Тёмный

Pambalu Asimulia Walivyokamatwa na Mbowe, 'Mbowe Aligoma Kutoka Mahabusu' 

The Chanzo
Подписаться 76 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Leo, tutakuwa tukirusha mubashara tukio muhimu sana katika anga za kisiasa nchini Tanzania. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, atazungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu yeye na viongozi wengine pamoja na wafuasi wa chama hicho kuachiwa na polisi.
Katika mkutano huu wa leo, Mbowe anatarajiwa kuelezea kwa kina hali ilivyokuwa, sababu za kukamatwa kwake, na mustakabali wake kisiasa pamoja na chama chake.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
Далее
iPhone 16 - презентация Apple 2024
01:00
Просмотров 62 тыс.
Что думаете?
00:54
Просмотров 642 тыс.
iPhone 16 - презентация Apple 2024
01:00
Просмотров 62 тыс.