Ally umri unaenda kaka ishi vizur na mkeo watoto wa nje unao wa 4 na wandani ya ndoa 2 hivyo tulia uendeleze familia sio vizur kila mwaka kubadilisha wanawake
We mambo ya watu yanakuhusu nin..olewa ushauri ndoa yako na mume wako achana na mambo ya watu Hata kama akiwa na watoto 50 wew inakuumia nn..mbona huyo amina kakaa kimya
Mm nashangaa hata ukoo nae hana kabisa Acha kutudanganya wewe ukitaka kuleta comment ambazo Huna uhakika nazo usicomment jaman tafuta historia y Steven nyerere hapo ndipo utakapojua
Msemaji hakiwi kuwa mtu wa hovyo hovyo uyu Mbwa angebahatika kupata mali hata nusu ya aliyonayo Platnumz watanzania wote wangeonekana vijakazi sema tu Mungu fundi