Тёмный
No video :(

ALIKIBA AWAPA MAKAVU WAANDISHI BAADA YA KUMUULIZA KUHUSU SAKATA LA TALAKA YA NDOA YAKE “HAIWAHUSU” 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 2 года назад
Hayawahusu that's great aswer 😉
@ceciliaombela7159
@ceciliaombela7159 2 года назад
Amewajibu vzr sana .kiba hataki shobo ,
@abdulramadhanjr6371
@abdulramadhanjr6371 2 года назад
This man ni noma sana
@chugaboy8318
@chugaboy8318 2 года назад
Kubali Sana king kiba
@alicenice1711
@alicenice1711 2 года назад
Safi saana Alikiba
@abdulaziz703
@abdulaziz703 2 года назад
Good Good Good Sana. Somethings should remain personal.
@samiaismailmsabah8509
@samiaismailmsabah8509 2 года назад
King
@djumatenga4774
@djumatenga4774 2 года назад
Nc
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 года назад
😂😂😂😂Huyu bba kama kuna k2 hapendi basi n personal life yakeusimuingilie kabisa
@dngmusic5675
@dngmusic5675 2 года назад
Safi 👑
@ayubumwaikela7250
@ayubumwaikela7250 2 года назад
kiba nimstarabu sana ila sio kama yule domo
@dalilahahmed5370
@dalilahahmed5370 2 года назад
Hahaha
@farhatkhamis4401
@farhatkhamis4401 2 года назад
Nzuri sana,kweli haiwahusu
@minjesha
@minjesha 2 года назад
🤣🤣🤣🤣Ali nampenda sana..hahaha asiempenda kiba ana lake jambo..😅😅😅jamaa yupo simple tu na majibu yake..nimependa~
@rehemaiddsalehe52
@rehemaiddsalehe52 2 года назад
Ally umri unaenda kaka ishi vizur na mkeo watoto wa nje unao wa 4 na wandani ya ndoa 2 hivyo tulia uendeleze familia sio vizur kila mwaka kubadilisha wanawake
@malataogtz2080
@malataogtz2080 2 года назад
Sir yao wanayo wao kuhukum direct si vema
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 2 года назад
We mambo ya watu yanakuhusu nin..olewa ushauri ndoa yako na mume wako achana na mambo ya watu Hata kama akiwa na watoto 50 wew inakuumia nn..mbona huyo amina kakaa kimya
@backfordtengela7574
@backfordtengela7574 2 года назад
We umekamilika
@prriya507
@prriya507 2 года назад
We Rehema ACHA kukariri maisha ya wanandoa Hujui Nan Na hujui chanzo Cha ugomv tulia omba Salam t👋👋
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 года назад
Wewe pia Ni maandishi,kabla hujataka Hali ya ndoa ya mwenzio,tuambie yako Kwanza!!!!!!
@husamtech2748
@husamtech2748 2 года назад
Saf sanaa
@peloabandelwa9099
@peloabandelwa9099 2 года назад
Kiba
@georgembezi7549
@georgembezi7549 2 года назад
HA YA WA HU SU🤔💥👏
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Hahahahajaaaa marehemu kibamia akimbia swali la papo kwa papooh!!
@nicholausmwinuka7640
@nicholausmwinuka7640 2 года назад
Ichi kisela kinasema amebahatika kunikilizisha
@tatubadi9010
@tatubadi9010 2 года назад
Akiwa jibu vizur mtaniambia..
@hajeemchenga6139
@hajeemchenga6139 2 года назад
Richmavoko alibaatika kumsikilisha😀😃😄
@hafsashayo1713
@hafsashayo1713 2 года назад
Kibakul
@najuf8021
@najuf8021 2 года назад
Jibu konki
@frorenceetoile3016
@frorenceetoile3016 2 года назад
Yasio wausu muyape kisusu jmn hayawausu nimependa
@saidjumasaid3924
@saidjumasaid3924 2 года назад
Mr kiburi huyo
@mansourussi1612
@mansourussi1612 2 года назад
Sio ukiburi ni majibu ya kiume hayo
@ains1122
@ains1122 2 года назад
Umenifurahisha Sana Mansur kwa jawabu ulio PA alisema kibiri, ya Familia hayahusu wanahabari
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 2 года назад
Steve nyerere Ni mtu mwenye busara Sana karithi kwa baba yake mwalimu
@dianarutta1503
@dianarutta1503 2 года назад
Mwalimu sio baba yake na hawana undugu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Huyo siyo baba yake jordan ni jina la kuigiza tu
@mwajumarashidi1717
@mwajumarashidi1717 2 года назад
Huyo Steve anafaa kuwa mkusanyaji wa rambirambi
@fatmanassor3905
@fatmanassor3905 2 года назад
Mm nashangaa hata ukoo nae hana kabisa Acha kutudanganya wewe ukitaka kuleta comment ambazo Huna uhakika nazo usicomment jaman tafuta historia y Steven nyerere hapo ndipo utakapojua
@jacklinemollel5823
@jacklinemollel5823 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 kiba umeuwa aise
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Msemaji hakiwi kuwa mtu wa hovyo hovyo uyu Mbwa angebahatika kupata mali hata nusu ya aliyonayo Platnumz watanzania wote wangeonekana vijakazi sema tu Mungu fundi
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Title Marehemu kibamia akimbia maswali kwa waandishi wa habari
@mchovu4761
@mchovu4761 2 года назад
Alikufira ukajua kibamia kumbe
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 года назад
Kinachooandikwa na kinachoulizwa ni vitu viwili tofauti
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 года назад
Ni mjivuni nae huyu!!
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🔨📌👌🏽
@aishajuma7813
@aishajuma7813 2 года назад
💣💣💣🇴🇲🇴🇲😄😄😄
@erickmichaelmugele2107
@erickmichaelmugele2107 2 года назад
Wasanii wamekuwa wakali kama pilipili kila unamgusa mkaliiii😂😂😂😂😂😂😂
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 года назад
Wanapandiwa vichwani wewe unayakubali maisha ya kujibu maswali kila wakati utafikiri kesi ya wahaini too much!!!
@erickmichaelmugele2107
@erickmichaelmugele2107 2 года назад
@@jennytugara9470 😂😂😂😂😂
@alyhamad7529
@alyhamad7529 2 года назад
King
Далее
나랑 아빠가 아이스크림 먹을 때
00:15
Просмотров 6 млн
HIKI NDO CHANZO KAMILI KIFO CHA MANDOJO.
9:09
Просмотров 1,4 тыс.