Millard Ayo ni Mtangazaji na Mwandishi wa habari kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kila siku kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM RU-vid (@millardayo) na kwenye millardayo.com
What KABILA Is This!? HAWA NI Brothers Wanaomfanyia DADA YAO NA WATOTO WAKE; Mambo ya KISHETANI KIWANGO HIKI!?. &Wasiingize Mambo ya DINI ktk hili Jambo na HATA HIYO MAMBO YA ARIDHI ISIWE KICHAKA CHA KUFICHIA Huu Ushetani Wao● ◇Unawezaje kumfanyia Your Lovely Sister MAMBO MEUSI HIVI!?.
EFD imefeli Duniani kote hata watu wanaopokea hawataki risiti..... muhimu misingi mizuri ya malipo ya kodi , zisiwe kandamizi ili kila mtu aone raha na ladha ya kulipa kodi.... Kuichangia nchi yetu.
MH. RAIS SAMIA JE UNAJUA KUNA NCHI ZINGINE DUNIANI HAZITUMII KABISA HIZI MASHINE ZA EFD.....KODI INATOZWA MWANZONI TU...KAMA NI BANDARINI AU KIWANDANI TU....NA MAPATO MAZURI SANA....MH. RAIS NENDENI MKAJIFUNZE KUONDOA HII VURUGU YA EFD.
Pole Sana mtoto wetu mungu akulinde popote ulipo mwizi likaliwe na majoka na huyo alikimbia na boda boda afe Kama kifo kibaya nawe tajili TUNAKUOMBA msamehe mtoto Bado mdogo amejitahidi kupambana msamehe
Mama, kuna Ilicit Financial Flow kubwa sana huku kwetu...its estimated that $40billion is lost due to this game..tungepunguza kwa kiasi kikubswa sana deni la taifa...mianya ya pesa kupita export-import, pesa kwenye hifadhi- yaani treasury inapotea sana..mambo mengi mno jmni. tunaomba liangaliwe kwa kupitia TAKUKURU
Mambo ni mengi kwenye haya maelezo kuna pande mbili za Kusikiliza, mimi nimesikiliza upande mmoja wa mzee ila kuna kitu kiko nyuma ya pazia,, tunaweza kuona huruma kibinadam ila kuna kitu hakiko sawa. Hapo kuna mambo mengi,,, nakutakia kila la kheri mzee upate familia yako ila haki itendeke
Tanzania hakuna kiwanda cha gari ndogo kama hicho ila upande wa magari makubwa pale kibaha zinaundwa FAW na Kigamboni zinaundwa HOWO ,Mkoa pwani kuna kiwanda cha kuunda body za mabasi ya abiria kinaitwa DAR COACH na JN motors