Тёмный

ALIKAMWE ALIVYOWANYAMAZISHA AHMED ALLY LA IBWE KWENYE HAMASA ZA TAIFA STARS/NISIKILIZENI MIMI 

ValorTV
Подписаться 48 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@asiliyetuonlinetv5063
@asiliyetuonlinetv5063 Год назад
😂😂😂😂Hawa wahuni wanatengeneza combination nzuri Sana.
@MhengaJunior-t6j
@MhengaJunior-t6j Месяц назад
Kaka Ahmedy umetisha sna❤
@marthageorge5043
@marthageorge5043 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂Nawapenda awa wakiwa pamoja uwa nafurai sana😂😂😂😂😂
@MaulidyMadyo
@MaulidyMadyo Месяц назад
Msdogo nawakubali sanaaaaaa
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 Год назад
Ali Kamweeeeee😂😂😂 Yani kitu pekee ulichoweza kuweka shingoni ni tai tu!😂😂😂
@AlexMbagata
@AlexMbagata 3 месяца назад
Watu muhimu Sana Hawa na hapa walikaa kwenye sehemu muhimu na walisema vitu muhimu.
@teddymhagama611
@teddymhagama611 Год назад
msemaji ni Ahmed Ally wengine mapoyoyo
@mishikombowato1457
@mishikombowato1457 Год назад
Hujioni ww ulivyo mwehu😂
@AndersonAdam-l5u
@AndersonAdam-l5u Месяц назад
Alikamwe mbn kama anawasi wasi happ😮😮
@lowasameliyo4027
@lowasameliyo4027 Год назад
Mnanichekesha jmn watoto wa azam sport nafurahi kuwaona mko pamoja
@DanielJoshua-b8d
@DanielJoshua-b8d 2 месяца назад
❤❤
@lavanicetz
@lavanicetz 2 месяца назад
Kweli Ahmed ally ndo mtangazaji. Bora kwasababu yey ndo msemaji muongo kuliko wasemaji sikia hii CHAMA hawezi kwenda Clabu yoyote hap TZ mhhhhh na kweli hajaenda
@alifaki2016
@alifaki2016 2 месяца назад
Ally kamwe ameshaongea mangapi ya kuropokwa na yakaenda tofauti na alivyoongea
@alifaki2016
@alifaki2016 2 месяца назад
Au hujui kuwa Ally kamwe mrookaji tu
@masubukopita7201
@masubukopita7201 Год назад
Ahmed all anajua kuongea hao wengne wanalopoka tu
@josephrobertjohn4336
@josephrobertjohn4336 2 месяца назад
Jaman kumbe hapa tz msemaji professional ni mmoja tu Ahmed aly tu check wengine wanaongea kama mademu wanatongozwa
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Год назад
Yani hawa ni wahuni vichwa vyao vibovu😅😅
@ujamaabashiri2996
@ujamaabashiri2996 Год назад
Kuna msemaji na waongeaji, hapo msemaji ni mmoja tyu wengine ni waingeaji
@jumashedafa
@jumashedafa Год назад
Kwa timu iliyoitwa hasa langon tunashafungwa tyr mengin ni maajabu ya mpira
@petersonjamess6497
@petersonjamess6497 Год назад
Huwa napenda sana utani wa hawa jamaa
@PatrickWilliam-m8d
@PatrickWilliam-m8d 3 месяца назад
Watu mnaotowa maoni yenu hebu kuweni naadabu Ahmed tukitafuta wasemaji nayy msemaji? Hauna pwenti
@IbraahChinatz-qj4ov
@IbraahChinatz-qj4ov Месяц назад
tatz wew unauteam ndmn huon
@Noelysiwila
@Noelysiwila 2 месяца назад
lakin nani nizaid
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
Semaji ni mmoja tuu hapo Ally kamwe tu
@JoyceMwita-e3w
@JoyceMwita-e3w 2 месяца назад
Ali kamwe usihoji umesha sikia ni waa wa😂😂😂😂😂😂
@yusuphjilala846
@yusuphjilala846 Год назад
Ibwe na ahmed akili hamna mkichwaaa😴😢😴😢
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Год назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@teddymhagama611
@teddymhagama611 Год назад
timu ya taifa acheni mageti wazi watu waingie bure, Mwambieni Rais atununulie tiketi maana hili Sasa ndio Jambo lake kindakindaki
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Год назад
😂😂😂😂😂😅
@yusuphjilala846
@yusuphjilala846 Год назад
Waandishi wengi mazuzuu😴!!!!!!
@hemedwalid6570
@hemedwalid6570 Год назад
sasa mechi Kama hii mnaweka kiingilio Cha nin weka bule tu waite watu waje uwanja mechi muhimu nyie mnaweka hela ya kiingilio
@joerryFrancis-mc1mo
@joerryFrancis-mc1mo Год назад
Ali kamwe unatixha kaka
@norbertmakundi2305
@norbertmakundi2305 Год назад
Hawa jamaa nawapenda mno
@Yassirjuma-i1c
@Yassirjuma-i1c 3 месяца назад
Ali kamwe n mt w maan sana maan lzma aanze na shkran,na kuw falsafa nzri ya kuongea
@BADAWY575
@BADAWY575 Год назад
Hawa wasemaji ni wasemaji upepo hawana upeo au akili au kujua kama wapo katika jambo la nchi ,wanaongea ujinga wao lazma wabadilike kiuhakika hii ni game ya taifa pumbavu zao
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 Год назад
Unajua maana ya utani?
@BADAWY575
@BADAWY575 Год назад
@@frankhoffa8356 utani upo na sehemu zake ,au baada ya kufanya walicho itiwa ,but wao ni mwanzo mwisho
@ZakariaNgao
@ZakariaNgao Год назад
Mtoto wa faida kwa Azam media ni Ali kamwe kweli ni pigo
Далее
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23
amedy ali akimbia maswali ya wandishi
10:45
Просмотров 10 тыс.
🎙Пою РЕТРО Песни💃
3:05:57
Просмотров 1,3 млн