael87 2 месяца назад
Kama maneno hayo yanatoka Kea Mungu lazima tuokoke pia nchi ha Tanganyika iokoke AMINA
@prospermalala6636
@prospermalala6636 2 месяца назад
MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha,/ kufundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe haki zao, kwa ufundishaji wako haki Mungu mkubwa akulinde na kuonyesha njia ya kupitia, IQ yako hakuna wa kukutisha, Mungu ndiyo muweza wa yooote, ktk maisha yako 🙏🙏🙏🙏
@BelievePeace-jg5pc
@BelievePeace-jg5pc Месяц назад
Tuko pamoja kiongozi hatukuachiii
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 2 месяца назад
Huyu mama abduli hamna kitu bara ajiuzuru atakuwa ameniheshmisha
@evelina9621
@evelina9621 Месяц назад
Lisu.toa Mafundisho.kwa.watu.wajueuukombozi..n.sasa
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 2 месяца назад
Kwahaya siendi msiba hata mtu wa ccm kwaujinga huu akifa ccm siendi naenda bazaar kunywa bia samia ataondoka kama raurent gabgo
@SAMSONKOIKAI
@SAMSONKOIKAI 2 месяца назад
Mungu akulinde sanaa raisi wa mioyo ya watanzania mh lissu ,akili nyngi sana..elimu yako kwa wanachi tunahitaji sanaa,mungu akupe nguvu ya kutuelimisha
@MajiiIfande
@MajiiIfande 2 месяца назад
Huyu ni Lincoln/Sankara ajaye kwa nchi hii
@PaskaliBaha
@PaskaliBaha 2 месяца назад
Tufanye mapinduzi ya kweli
@IssayaNdinga
@IssayaNdinga 2 месяца назад
Usituchoke kuna siku TU mngu atakumbuka sisi wanyonge santen sana lisu
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 2 месяца назад
This man is very intelligent.
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 2 месяца назад
Jamaa hachoki Mwezi mzima yuko barabarani daily
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 2 месяца назад
Tundu lissu ninabiiii wa kizazi hiki tz ukibisha muurize mwendazake jpm Kiongozi wa watu wasiojurikana muurizeni??? umeenda Wapi?? Uriotaka kuuwauwa mbona bado yupo hai nae ni tundu lissu
@khalidikaghembe1775
@khalidikaghembe1775 2 месяца назад
Inauma Sana SEMA matanganyika mengi yapo masenge sengelema tu Wala hayajielewi
@rastheunique
@rastheunique 2 месяца назад
Tundu Lissu 💪💪
@emmanuelrobert4757
@emmanuelrobert4757 2 месяца назад
Unapambna sana kamanda tundu anti pas lisu munu akubarik sn
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 2 месяца назад
@msabahaali758
@msabahaali758 2 месяца назад
Tatzo ni moja tu wanaohutubiwa wamelala kabisa ila kama Mzaznzibar namkubali Lissu kuliko mama ake Abdul
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 2 месяца назад
Rais Hana kitu
@user-ti4gw9jb8w
@user-ti4gw9jb8w 2 месяца назад
Safi sana mweshimiwa
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 месяца назад
Makini sana
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u 2 месяца назад
Nimeipenda iyo ndio upinzani unavotakiwa
@josephmatiko4805
@josephmatiko4805 2 месяца назад
Kiukweli tunakuamini sasa!!maana,wa Tanganyika nikama ndio tunaamka!!kiukweli inabidi tuamke
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 2 месяца назад
Kama kawaida moto unawaka
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 месяца назад
Haya mambo ni mazito sana
@abelchuche7968
@abelchuche7968 2 месяца назад
Hatari sanaaaaaaa
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 2 месяца назад
🤝❤❤🙏
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 2 месяца назад
Kweli tuu
@henrymligo2440
@henrymligo2440 2 месяца назад
Ok!
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Duh
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 2 месяца назад
Samia kwa matendo yake apimwe akili zake km yupo sawa
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 2 месяца назад
😂❤❤umepiga penyewe mwamba
@BarakaMisanga
@BarakaMisanga 2 месяца назад
Poleee
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 2 месяца назад
Tarime pia tupoooooo🎉🎉🎉
@salummohamed2689
@salummohamed2689 2 месяца назад
Hivi sisi Watanganyika tunajifanya hatuelewi Kwa manufaa ya nani?
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 месяца назад
Mpiga picha hawana aise.sijui watalam wa chadema kitengo cha habari kimelala
@dribrahimmamboleo4435
@dribrahimmamboleo4435 2 месяца назад
Ila we nae ni mshamba! Hapo kamera sio ya chadema ni ya chanzo TV waliotuwekea youtube Leo nimekufundisha thawaa😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 месяца назад
✌️👍👊.
@HamzaHeri
@HamzaHeri 2 месяца назад
WEWE UNA MATATIZO YA AKILI
@helenakamenya8680
@helenakamenya8680 2 месяца назад
Kagongwe choko wewe na ccm yako.
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 2 месяца назад
We ndo unamatatizo wala siyo lisu
@lupyanamatimbwi8064
@lupyanamatimbwi8064 2 месяца назад
18,200
@user-we5px7gp2r
@user-we5px7gp2r 2 месяца назад
Kama anazungu pekee yake wewe ni nani anakufahamu?
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 месяца назад
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂 Huyo Samia ni mbovu yes, sasa wekeni mtu atakae tukomboa
@dribrahimmamboleo4435
@dribrahimmamboleo4435 2 месяца назад
Mbona wengine tumeyapata mengi sana. Tatizo unapata hayo mawili kwabasababu ndio yaliyoujaa moyo wako. Pole
@SalumChema
@SalumChema 2 месяца назад
Bomoa.baba.tuyajue.huyondio.lisu.jembe.liliobaki
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 месяца назад
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 2 месяца назад
kazi ya kichwa sio kuota nywere tu na kutafakali pia
@abdullahalsharji9428
@abdullahalsharji9428 2 месяца назад
Zote tisa kumi uchaguzi
@stevesungura6789
@stevesungura6789 2 месяца назад
Tuyachukulieni poa haya maneno leo, lakini kuna siku tutayakumbuka maneno ya huyu Lissu. Hii nchi inaporwa mbele ya macho yetu. Sijui wenzetu wanawaza nini kuhusu kesho ya taifa hili
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 месяца назад
SERA YA LISU NI LAWAMA NA KULIALIA 🤧🤧🤧🤧🤧🤧RIP MAGU
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 месяца назад
Sikiliza vizuri
@bakarimrao3655
@bakarimrao3655 2 месяца назад
RIP MAGU imekujaje hapo Sasa!!!!!
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 2 месяца назад
@@bakarimrao3655 Alisema hawa si WAPINZANI ni WAHUNI 🤧🤧🤧🤧🤧
@henrynicholaus3977
@henrynicholaus3977 2 месяца назад
Hamia chato
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Sasa mbona unazunguka peke yako?? Wenzako wako wapi? Au ukipewa nchi utaongoxa peke yako?? Mujitafakari ndani kuna shida mzee wa kulia lia!😂😂😂
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 месяца назад
Hivi huyu wa camera anajua kuchukua picha kweli abadirishwe haraka
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 2 месяца назад
Sikiliza ujembe Cyo ujinga uliyo nao kichwa
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 2 месяца назад
Mbona watu hamna hichi chama hichi kweli ni cha wahuni ndo maana kimepoteza mvuto kaz ni uchochez tuu
@msabahaali758
@msabahaali758 2 месяца назад
kwaio ulitaka watu wasombwe kwa malori
@henrynicholaus3977
@henrynicholaus3977 2 месяца назад
Tuko kwenye simu tukiwa na ww
Далее
Mwanzo Mwisho Lissu Afunguka Kilichotokea Mbeya
23:21
Вся Правда Про Хазяевов !
41:02
Просмотров 2,2 млн
Вся Правда Про Хазяевов !
41:02
Просмотров 2,2 млн