Alikiba na Nandy wamekumbatiana mbele ya mashabiki wakati walipofika Kigoma, hii ni kuelekea Tamasha la Nandy Festival linalotarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi hii, Alikiba alipokbatiana na Nandy kuna shabiki naye alitoa Bango lililoandikwa Nenga. PLAY kutazama ilivyokuwa
16 сен 2024