Тёмный

Zogo Mchongo: Kumbe kazi ya Usemaji sio tu kuongea! Ali Kamwe na Ahmed Ally waelezea ugumu wake. 

CRDB BANK PLC
Подписаться 63 тыс.
Просмотров 143 тыс.
50% 1

Soka la Tanzania limekuwa ni ushabiki tu, vipi kuhusu uchumi na kuongeza thamani kwenye vilabu na kwa mashabiki?
Kwenye Episode hii ya nne ya Zogo Mchongo tutakuwa na wasemaji mashuhuri kutoka timu kubwa za mpira nchini, Ali Kamwe kutoka Yanga na Ahmed Ally kutoka Simba. Kupitia wao tutajua mbivu na mbichi kuhusu maisha yao binafsi, kazi zao na anga la soka la bongo, lakini pia tutapata ufumbuzi kutoka Benki ya CRDB juu njia ya vilabu kunufaika na mashabiki pia kunufaika
Usikose kutazama Zogo Mchongo kila siku ya Jumanne saa 3:00 Usiku kupitia Clouds TV na marudio ni kila Jumatano saa 8:30 mchana na Jumamosi saa 9:00 mchana na hapa hapa kwenye chaneli yetu ya RU-vid.

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 299   
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Ally kamwe nimekupenda very positive response unavyomwongelea mtu.
@devotabashome1090
@devotabashome1090 Месяц назад
Nafurahi sana nikiwaona hawa vijana wakiwa pamoja. Mungu awatunze❤
@HabibuSaid-up5sn
@HabibuSaid-up5sn Месяц назад
Amiin 🤲
@VicysebaNyambeta
@VicysebaNyambeta Месяц назад
Daaaah we Aly weeee wasemaj Wana chakujifunza kwako❤ 💚💚💚yanga forever"
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Hawa watu wanapendana sana. Namkumbuka Ally kamwe aliwahi kusema anamhurumia Ahamed Ally anapitia wakati mgumu.
@SaidMkwabi-ho8yy
@SaidMkwabi-ho8yy Месяц назад
Big up semaji la yanga chukua mauayako🎉🎉🎉🎉🎉
@freenaturetv
@freenaturetv 29 дней назад
NGANGA ANAYETIBU UKIMWI KWA KUTUMIA VITABU NA MAJI
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Kamwe Akili nyingi sana ❤❤❤
@geofreymkwelele3588
@geofreymkwelele3588 Месяц назад
Mpo poa sana mungu awajalia mzidi kosanga mbele
@user-lr6kf6bf9l
@user-lr6kf6bf9l Месяц назад
Semaji Ali kamwe...💚💛💚💛
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Alikamwe 🎉🎉🎉🎉
@user-xy8kl9wd2i
@user-xy8kl9wd2i Месяц назад
Alikamwe forever 💛💚
@ramadhaniraphael6955
@ramadhaniraphael6955 Месяц назад
Ali kamwe the best semaji la dunia
@salumkasongo7507
@salumkasongo7507 28 дней назад
Mafanikio ya timu yanambeba ... Credit to hersi said
@konzerasokoni1773
@konzerasokoni1773 Месяц назад
Ahamed Ally ❤❤❤
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Месяц назад
Ally kamwe, anajua kuongea kiproffessional... Anamuongelea very positive manara
@mjanthony4864
@mjanthony4864 Месяц назад
Hana choice lazima amuongelee vizuri.. Sababu bado wapo taasisi moja.
@josephlorri431
@josephlorri431 26 дней назад
Hilo swali aliulizwa manara..majibu yalikuwa kumponda kamwe.. 'hakuna mtu bora kama yeye manara,the king of media is back​'@@mjanthony4864
@JailaniOmary-ri7gv
@JailaniOmary-ri7gv 23 дня назад
Kwa hivyo?​@@mjanthony4864
@hajihassan5433
@hajihassan5433 23 дня назад
Utaonekana una wazimu kumsema mtu negative ambae anaonekana.
@micksonmick3036
@micksonmick3036 Месяц назад
ALLY KAMWE 🎉🎉
@davidjohnmatewele4515
@davidjohnmatewele4515 Месяц назад
Nimependa wasemaji walivyojibu maswali..!kongole kwenu nyote Mungu ibariki Tanzania.
@rhodasamuel8334
@rhodasamuel8334 Месяц назад
Allikamwe💚💛💚💛💚💛💛
@greennationmedia7987
@greennationmedia7987 Месяц назад
Wanangu Sanaaaaaa Ali kamwe & Ahmed Ali MUNGU Awatunze muendelee tangaza Nchi Yetu na Mpira Wetu, Mpira sio vita YANGA For Life
@JamesmalesaMavere
@JamesmalesaMavere Месяц назад
Safi sana mpira siyo uwadui
@msabahmaurice7228
@msabahmaurice7228 Месяц назад
Nafasi zenu mna zitendea haki ongera mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉chukuwa
@user-dn8ok2io4l
@user-dn8ok2io4l Месяц назад
Respect to Ally kamwe👍👍
@witnesskyando
@witnesskyando Месяц назад
Ally kamwe ana hekima sana🎉
@esteryaled8731
@esteryaled8731 29 дней назад
By Respicius Mathayo Kutoka Goba Dar Es Salaam Kiukweri Nawakubali Sana Kaka Zangu wanaweza sana Mungu hazidi kuwasaidia sana kiukweli wananifulahisha sana natamani siku moja nikutane nao Dada naomba wafikishie hujumbe wangu nishauku yangu najua kuna vitu vya kujifunza kwao 💪💪💪
@HashimuOmmy
@HashimuOmmy 3 дня назад
WasTeamwork makes the dream work! 💪🏽 Proud to stand with my incredible crew during our toolbox meeting. Together, we’re building a stronger future, one project at a time. #EngineeringLife #TeamSpirit #ToolboxTalk #SupportSystem
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 Месяц назад
Mependa hiyo studio/eneo mmeliandaa ki_old school
@stanleymanya438
@stanleymanya438 Месяц назад
Mko vizuri hatuwaachii labda mtuleteee viburi😂😂😂😂
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Месяц назад
Dah ali kamwe yupo vizuri sana😊
@PerfectJbo03
@PerfectJbo03 Месяц назад
Tuache mapenzi bwana maana Ally kamwe amejibu vizuri sana Ahmed kula CHUMA HICHO msemaji wetu
@vagashappnecy4850
@vagashappnecy4850 Месяц назад
Nawapenda sana Hawa watu wawili Ally kamwe na Semaji la Simba mnajua sana Mpira sio uadui
@VictoriaAraseni
@VictoriaAraseni Месяц назад
Semaji letu la simba ❤uko vizuri Mungu akuwekee kwa ajili yetu
@CollinsMorgan-gm3ji
@CollinsMorgan-gm3ji 27 дней назад
Ahmedi Ally ni mmoja tuuu Aiseee huyu jamaa kaweza 🙌🏽🙌🏽🙌🏽📌
@MariamMwibidy
@MariamMwibidy Месяц назад
Ali kamwe❤❤❤❤
@FootballHighlights-zv5bc
@FootballHighlights-zv5bc Месяц назад
Brilliant talent hiz
@zainabadam123
@zainabadam123 Месяц назад
Ahmed Ally❤❤❤❤❤
@sittandaki2135
@sittandaki2135 Месяц назад
Ukolo
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Месяц назад
Nimeipenda Sana hiii wasemaji kukaaa pa1 hakika mnatuunganisha sis mashabiki 🦁🦁🦁🦁🦁♥️
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Месяц назад
Nyie vijana wote mko vzr sana Nguruwe awapishe
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt Месяц назад
Safi Sana Vijana wa KAZI
@user-ql2hc7zt6b
@user-ql2hc7zt6b Месяц назад
Nakubali wasemaji
@hassanlukope133
@hassanlukope133 Месяц назад
The best wasemaji in Tanzania 🎉🎉🎉🎉
@PerfectJbo03
@PerfectJbo03 Месяц назад
Ahmed unaongea point sana mkuuuuu🫡🫡🫡🫡
@MonicaChacha-yx5mj
@MonicaChacha-yx5mj Месяц назад
Ally Kamwe ni mdogo ila ubongo uko vizuri sana
@mansule6974
@mansule6974 29 дней назад
Mdogo au kadumaa ?😂
@alidamgeni7051
@alidamgeni7051 Месяц назад
Kamwe foreva
@nestorypaul1403
@nestorypaul1403 Месяц назад
Duh, nimependa sana hii interview, ni moja ya interview Bora sana
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Lulu kumbe siyo kuigiza tu ha maswali uko vizuri 🎉🎉🎉
@GabrielSky64
@GabrielSky64 Месяц назад
Alikamwe kana Hekima Sana haswa anapo ongelea juu ya Manara💚💛
@SaidMkwabi-ho8yy
@SaidMkwabi-ho8yy Месяц назад
Yani chakufurahisha ote mmevaa suluali zilizofanana mmmmh hii imeendaaa❤❤🎉🎉
@KevinPhilberth
@KevinPhilberth Месяц назад
Nawakubali saana wote
@abbysauko3725
@abbysauko3725 16 дней назад
jamaa ni ma professional sana. Big up kwao
@MichaelNgowi-nc3vn
@MichaelNgowi-nc3vn Месяц назад
Msemaji mwenye akili ally kamwe nakukubali sana
@maratochacha5468
@maratochacha5468 Месяц назад
mpo vizuri sana
@hajirashid2049
@hajirashid2049 Месяц назад
😂😂nafurahi kusikia wamesaidiana kwa ushauri kufika walipo na huo ndio mafano mzuri wa sisi vijana kusaidiana japo tupo taasisi tofauti
@user-tv1gh3wj2t
@user-tv1gh3wj2t 18 дней назад
Nampenda sana Ahmed ❤❤
@AngelinaHassan-fe3jp
@AngelinaHassan-fe3jp Месяц назад
Mm nawapenda wote
@user-nd1le6zp3e
@user-nd1le6zp3e Месяц назад
Ahmed ally kichwa sana
@LillianKihongosi-f4o
@LillianKihongosi-f4o 20 дней назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kwasemaji la yangaaaaa❤❤❤❤❤
@emmanuelkarwana4506
@emmanuelkarwana4506 Месяц назад
I'm so surprised for this conversation guys which means yanga and simba this two guys ❤❤❤❤ so fine
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 29 дней назад
Wote wapo vizuri sana, wapenzi wa Yanga ushamba mtaacha lini
@SuzanKameta
@SuzanKameta Месяц назад
Hongera Sana Ahmed semaji caf
@godwinkubimba6575
@godwinkubimba6575 Месяц назад
Nimekubari mpira sio uadui, ninyi madogo ni Tunu ya Taifa, nimependa umoja wenu
@user-gl1bu5dp9w
@user-gl1bu5dp9w 27 дней назад
Sem brothers nawakubali sanaa mnatishaa mkiwa pamoja....
@YangaNews
@YangaNews Месяц назад
Nimeelewa sana nyie watu safiiiii
@user-jz9bb6lw1c
@user-jz9bb6lw1c Месяц назад
Mimi ni yanga lakin Nina wakubali wote
@user-pk3bx8pj4q
@user-pk3bx8pj4q Месяц назад
Nyinyi ni welevu sana wajomba
@usatoenglandvegas4046
@usatoenglandvegas4046 Месяц назад
Nawapenda sana
@ngontibeabede
@ngontibeabede Месяц назад
Hawa jamaa wanafurahisha sana😂😂😅
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 Месяц назад
Wote wameongea vzr.....❤
@MwihdiniMwihdini
@MwihdiniMwihdini Месяц назад
Nakubari sana ali kamwe
@danielbenard9053
@danielbenard9053 Месяц назад
Very good sana ❤❤❤
@mohanx6408
@mohanx6408 Месяц назад
Ali kamwe: Sema 5-1😂😂
@khadijaselemani2185
@khadijaselemani2185 Месяц назад
Kongole kwenu mpo vizuri wasemaji wetu🎉
@sanifarohimu4964
@sanifarohimu4964 Месяц назад
Mnapendana Sana hawawatu Hadi kuvaa surwale sare 😂😂
@user-bu9wj5pi3t
@user-bu9wj5pi3t Месяц назад
Ali kamwe very positive
@salumstika2129
@salumstika2129 Месяц назад
Ali Shaaban Kamwe 🙌🙌🙌
@jothamkibona2919
@jothamkibona2919 Месяц назад
Hongereni sana wasemaji wetu
@aikaM74
@aikaM74 Месяц назад
Nyie vijana mpo vizuri Sana aisee❤❤
@Muba581
@Muba581 Месяц назад
Masha ALLAH
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Месяц назад
Ahmed ally ❤❤
@user-kt3hv5cy6s
@user-kt3hv5cy6s Месяц назад
Ahmed ally nomaa
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 24 дня назад
Kwenye uchumi wa timu zetu Ali kamwe umejibu fact Sanaa 👏👏
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 Месяц назад
Alikamwe big up na ahmed
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n Месяц назад
mashaa Allah mimi hata sjui mpira na sielewi ht knachoongelewa yaan hilo eneo tu nmelipenda nataman kutzama tu mda wote .....yaan kumenikumbusha mbali sana maisha flan ya miaka ile😊 daah kweli old is gold❤
@mohamedabdallah8321
@mohamedabdallah8321 Месяц назад
Lulu ana sauti na anajua kutangaza safi sana
@umelamedia
@umelamedia Месяц назад
Ewaaahh semaji
@chiefnyanda3260
@chiefnyanda3260 Месяц назад
Good chemistry
@abukhamisi5039
@abukhamisi5039 28 дней назад
Ally kamwe upo vizuri nakufata nikiwa Egypt
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 28 дней назад
Ahmed uko vizuri sanaa❤❤❤✔️💯
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 9 дней назад
Ally kamwe ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@christophermbunda2172
@christophermbunda2172 28 дней назад
Ila Ahmed hajawahi kuwa serious😂😂😂😂
@marystambuli8045
@marystambuli8045 23 дня назад
Mimi nafurahi sana jinsi mnavyopendana. Mpira siyo uadui.
@isayanjelekela-vn8ty
@isayanjelekela-vn8ty 20 дней назад
Big up Ahmed uko simple and 🧠
@luqmanhaji7537
@luqmanhaji7537 Месяц назад
Ali kamwe big up Sana lakini Ahmed Ali baba lao
@MaryMChibwana
@MaryMChibwana 26 дней назад
👏 congratulations vijana mnaongea vizuri. Mkie deleza hiyo nodhamu mtafika mbali sana kimaisha. Big up
@BoniphasLukas-c3c
@BoniphasLukas-c3c Месяц назад
Semaji la cuf ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@erickmbena7757
@erickmbena7757 Месяц назад
Hawa jama nawakubali mno wanajua tofauti ya utani wa jadi🔥😊
@haidaryhabibu1394
@haidaryhabibu1394 Месяц назад
Kamwe ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Adventzambery2311
@Adventzambery2311 Месяц назад
💚💛💚💛💚💛
@MichaelKimweri
@MichaelKimweri Месяц назад
Safi sana,vijana mnauweled wahali yajuu,hapo nilazima wengine muige,
@chachabonface7788
@chachabonface7788 26 дней назад
The two seem to be great buddies....both of them are doing so well....
@BenardChegere-nl4mj
@BenardChegere-nl4mj Месяц назад
Kila mtu ana akili sasa apo Kuna mmoja ana akili timamu afu mwingine ana akili tu alikamwe ana akili timamu nice speech wandishii eeeh kapyungaa pyeee
@faridaamenye8405
@faridaamenye8405 Месяц назад
Semaji ni mmoja tu Ali kamwe
@Ibbz-sk3vv
@Ibbz-sk3vv Месяц назад
ukwel unaujua
@hamisiamiri108
@hamisiamiri108 20 дней назад
Awa jamaaa kama aki na ukwa vilee yaan very interesting😂😂😂😂❤
Далее
Новый уровень твоей сосиски
00:33
Вопрос Ребром - Булкин
59:32
Просмотров 509 тыс.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Новый уровень твоей сосиски
00:33